Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Nlikuwa natafuta madaπUlikua unatafuta nini huko ?
Kwa kweli acha tu watu waweke private aisee.Nadhani unaelewa sasa ni kwanini inakuwa hivyo tena huko pm ndo hasara nyingi kuliko faida, usumbufu wa Salam, mitongozo kuanikana wwngine wana vigroup vya kusengenya watu bwaaah bora kuzifunga tu
π€Nitafanya hivo....
Maana pia humu unaweza kuihifadhi ukakuta wameifuta.
π€ Kwaushauri huu mzuri
ππNlikuwa natafuta mada
Mimi nilikua sijui hilo ila tokea nijue pm ina hasara kuliko faida nilitia kufuriπNadhani unaelewa sasa ni kwanini inakuwa hivyo tena huko pm ndo hasara nyingi kuliko faida, usumbufu wa Salam, mitongozo kuanikana wwngine wana vigroup vya kusengenya watu bwaaah bora kuzifunga tu
Ujumbe huu usomwe na watu wote, kuna wengine wana ushawishi kweli anajifanya rafiki kumbe kichefuchefu halafu Pm ikiwa wazi hata jukwaani hujiachii vizuri wengine watajifanya kuja Pm kukutuliza wengine kukushauri wengine kukuchota π€π€π€ilmradi kale kaunafiki kawatz kafanye kazi yakeMimi nilikua sijui hilo ila tokea nijue pm ina hasara kuliko faida nilitia kufuriπ
Mtu hawezi kuelewa mpaka limkute jamboUjumbe huu usomwe na watu wote, kuna wengine wana ushawishi kweli anajifanya rafiki kumbe kichefuchefu halafu Pm ikiwa wazi hata jukwaani hujiachii vizuri wengine watajifanya kuja Pm kukutuliza wengine kukushauri wengine kukuchota π€π€π€ilmradi kale kaunafiki kawatz kafanye kazi yake
nikiwa na shida na mtu ya dharula namuomba jukwaani simple
Huwezi kujifunza kwa njia rahisiMtu hawezi kuelewa mpaka limkute jambo
Mimi lilivyonikuta jambo mbona nilifunga pm na funguo nikaenda kutupa bila kutakaππ€Έ
Sikupingi uko vzr hunaga mbambamba...Ujumbe huu usomwe na watu wote, kuna wengine wana ushawishi kweli anajifanya rafiki kumbe kichefuchefu halafu Pm ikiwa wazi hata jukwaani hujiachii vizuri wengine watajifanya kuja Pm kukutuliza wengine kukushauri wengine kukuchota π€π€π€ilmradi kale kaunafiki kawatz kafanye kazi yake
nikiwa na shida na mtu ya dharula namuomba jukwaani simple
π π wanafatwa masista na wale wavaa nikab ije kuwa mimi na yule, haijalishi unajiwekaje pm ikiwa wazi wajuba lazima waibuke tuHuko pm mnafuatwa kulingana na mnavyojiweka humu jukwaani..sasa kama mtu uko kama mdangaji utaachwa kutestiwa? π€£ π€£ π€£ Sijamsema mtu jamani ni maoni yangu tuu...
Bora ibaki waziMimi nilikua nimefunga ila nikiview za watu nakuta pia wamefunga nasikia hasira nikaona maumivu wanayopata wengine wakiview ya kwangu
Nikaamua niache yangu wazi
Fungua na pm sasa πMimi nilikua nimefunga ila nikiview za watu nakuta pia wamefunga nasikia hasira nikaona maumivu wanayopata wengine wakiview ya kwangu
Nikaamua niache yangu wazi
Pm siwezi kufunguaFungua na pm sasa π
Ukiwemo weweJamani mnafunga sana π watu wanataka kusoma madini. Mnajifungia sana πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Umepiga pale pale kwenye mshono ππHuko pm mnafuatwa kulingana na mnavyojiweka humu jukwaani..sasa kama mtu uko kama mdangaji utaachwa kutestiwa? π€£ π€£ π€£ Sijamsema mtu jamani ni maoni yangu tuu...
Sasa bro Luka hukupataje ikiwa huwezi fungua pm?Pm siwezi kufungua