Men Talk: Kuhusu Single Mom's

Men Talk: Kuhusu Single Mom's

G.Man

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
1,040
Reaction score
2,157
Habari MMU

Niaendee moja kwa moja na hoja yangu,

Nimekuwa nikiona nyuzi nyingi sana kwenye mitandao, nimeskia stories vilingeni na kushuhudia baadhi ya mikasa kuhusiana na hawa dada zetu. Kote huko comments kutoka kwa wanaume huwa ni mbaya tu, kejeli , matusi na lawama nyingi sana, Wakati akina dada wengi huishia ku-comment tu kwamba ‘sio wote’.. Imefika mahali hata maazimio yamepitishwa huko kuwa hakuna kuoa Singlemom . Its Ok!
Sasa sababu kubwa zaidi na kipekee inayotajwa ya kuwaepuka, ni uwezekano mkubwa wa huyo mwanamke kupasha kiporo na baba wa m(wa)toto wake. Na hapa ndo msingi wa hoja yangu kuongea na wewe mwanaume.

Hivi wewe umempa mwanamke mimba na ukaikataa, au ukamtelekeza iwe kabla au baada ya mtoto kuzaliwa kwasababu zako tu na most ni kwamba ‘Hakuwa chaguo langu, siwezi kumuoa!’. Umemwacha huyo mama wa mwanao akateseka, akapanda, akashuka ili akutunzie mtoto wako. Tena umepewa na nafasi ya upendeleo ya kutambulika kama baba na kupewa ubin wa mtoto ambae humuhangaikii, wakati mwingine hutaki kuona hata simu ya mamake kuhusiana na huyo mtoto, uko bize either na mwanamke mwingine unae hisi unampenda. Inafika mahali huyo mwanamke anakata tama na wewe, na ikitokea kama bahati akapata Mwanaume mwingine ambae ameonesha upendo wa dhati anaamua kumchukua yeye na kumtunza mtoto wako wewe. Sasa;

Nashindwa kujua ni nini huwa kinatokea unaanza kumuona kama huyo mwanamke ni mzuri sana au anafaa sana mpaka unashindwa kuthamini mchango wa mwanaume mwezio kwako kupitia mwanao uliyemtelekeza, na kuamua kupitia kwa huyo huyo mtoto kama njia ya kumvunjia Mwana heshima aliyokupa na unaamua kutumia udhaifu wa mwanamke wake kwako kujiburudisha bila aibu?

Ukiwa unajua kabisa huyo mama mtoto akiachika kwa mume wake huwezi kumuoa wewe, huoni hata mtoto wako ndo atakaye rudi kwenye mateso kwa makosa yako ya mara nyingine kama ukisababisha akaachwa na huyo mwanaume?

Kuna wanawake wangapi mtaani ambao ungeweza kutoka nao hadi unaamua kwenda ku risk mahusiano ya mtu ambae ulisha vuruga utaratibu wake wa maisha kabla?

Wakati mwingine unaweza kuwa hata umeoa mwanamke uliyeona kwamba ni Perfect match kwako, kwanini uhangaike tena na Yule uliyemuona wa kazi gani?

Hata kama amejirahisisha kwako , unahisi kum deny kutabadilisha jinsia yako? Man Up!.

Mahusiano mengi ya Single Mom’s yamekuwa magumu sana coz Single Dad’s wao wanawavizia kipindi wakipata mahali pa uhakika pa kujishikiza ndo na wao wanaanza kujitokeza na kujifanya wanajali watoto wao kumbe wanamuwinda mama mtoto. Mbaya zaidi wanaweza kuwakatili tena wanaume waliowabebea mzigo wao kwa kuzaa watoto wengine na hao baby mamaz na kumshikisha ‘Bwege’ mwenye kosa moja tu la Kupenda. (Japo wanawake na wao sijui akili wanashikiwaga na nani!)

Wito kwa Wanaume: Achana na wake wa watu; Hata kama mliwahi kuwa na mahusiano nao kabla. Zaidi Kuwa Responsible. Imetokea umempa binti mimba, jitahidi lea mwanao. Nenda hata ukaibe ila usiwe baba jina. Unaweza ukafurahi saivi kula tunda kimasihara kwa mama mtoto ila Trust me! Huyo mwanamke akili yake itakuja kukaa sawa huko mbeleni, na wakati huo mtoto atakuwa mkubwa na utakuwa unamuhitaji, alafu Utajua ulikuwa Hujui!

