Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haahahaahahh Sergio 5 hahahahaKasoro mimi tu Mkuu sinaga izo show off
angekuwa amenibandua nisingesema hapa mkuuMkuu ina maana huna shaka na kilichotokea kwenye hiyo safari ya Miss Natafuta kwenda kwa jamaa.
angekuwa amenibandua nisingesema hapa mkuu
hahahahahaha, JF raha sana sitoki ng'ooooWengine utasikia Nina gari...nina simu kali...namiliki biashara kubwa... Kumbe hamna kitu
Unauhakika na hayo ulosema??Yaani humu kila mwanaJF anaponda kuajiriwa serikalini, kila mmoja kajiajiri, kila mmoja hana shobo na mshahara wa serikali, kila mmoja wazazi wake wana elimu ya chuo kikuu, kila mmoja kasoma mwenye elimu ya chini ni shahada ya kwanza (tena UDSM).
WanaJF Bwana!
Nani huyo na mie nimtembelee, hahahahahahaahhnilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
Super women 2 nina hakika aisee!Unauhakika na hayo ulosema??
hahahahaha agata hahahahahHahaha! tupo LA saba b mbona.
Haya.Super women 2 nina hakika aisee!
hahahahaah, Sakayo hahaha, ni kweli ukiona "siledi" inazungumzia matatizo ya traffic basi kila mtu alishapamba na hali hiyo akiwa anaendesha gari, kusumbuliwa na traffic hahahahahahaaYaani humu bhanaa kama huna moyoo utajuta... Huwa najuaga mie mwenyewe ndo nagombania matatu!!! Maana humu kila mtu anagari hao wa Chiini saaana wapo wenye Meli humuu!!!!
ahaaa ngoja nitakupa namba zakeNani huyo na mie nimtembelee, hahahahahahaahh
ahahahahaahahahaahaha, ila wewe hahahahahNi mimi tu JF mwenye diploma ya VETA nisiyejua kiingereza kuliko wote
nilishawai kukutana na mwanajf mmoja . tulienda hadi home kwake.ile sio nyumba wala mjumba sijui niiteje maana kila chumba kila bafu na gym yake .camera hadi chooni. elimu yake sijui nisemeje .ni super rich. ila huwezi amini humu jf ana post za kipuuzi sijawai ona.unaweza kumkuta hata kwenye post za team mond au kiba na yeye anatukana kule. ukienda mmu kajaa tele .ukienda chit chat ndo usiseme ni ngumu kabiasa kujua huyu jamaa ni mtu anaeheshimika vibaya mno ndani na nje ya nchi. maisha ya jf hayana uhalisia wowote .
miss chagga lara 1 njooni niwape chimbo muachane na shida za dunia
Si kidogoo!!! Yaani hata ukipiahana na mtu kauli anatumia lugha ya kukushusha tuuMko wangapi je unataka kusema wote wana jf ni wakujigamba?
Nipe shoga yangu maana kama nyumba ina gym bila shaka hata kaunta ya vinywaji vikali itakuwepo na mie huo ndio ugonjwa wangu hahahahahahahaaa ngoja nitakupa namba zake
Ila sishangai maana ni sehemu ya makutano ya wengi na wenye akili tofauti tofautiSi kidogoo!!! Yaani hata ukipiahana na mtu kauli anatumia lugha ya kukushusha tuu
Yaani we acha tuuu, mie niko na moyo wa baba naamini nami ipo siku tuu!!!hahahahaah, Sakayo hahaha, ni kweli ukiona "siledi" inazungumzia matatizo ya traffic basi kila mtu alishapamba na hali hiyo akiwa anaendesha gari, kusumbuliwa na traffic hahahahahahaa
Ni kweli Mndali umenena sawa sawia aiseeChukua mawazo yanayo weza kukujenga unayo ona hayakuhusu mwachie mwenyewe
Humu kila mtu anajua kinacho mfanya awepo humu
Humu tupo aina nyingi wapo wasomi, wasomi hewa, wajuaji na wasio jua kabisa