ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kanipata jukwaaniSasa bro Luka hukupataje ikiwa huwezi fungua pm?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanipata jukwaaniSasa bro Luka hukupataje ikiwa huwezi fungua pm?
Ni kwa nyinyi wa dada tu.Wengi kwenye profile wanatafuta umbea tu, ukitaka amani humu jf funga kila kitu hasa pm yani unaishi kwa raha mustarehe saaana
Kufunga ni bora mara elf kuna watu ving'ang'a km kupe halafu kile kirangi chekundu wengine kinatushawishi kufungua kusoma ni km kile kialama cha status what'sup kinalazimisha mtu ubofye tuNi kwa nyinyi wa dada tu.
lakini unaweza usijibu usumbufu wa mtu, mjinga wewe mpe ukimya atachoka mwenyewe.
Japo ni uhuru wa mtu kufunga ila naona sio bora sana.
Na wewe si ndio wale wale, umefunga ilhali mdau nipo hapa natafuta kuona madini yako.Jamani mnafunga sana 😜 watu wanataka kusoma madini. Mnajifungia sana 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Jukwaa lipi?Kanipata jukwaani
La siasaJukwaa lipi?
Sikupingi hata kidogo, ukitaka maisha ya amani humu ndani iepuke pm.Wengi kwenye profile wanatafuta umbea tu, ukitaka amani humu jf funga kila kitu hasa pm yani unaishi kwa raha mustarehe saaana
Sasa wewe si ni gen-z's, ilikuwaje ukapatwa na huyo mamluki chawa wa bi Kizimkazi?La siasa
AsanteeeSikupingi hata kidogo, ukitaka maisha ya amani humu ndani iepuke pm.
me pia napata hasira 😂😂😂Mimi nilikua nimefunga ila nikiview za watu nakuta pia wamefunga nasikia hasira nikaona maumivu wanayopata wengine wakiview ya kwangu
Nikaamua niache yangu wazi
Mapenzi upofuSasa wewe si ni gen-z's, ilikuwaje ukapatwa na huyo mamluki chawa wa bi Kizimkazi?
Hii ni kali, yaani gen-z's fallen in love kwa mamluki?Mapenzi upofu
Una soma yenye maana unajibu ya hovyo au tatanishi unapuuza.Kufunga ni bora mara elf kuna watu ving'ang'a km kupe halafu kile kirangi chekundu wengine kinatushawishi kufungua kusoma ni km kile kialama cha status what'sup kinalazimisha mtu ubofye tu
Bro nimeshafunga na mpango wa kufungua haupo,Una soma yenye maana unajibu ya hovyo au tatanishi unapuuza.
Sio mbaya lakini.Bro nimeshafunga na mpango wa kufungua haupo,