Member's mlioweka private profile zenu mnatukosesha nondo zetu...😔

Member's mlioweka private profile zenu mnatukosesha nondo zetu...😔

Hiyo ni nyepesi zaidi.

Hapo juu, kuna kitufe cha search. Kibonyeze.

Kikifunguka kuna sehemu utaweka kichwa cha uzi ama neno lolote unalolikumbuka. Kama heading unaikumbuka vema weka.

Kisha kwa kuwa unamkumbuka muandishi basi pachika ID yake sehemu penye 'By member'.

Itakupeleka sehemu husika.
Yote hiyo najua, ila si mada zake zote.

Naona bado hatuelewani.
Ila Asante kwa kunisaidia mkuu Dr Restart 🙏
 
Mimi huwa ninafanya hivyo na ninapata mada za watu hadi za mwaka 2006
Cha muhimu jua hiyo mada inapatikana jukwaa gani

Nenda hilo jukwaa sehemu ya kusearch andika jina la member utaona posts zake zote

Naomba unisamehe! Nilifanya utani bila kujua utakasirika
Usijali kipenzi.
Kuna tatizo lilitokea ghafla kama nusu saa iliyopita, so ikabidi nitafute ufumbuzi + sielewi = maruweruwe
Ila Asante kwa kunisaidia angalau🙏
 
Wengi kwenye profile wanatafuta umbea tu, ukitaka amani humu jf funga kila kitu hasa pm yani unaishi kwa raha mustarehe saaana
Si kila mtu anatafuta umbea kwenye profile
Kama wewe uko hivo, si kila mtu Kapeace
Nilitaka ufafanuzi yanikifu
 
Sio kwa ubaya mkuu neno conservation umelitumia pahala sipo nadhali ulimaanisha Conversation.
 
Hata hivyo nimeandika wengi sio wote, unafikiri mi mwnyww siview profile za watu na nikikuta kofuli nachukulia kawaida tu ila wengi wanatafuta kufufua makaburi ili wakuumbue, kudhalilishana dhihaka nk
So sad🥺
Ndio maana karibu robo tatu ya wadada wa Jf Pm zao zimefungwa nafikiri hii ni sababu, wanaita "kufukua makaburi"
Kuna mada humu ilianzishwa sikumbuki na nani kuhusu wadada wa humu kufunga Pm zao...tulishambuliwa sana.
Ila hebu ona kama hapa, .....utaacha kufunga Pm kweli?
Sms 114, tena hapo nimefuta zingine, zilikuwa kama 309+... tena zote ni wanaume
Screenshot_20240627-193601.jpg
 
Pole sana lakini....mimi nafikiri siku ukiona mada nzuri imekuvutia wewe copy halafu paste kwenye notebook yako.
 
Hii inategemea unatumia simu ya aina gani na mtandao gani wa simu unatumia jf haina mbambamba.... 😃😃😃😃👍👍👍
 
Pole sana lakini....mimi nafikiri siku ukiona mada nzuri imekuvutia wewe copy halafu paste kwenye notebook yako.
Nitafanya hivo....
Maana pia humu unaweza kuihifadhi ukakuta wameifuta.
🤝 Kwaushauri huu mzuri
 
So sad🥺
Ndio maana karibu robo tatu ya wadada wa Jf Pm zao zimefungwa nafikiri hii ni sababu, wanaita "kufukua makaburi"
Kuna mada humu ilianzishwa sikumbuki na nani kuhusu wadada wa humu kufunga Pm zao...tulishambuliwa sana.
Ila hebu ona kama hapa, .....utaacha kufunga Pm kweli?
Sms 114, tena hapo nimefuta zingine, zilikuwa kama 309+... tena zote ni wanaume
View attachment 3027740
Nadhani unaelewa sasa ni kwanini inakuwa hivyo tena huko pm ndo hasara nyingi kuliko faida, usumbufu wa Salam, mitongozo kuanikana wwngine wana vigroup vya kusengenya watu bwaaah bora kuzifunga tu
 
Back
Top Bottom