Please! Msaidie mwanamke ambae huna future nae lakini bahati mlijaliwa kuwa na mtoto kwa KUMUACHA, maana naona kama wao wameshindwa kuheshimu fadhila, Ebu muepuke tu, Weka mipaka. Jivalishe viatu vya mume wake uone unavyokosea kutafuna mke wake hata kama alikuwa demu wako. Ikiwezekana usiwasiliane na huyo mwanamke kuhusu mtoto, wasiliana na huyo baba mlezi wa mwanao

Mwisho, wanaume tuwe na nidhamu na miili yetu, sisi ni Cheap sanaaa! Kwa kigezo cha kujiona ndo uanaume. Huwezi kumaliza wanawake wote !, Ebu jiamini bwana, wewe ni kiumbe hadimu lakini Tunakuwa wadhaifu sana mpaka kudharaulika. Tunashindwa kirahisi sana kwenye jambo lolote lile as far as Papuchi inakuwa concerned. Ndio maana ndoa nyingi mno wanaume wanateseka vile hawasemi. Ambacho hatujui ni kwamba tunatesana zaidi wanaume kwa wanaume kupitia wake zetu tu, ambao hata Maandiko yanatuambia ni Vyombo Dhaifu(Usi wa underestimate lakini, huo udhaifu unaosemwa una mipaka!)​

"The World Is full of Guys, be a MAN"
 
Vipi kama huyo mwanaume alijifanya kidume akamkwapua mke/demu wa mtu akiwa tayari ana mtoto kwa kuwa tu mwenye demu/mke ni kapuku.

Siku huyo kapuku akikaa sawa kifedha akaamua kuonesha makali yake. Lawama ziende kwa nani?

Kwahiyo siyo kila single mama aliachwa ama kutelekezwa. Wengine waliwatupa waume zao ili waende penye "udambwi-udambwi. Kapuku hupasha kiporo ili kulipa kisasai pasipo mwanamke kujua.. (nafungua uzi kuhusu hili).
 
Vipi kama huyo mwanaume alijifanya kidume akamkwapua mke/demu wa mtu akiwa tayari ana mtoto kwa kuwa tu mwenye demu/mke ni kapuku.

Siku huyo kapuku akikaa sawa kifedha akaamua kuonesha makali yake. Lawama ziende kwa nani?

Kwahiyo siyo kila single mama aliachwa ama kutelekezwa. Wengine waliwatupa waume zao ili waende penye "udambwi-udambwi. Kapuku hupasha kiporo ili kulipa kisasai pasipo mwanamke kujua.. (nafungua uzi kuhusu hili).
Sasa unakuwa unalipa kisasi gan wakati unaibia tu kwa mchizi na yeye hajui? Kama ni kisasi cha kweli mnyang'anye huyo mwanamke wako basi, au mgongee jamaa akiwepo, ili imuume kama wewe ulivyoumia
Though kwenye uzi sijalenga wanaume waliotoswa bila matakwa yao
 
Habari MMU

Niaendee moja kwa moja na hoja yangu,

Nimekuwa nikiona nyuzi nyingi sana kwenye mitandao, nimeskia stories vilingeni na kushuhudia baadhi ya mikasa kuhusiana na hawa dada zetu. Kote huko comments kutoka kwa wanaume huwa ni mbaya tu, kejeli , matusi na lawama nyingi sana, Wakati akina dada wengi huishia ku-comment tu kwamba ‘sio wote’.. Imefika mahali hata maazimio yamepitishwa huko kuwa hakuna kuoa Singlemom . Its Ok!
Sasa sababu kubwa zaidi na kipekee inayotajwa ya kuwaepuka, ni uwezekano mkubwa wa huyo mwanamke kupasha kiporo na baba wa m(wa)toto wake. Na hapa ndo msingi wa hoja yangu kuongea na wewe mwanaume.

