Members wa JF bwana!!!!

Members wa JF bwana!!!!

Yaani humu kila mwanaJF anaponda kuajiriwa serikalini, kila mmoja kajiajiri, kila mmoja hana shobo na mshahara wa serikali, kila mmoja wazazi wake wana elimu ya chuo kikuu, kila mmoja kasoma mwenye elimu ya chini ni shahada ya kwanza (tena UDSM).

WanaJF Bwana!
Mimi form four siongei.
 
Back
Top Bottom