AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
Habarini za muda huu wanajukwaa wenzangu.
Nawasalimu kwa nia njema kabisa.
Naomba niongee kidogo juu ya hili suala la mwana Jf KUTORUHUSU KU-VIEW PROFILE LAKE.
Hili suala kwa kweli linaumiza sana,najua si kwangu tu, hata kwa mwingine na mwingine.
Najua ni haki ya kila member kufanya atakalo kwenye profile yake, ila kiukweli hili suala wakati mwingine linanipa changamoto ya kupata baadhi ya nondo nilizokuwa napata hapo awali kabla Jf hawajaanza huu utaratibu.
Ipo mifano mingi sana ya wana Jf walioanzisha nyuzi zenye mafunzo, visa, elimu, maendeleo, mikasa na vingine vingi...lakini leo hii ukijaribu ku-view profile yake ili angalau ujikumbushe mada zake, unakutana na bango hili.
Kiukweli bora niwe mkweli tu kuwa sasa hv tunakosa vingi sana.
Ni member's wachache sana wenye nondo wameturuhusu tu-view profile zao na kwenda kuangalia mada walizoanzisha, ila wengi sana mmetukatili.
Unatamani uende kwenye profile ya mtu fulani ili ukaview usome mada yake nzuri na yenye kuelimisha, ila unakutana na bango kubwa sana.
Please member's msitutese hivo.
Kila member ana ujuzi wa aina yake, tukajifunze wapi sasa🤧🤧🤧
Pm/conservation fungeni, ila achieni huko kwingine ili tupate maarifa zaidi.
Big up kwa wale wote wasioweka private,tunaendelea kujifunza mada kutoka kwao.
Tunaumia sana,ni vile tu hatuna pa kusemea.
Ndimi,
Katrina.
Nawasalimu kwa nia njema kabisa.
Naomba niongee kidogo juu ya hili suala la mwana Jf KUTORUHUSU KU-VIEW PROFILE LAKE.
Hili suala kwa kweli linaumiza sana,najua si kwangu tu, hata kwa mwingine na mwingine.
Najua ni haki ya kila member kufanya atakalo kwenye profile yake, ila kiukweli hili suala wakati mwingine linanipa changamoto ya kupata baadhi ya nondo nilizokuwa napata hapo awali kabla Jf hawajaanza huu utaratibu.
Ipo mifano mingi sana ya wana Jf walioanzisha nyuzi zenye mafunzo, visa, elimu, maendeleo, mikasa na vingine vingi...lakini leo hii ukijaribu ku-view profile yake ili angalau ujikumbushe mada zake, unakutana na bango hili.
Kiukweli bora niwe mkweli tu kuwa sasa hv tunakosa vingi sana.
Ni member's wachache sana wenye nondo wameturuhusu tu-view profile zao na kwenda kuangalia mada walizoanzisha, ila wengi sana mmetukatili.
Unatamani uende kwenye profile ya mtu fulani ili ukaview usome mada yake nzuri na yenye kuelimisha, ila unakutana na bango kubwa sana.
Please member's msitutese hivo.
Kila member ana ujuzi wa aina yake, tukajifunze wapi sasa🤧🤧🤧
Pm/conservation fungeni, ila achieni huko kwingine ili tupate maarifa zaidi.
Big up kwa wale wote wasioweka private,tunaendelea kujifunza mada kutoka kwao.
Tunaumia sana,ni vile tu hatuna pa kusemea.
Ndimi,
Katrina.