Member's mlioweka private profile zenu mnatukosesha nondo zetu...πŸ˜”

Ni kwa nyinyi wa dada tu.
lakini unaweza usijibu usumbufu wa mtu, mjinga wewe mpe ukimya atachoka mwenyewe.
Japo ni uhuru wa mtu kufunga ila naona sio bora sana.
Kufunga ni bora mara elf kuna watu ving'ang'a km kupe halafu kile kirangi chekundu wengine kinatushawishi kufungua kusoma ni km kile kialama cha status what'sup kinalazimisha mtu ubofye tu
 
Jamani mnafunga sana 😜 watu wanataka kusoma madini. Mnajifungia sana πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Na wewe si ndio wale wale, umefunga ilhali mdau nipo hapa natafuta kuona madini yako.

Acha huo ukatili, fungua bhana
 
Kufunga ni bora mara elf kuna watu ving'ang'a km kupe halafu kile kirangi chekundu wengine kinatushawishi kufungua kusoma ni km kile kialama cha status what'sup kinalazimisha mtu ubofye tu
Una soma yenye maana unajibu ya hovyo au tatanishi unapuuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…