Yote hiyo najua, ila si mada zake zote.Hiyo ni nyepesi zaidi.
Hapo juu, kuna kitufe cha search. Kibonyeze.
Kikifunguka kuna sehemu utaweka kichwa cha uzi ama neno lolote unalolikumbuka. Kama heading unaikumbuka vema weka.
Kisha kwa kuwa unamkumbuka muandishi basi pachika ID yake sehemu penye 'By member'.
Itakupeleka sehemu husika.
Nimelia sanaa! π UmenisemaWengi kwenye profile wanatafuta umbea tu, ukitaka amani humu jf funga kila kitu hasa pm yani unaishi kwa raha mustarehe saaana
Usijali kipenzi.Mimi huwa ninafanya hivyo na ninapata mada za watu hadi za mwaka 2006
Cha muhimu jua hiyo mada inapatikana jukwaa gani
Nenda hilo jukwaa sehemu ya kusearch andika jina la member utaona posts zake zote
Naomba unisamehe! Nilifanya utani bila kujua utakasirika
Kumbe ndo tabia yako πNimelia sanaa! π Umenisema
Yeah huwa naview profileKumbe ndo tabia yako π
Sio wote ni wambea sometimes hata mi huwa naview nikikuta imefungwa natuliaYeah huwa naview profile
Hata hivyo nimeandika wengi sio wote, unafikiri mi mwnyww siview profile za watu na nikikuta kofuli nachukulia kawaida tu ila wengi wanatafuta kufufua makaburi ili wakuumbue, kudhalilishana dhihaka nkSi kila mtu anatafuta umbea kwenye profile
Kama wewe uko hivo, si kila mtu Kapeace
Nilitaka ufafanuzi yanikifu
Wewe una lako. Umekaza fuvu.Yote hiyo najua, ila si mada zake zote.
Naona bado hatuelewani.
Ila Asante kwa kunisaidia mkuu Dr Restart π
So sadπ₯ΊHata hivyo nimeandika wengi sio wote, unafikiri mi mwnyww siview profile za watu na nikikuta kofuli nachukulia kawaida tu ila wengi wanatafuta kufufua makaburi ili wakuumbue, kudhalilishana dhihaka nk
Tupo pamoja mkuu.Yes, nilimaanisha hivo ..asante kwa kunisahihisha mkuu
Nadhani unaelewa sasa ni kwanini inakuwa hivyo tena huko pm ndo hasara nyingi kuliko faida, usumbufu wa Salam, mitongozo kuanikana wwngine wana vigroup vya kusengenya watu bwaaah bora kuzifunga tuSo sadπ₯Ί
Ndio maana karibu robo tatu ya wadada wa Jf Pm zao zimefungwa nafikiri hii ni sababu, wanaita "kufukua makaburi"
Kuna mada humu ilianzishwa sikumbuki na nani kuhusu wadada wa humu kufunga Pm zao...tulishambuliwa sana.
Ila hebu ona kama hapa, .....utaacha kufunga Pm kweli?
Sms 114, tena hapo nimefuta zingine, zilikuwa kama 309+... tena zote ni wanaume
View attachment 3027740
πUlikua unatafuta nini huko ?Yaani mimi ni leo nmegundua ndo nkakorokochoaa nkaweza na ni kabla ya hii mada sema kuangalia ya mtu nlijaribu member mmoja wa pili hvyohvyo ikaandika kama mtoa mada alivyosema na sijawahi jaribu tenaπ π