Hivi wewe umempa mwanamke mimba na ukaikataa, au ukamtelekeza iwe kabla au baada ya mtoto kuzaliwa kwasababu zako tu na most ni kwamba ‘Hakuwa chaguo langu, siwezi kumuoa!’. Umemwacha huyo mama wa mwanao akateseka, akapanda, akashuka ili akutunzie mtoto wako. Tena umepewa na nafasi ya upendeleo ya kutambulika kama baba na kupewa ubin wa mtoto ambae humuhangaikii, wakati mwingine hutaki kuona hata simu ya mamake kuhusiana na huyo mtoto, uko bize either na mwanamke mwingine unae hisi unampenda. Inafika mahali huyo mwanamke anakata tama na wewe, na ikitokea kama bahati akapata Mwanaume mwingine ambae ameonesha upendo wa dhati anaamua kumchukua yeye na kumtunza mtoto wako wewe. Sasa;

Nashindwa kujua ni nini huwa kinatokea unaanza kumuona kama huyo mwanamke ni mzuri sana au anafaa sana mpaka unashindwa kuthamini mchango wa mwanaume mwezio kwako kupitia mwanao uliyemtelekeza, na kuamua kupitia kwa huyo huyo mtoto kama njia ya kumvunjia Mwana heshima aliyokupa na unaamua kutumia udhaifu wa mwanamke wake kwako kujiburudisha bila aibu?

Ukiwa unajua kabisa huyo mama mtoto akiachika kwa mume wake huwezi kumuoa wewe, huoni hata mtoto wako ndo atakaye rudi kwenye mateso kwa makosa yako ya mara nyingine kama ukisababisha akaachwa na huyo mwanaume?

Kuna wanawake wangapi mtaani ambao ungeweza kutoka nao hadi unaamua kwenda ku risk mahusiano ya mtu ambae ulisha vuruga utaratibu wake wa maisha kabla?

Wakati mwingine unaweza kuwa hata umeoa mwanamke uliyeona kwamba ni Perfect match kwako, kwanini uhangaike tena na Yule uliyemuona wa kazi gani?

Hata kama amejirahisisha kwako , unahisi kum deny kutabadilisha jinsia yako? Man Up!.

Mahusiano mengi ya Single Mom’s yamekuwa magumu sana coz Single Dad’s wao wanawavizia kipindi wakipata mahali pa uhakika pa kujishikiza ndo na wao wanaanza kujitokeza na kujifanya wanajali watoto wao kumbe wanamuwinda mama mtoto. Mbaya zaidi wanaweza kuwakatili tena wanaume waliowabebea mzigo wao kwa kuzaa watoto wengine na hao baby mamaz na kumshikisha ‘Bwege’ mwenye kosa moja tu la Kupenda. (Japo wanawake na wao sijui akili wanashikiwaga na nani!)

Wito kwa Wanaume: Achana na wake wa watu; Hata kama mliwahi kuwa na mahusiano nao kabla. Zaidi Kuwa Responsible. Imetokea umempa binti mimba, jitahidi lea mwanao. Nenda hata ukaibe ila usiwe baba jina. Unaweza ukafurahi saivi kula tunda kimasihara kwa mama mtoto ila Trust me! Huyo mwanamke akili yake itakuja kukaa sawa huko mbeleni, na wakati huo mtoto atakuwa mkubwa na utakuwa unamuhitaji, alafu Utajua ulikuwa Hujui!

Please! Msaidie mwanamke ambae huna future nae lakini bahati mlijaliwa kuwa na mtoto kwa KUMUACHA, maana naona kama wao wameshindwa kuheshimu fadhila, Ebu muepuke tu, Weka mipaka. Jivalishe viatu vya mume wake uone unavyokosea kutafuna mke wake hata kama alikuwa demu wako. Ikiwezekana usiwasiliane na huyo mwanamke kuhusu mtoto, wasiliana na huyo baba mlezi wa mwanao

Mwisho, wanaume tuwe na nidhamu na miili yetu, sisi ni Cheap sanaaa! Kwa kigezo cha kujiona ndo uanaume. Huwezi kumaliza wanawake wote !, Ebu jiamini bwana, wewe ni kiumbe hadimu lakini Tunakuwa wadhaifu sana mpaka kudharaulika. Tunashindwa kirahisi sana kwenye jambo lolote lile as far as Papuchi inakuwa concerned. Ndio maana ndoa nyingi mno wanaume wanateseka vile hawasemi. Ambacho hatujui ni kwamba tunatesana zaidi wanaume kwa wanaume kupitia wake zetu tu, ambao hata Maandiko yanatuambia ni Vyombo Dhaifu(Usi wa underestimate lakini, huo udhaifu unaosemwa una mipaka!)​

"The World Is full of Guys, be a MAN"
Wee jamaa naona upo kambi ya upinzani. Sasa ni nini hii umeleta hapa?
Braza achana kabisa na mambo ya kuoa single maza, damaged goods hizo unfit for marriage but fit for kugegedaring.
 
