Members wa JF bwana!!!!

Mlitumia condom
 
πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Wakuu naomba mnipe mawazo kuna jirani nilimuazima baiskeli yangu sasa kairudisha imelegea mskani... Sasa nimlipishe?
 
Wakuu naomba mnipe mawazo kuna jirani nilimuazima baiskeli yangu sasa kairudisha imelegea mskani... Sasa nimlipishe?
Kama imeharibika bahati mbaya wee msamehe tu! unaweza kumlipisha halafu na wewe siku ukaharibu kitu chake tena cha bei kubwa akakulipisha! nakushauri umsamehe. Amani na upendo ni vitu ambavyo ni vya muhimu sana kwa majirani zetu, jirani ni ndugu yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…