Members 'ninaowakubali' zaidi humu jf

Members 'ninaowakubali' zaidi humu jf

Hakuna aliyenikubali mpaka sasa??

02_11_gmzzq1g.jpg
Asprin wapo wanaokukubali wamekutaja
 
Cna kinyongo na member yoyote hapa jf ni nyumbani ila cjajua huu ni ukoo wa nan respect yew all brothers.
 
Mi namkubali Joseverest...

Mkuu kwenye huu Uzi cjakuona..daaah

Cc. joseverest
 
Deception huyu jamaa ndie alinifanya nijiunge Jf sababu ya nondo zake.
mshana jr mada zake huwa nazielewa sana hasa mambo ya ushirikina, Mungu, tiba, tahajudi n.k
Eiyer thread au comment zake huwa nazifuatilia, anajua mambo mengi ambayo wengi hatuyajui.
ONTARIO jamaa kwenye kusaka hela namuelewa sana.

Members wengine pia nawakubali , lakini hao ndio nawakubali sana..
 
Eisten newton sijui alisha potelea wapi huyu jamaa fundi sana alikuwa na Uzi unaitwa was Jesus black?
 
Heshima kwenu wakuu.

Kwa muda ambao nmekaa humu jf nmetokea kuwakubali zaidi baadhi ya watu na kutamani hata kuwafahamu nje ya Jf kutokana na michango na mada zao. Sio kwamba wengine siwakubali hapana. Ila hawa wafuatao nawakubali zaidi.

1. mshana jr : Huyu jamaa mwanzo nilkuwa namuogopa kwa kudhania labda ni mchawi ila sikukosa kufuatilia mada na michango yake. Kadiri siku zilivyosogea ndivyo nilivyoanza kumuelewa vizuri sana. Akiweka mada anaifuatilia mpaka mwisho na anajibu maswali ya wachangiaji bila kinyongo wala hasira.

Binafsi namshukuru sana maana nmewahi kuwasiliana nae nje ya jf na akanipa ushauri ambao ulinisaidia sana.Natamani siku moja nikutane nae ana kwa ana. Popote ulipo mshana jr pokea shukrani zangu.

2. The bold: Kati ya watu waliobarikiwa vipaji basi The Bold ni mmojawapo. Ana kipaji cha uandishi wa story na makala mbali mbali za kuvutia sana. Ni mtu ambae simuelewi elewi sana maana akianza masuala ya intelijensia ataandika utadhani alikuwepo wakati tukio linatokea. Huyu jamaa sjuhi ni mtafiti au vipi.

Natamani awe rafiki yangu hata tuwe tunawasiliana tu Namkubali sana hasa akianza masuala ya usalama ambayo huwa nayapenda toka utotoni. Kwahyo story zake huwa znanivutia sana.

3. Sky Eclat: Huyu nadhani ni mwanamama na fikra zangu ni mtu muelewa sana. Huyu nae huwa navutiwa sana na michango yake sana humu jukwaani. Naye natamani awe rafiki yangu.

Ni wengi 'ninaowakubali' lakini hawa ndo nawakubali zaidi kwa muda mrefu niliokaa jf. Huo ni mtazamo wangu kwa watu hao.

Km na ww una members unawakubali na kwanini unawakubali funguka hapa.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Naikubali sana hii kapo tuliiiiiiiivvuuu kabisa ya Le great king Smart911 na his queen [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]

Lebig dadaa Money Penny mama la mama... na kiben ten chake 50thebe tehtehteh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

DJ Sepetu mwenyewe the hooooossttt na joanah pembeni

Mwifwa the don rafiki mpenzi apendwaye na cha mdeko wa jf..

Bila kusahau Mama Sabrina muke ya Gggggggggg....
Na wengine woooote wanaonikubali


Nawapenda sana [emoji120] [emoji120] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
 
Naikubali sana hii kapo tuliiiiiiiivvuuu kabisa ya Le great king Smart911 na his queen [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]

Lebig dadaa Money Penny mama la mama... na kiben ten chake 50thebe tehtehteh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

DJ Sepetu mwenyewe the hooooossttt na joanah pembeni

Mwifwa the don rafiki mpenzi apendwaye na cha mdeko wa jf..

Bila kusahau Mama Sabrina muke ya Gggggggggg....
Na wengine woooote wanaonikubali


Nawapenda sana [emoji120] [emoji120] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Nakupenda zaidi muke halali ya Smart911
Ila mimi nimeshaMUACHA huyo dj nani sijui...siku hizi karudiana na kapeace
 
Back
Top Bottom