Member wenye Sura mbaya JF

Maringo yao ni kuwa wanaamini kila mwanamke anawapapatikia kutokana na uzuri wao...so wao hawatakiwi kutumia nguvu nyingi kuomba uhusiano/ papuchi bali papuchi zijilete tuu....yaaan siwapendi haooo πŸ™„ πŸ™„ πŸ™„
Ooohoowky,nimetake baadh ya vitu hapa
shukran kwa ushirikiano
 
Maringo yao ni kuwa wanaamini kila mwanamke anawapapatikia kutokana na uzuri wao...so wao hawatakiwi kutumia nguvu nyingi kuomba uhusiano/ papuchi bali papuchi zijilete tuu....yaaan siwapendi hao mfyuu zao πŸ™„ πŸ™„ πŸ™„
Kwanza wengi wako rojo rojo sana
 
Sanaa...ni marioo wa kutupwa hata kama ana kazi!

Wadada wasiojitambua wameumizwa na hawa viumbe!
Wanawakataa wakina zero sababu wana sura ngumu sura za kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…