Members wenye majina mabaya JF taja unaowafahamu

Members wenye majina mabaya JF taja unaowafahamu

Aisee Jamii Forum kuna watu wenye majina mabaya (Fake ID), yaani ukiangalia jina ngumu kama mizizi ya dawa za kienyeji. Mengine majina yana kiima na kiarifu.

>> KABHILABHIGHAMBO
>> CHIKIRA MTABARI
>> Malafyale
>> Mndali ndanyelakakomu
>> Otorong'ong'o
>> Bujibuji
>> nanyupu
<>> Numbisa
Yaani majina mengine bwana tabu tupu!!
Hebu ongezea yakwako unayoyafahamu.........
NB. Hapa ni Chitchat . Povu mwisho la 50


KWELI NIMEAMINI "GREAT THINKERS" TUMEINGILIWA , TUNALAZIMIKA KUJADILI UZURI/UBAYA WA MAJINA?
 
Wengine ni majina ya kilugha!!! The fact kwamba huelewi maana yake haifanyi yawe majina mabaya. Kizungu si lugha yetu, tuheshimu lugha zetu pia. Yaani nawapenda sana wanaijeria kwa sababu hii! Hawaogopi kumpa mtoto jina la kilugha, na kila mnigeria ana hayo majina wengine tunayaona mabaya.
 
KWELI NIMEAMINI "GREAT THINKERS" TUMEINGILIWA , TUNALAZIMIKA KUJADILI UZURI/UBAYA WA MAJINA?
Hujaitwa wala hujalazimishwa kukomenti, nenda huko kwa Great thinker wenzio tuache sisi.

Kwanza li jina lako lenyewe libaya
 
Back
Top Bottom