Member wenye Sura mbaya JF

Mbao za mawe [emoji58]
 
Dah...ni tusi kubwa sana kumwambia mwanaume eti ana sura nzuri....uzuri wa mwanaume upo kwenye wallet... nguvu za "misuli" na kwenye ubongo... [emoji35] [emoji35] [emoji85]
 
Kila siku mnapishanga kwenye milango ya daladala! wewe vizia watu wakati wa foleni utaona wanacomment ndio utashangaa kumbe Omuzirambogo ni huyu! Penda kuchunguliwa wanaochati utawajua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…