Members wa JF bwana!!!!

Unauhakika na hayo ulosema??
 
Nani huyo na mie nimtembelee, hahahahahahaahh
 
Yaani humu bhanaa kama huna moyoo utajuta... Huwa najuaga mie mwenyewe ndo nagombania matatu!!! Maana humu kila mtu anagari hao wa Chiini saaana wapo wenye Meli humuu!!!!
hahahahaah, Sakayo hahaha, ni kweli ukiona "siledi" inazungumzia matatizo ya traffic basi kila mtu alishapamba na hali hiyo akiwa anaendesha gari, kusumbuliwa na traffic hahahahahahaa
 


hongera ulibahatika kumvulia chupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…