- Thread starter
- #281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaahahaahha
Yaani humu kila mwanaJF anaponda kuajiriwa serikalini, kila mmoja kajiajiri, kila mmoja hana shobo na mshahara wa serikali, kila mmoja wazazi wake wana elimu ya chuo kikuu, kila mmoja kasoma mwenye elimu ya chini ni shahada ya kwanza (tena UDSM).
Kila mtu alishazinguana na askari wa usalama barabarani (traffic) akiwa anaendesha gari lake binafsi.
WanaJF Bwana!
Kwenye avatar ya nani?Nimeipenda kiukweli hiyo nyama choma kwenye avatar.
visionKuigiza pia ni ndoto zake za maisha mkuu. (when i grow up i will be........?
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛Kikohozi jaman namuona ndugu yangu limoyo limemdondokea kwa Tantaw mficha maradhi kifo humuumbua chikira umenifurahisha sana kazi kwake sasa Tantaw
hahahhaaha! Yego jaji! hahahahahaahWatu tuna ghadhabu ya maisha, yamesha tugalagaza. Acha tu turidhishe nafsi zetu kwa kujipandisha chati! Hakuna namna, tuvumiliane tu! [emoji23][emoji23]
Ni mzee tena?sijui maana mimi hakunibandua . yule mzee hana tabia za kipuuzi navomjua lakini
Nimeshajiandaa tukutane kwa kombe tu babu
Kwanza aina gani hiyo ya baiskeli tehWakuu naomba mnipe mawazo kuna jirani nilimuazima baiskeli yangu sasa kairudisha imelegea mskani... Sasa nimlipishe?
Nitake radhi😀😀😀😀😀😀😀😀😛😛😛😛😛😛😛 Shikamoo Mzee
ActorKuigiza pia ni ndoto zake za maisha mkuu. (when i grow up i will be........?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Maisha ya mtandaoni ndivyo yalivyo..
Humu kuna watu wanaweza kukufanya ujiulize mara kadhaa kama wewe unaishi au ni msindikizaji tu..
Haha haha, bora tuyejipigia jembe na ardhi huku maeneo ya interior angle.Actor
yeah cha msingi uyachukulie tu kama sehemu ya burudani mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umeniwazisha mbali sana aiseee.
Ila wacha kabisa mkuu haya mambo ya mitandao.