Members wa JF bwana!!!!

Mkuu sikukuita kwangu unichunguze
 
Wengi wao wameajiriwa mkuu. Wengine wako kazini hapa! Shauri yako!
 
Hii yote inatokana na kuchelewa kwetu kumiliki vitu hivi
Nguo
Nyumba
Usafiri aina zote
Elimu

Afrika tumeanza kuvaa na kufaidi luxury life 1970s
Huwezi linganisha na mbele ambako walianza toka karne ya 16 hasa 1750

Wazungu wametuweka kwenye kundi LA ulimwengu wa tatu
Ulimwengu wa misaada
Viongozi wenyewe ndo malimbukeni kupita wananchi wao wakipata madaraka wanakuwa more extravagant
More foolish arogant

MTU mweusi kujichukua mboga mia na ushua ushua mwingi hizo ndo impacts zenyewe

Mfano baadhi ya makabila yaliwahi kuiona elimu mapema enzi za mkoloni
Sasa Leo wanaitwa ishomile family
Lakini hiyo elimu ingekuwa sawa maeneo yote hata ishomile family wangetoka kurya people wegi tu

Waha na wasukuma wali provide cheap labour sasa Leo wanaitwa wachapa kazi

Anyway muda utaamua tutasettle tu

Ila tupigane kwanza akili zitukae sawa
 
aisee!
 
Wengine kila thread wanapost kwa laptop,
yaani hawanaga simu za efu 50 hao haha.
 
wakati robotatu yetu tupo vijiweni😱😱😱😱
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…