AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 882
- 2,044
- Thread starter
- #21
Yote hiyo najua, ila si mada zake zote.Hiyo ni nyepesi zaidi.
Hapo juu, kuna kitufe cha search. Kibonyeze.
Kikifunguka kuna sehemu utaweka kichwa cha uzi ama neno lolote unalolikumbuka. Kama heading unaikumbuka vema weka.
Kisha kwa kuwa unamkumbuka muandishi basi pachika ID yake sehemu penye 'By member'.
Itakupeleka sehemu husika.
Naona bado hatuelewani.
Ila Asante kwa kunisaidia mkuu Dr Restart 🙏