Hizi ni pumba

1.Umeandika as if mwanamke ni kiumbe mjinga ambaye hana maamuzi kabisa
2.Umeandika as if single mom ni mwanamke malaya yaani hawezi kukataa km mzazi mwenzake akirudisha majeshi.


Cha msingi hapa ulichoandika ni kusema tulee watoto wetu km mahusiano yamekwisha,kwanza tutumie condom tu hamna sababu ya msingi ya kumpa mimba mwanamke usiye na malengo nae uzinzi uishie kwenye ngono tu. Condom zipo hadi za 1000/-Zitumiwe.

Mambo sijui ya kwanini una mtafuna mke wa mwenzio mi nadhani ushauri huu apewe mwanamke aambiwe live kabisa ni upuuzi na pumbavu kukubali kulala na mwanaume aliyekutekeleza wewe na mtoto eti kisa ni baba mtoto wako.Kumtetea mwanamke kwa dizaini hii ni kumfanya awe MJINGA zaidi.Mwanaume kakutelekeza kamtelekeza mtoto,umepata mwanaume wa kueleweka,kakupenda wewe na mtoto wako.K*ma yako unaipeleka kwa mwanaume aliyekutelekeza.Ukiulizwa eti mzazi mwenzangu!eti mwanamke ni dhaifu.Huu si upuuzi huu.
 
Umeongea vyema. Ila naomba nitie neno kidogo.

Mahusiano mwngi ya single moms na baby daddies wao yanaisha ikiwa tu mwanamke ndiye ameaua yaishe. Ni single daddies wachache sana ambao wanaweza wakawachomolea baby mommas's zao wakiwataka (mfano Sugu na Fiza), tena usiombe huyo baby momma awe kamzalia kabinti ndiyo kabisaaaa.

Ukiona baby momma kutwa kucha baba fulani, sijui mara atume meseji za kumchekesha, mara baba fulani naumwa, mara sijui nimepiga chafya; Ikitokea shughuli/msiba kwa kina baby daddy yeye ndiyo wa kwanza kufika, na atafanyeje kazi; kimbia fasta . Hajamove on kwa baby daddy na ndiyo hao ambao hata wakiolewa bado watabeba na mimba za baby daddy. Na kuna wale tegemezi, wanaohisi hawawezi kujihudumia wenyewe so wataendelea kulala na baby daddies wao as long as salio linaingia

Jamani baby momma aliyemove on, hata akiwa single, awe hana pesa; the way atabehave na baby daddy wake ni seriously kuhusu mtoto. Sasa akipata mume, kastirika ndoani, ndiyo wale hata mawasiliano na baby daddy yanapitia kwa mume. Hatotaka mume wake apate wasiwasi kabisa.

So kwa hapa, naomba nisiwalaumu sana baby daddies maana hawaendi kuwabaka hao baby mommas wao; ni wao wenyewe ndiyo wanataka. Trust me, hakuna single mom atakayekubali kijinga kijinga eti baby daddy amuharibie ndoa yake, unless yeye mwenyewe ametaka kwa upumbavu wake. Aliyepo ndoani ndiyo ana wajibu wa kuilinda ndoa yake, na sio utegemee huruma ya 3rd party kukulindia ndoa yako.
 
Umeongea vyema. Ila naomba nitie neno kidogo.

Mahusiano mwngi ya single moms na baby daddies wao yanaisha ikiwa tu mwanamke ndiye ameaua yaishe. Ni single daddies wachache sana ambao wanaweza wakawachomolea baby mommas's zao wakiwataka (mfano Sugu na Fiza), tena usiombe huyo baby momma awe kamzalia kabinti ndiyo kabisaaaa.

Ukiona baby momma kutwa kucha baba fulani, sijui mara atume meseji za kumchekesha, mara baba fulani naumwa, mara sijui nimepiga chafya; Ikitokea shughuli/msiba kwa kina baby daddy yeye ndiyo wa kwanza kufika, na atafanyeje kazi; kimbia fasta . Hajamove on kwa baby daddy na ndiyo hao ambao hata wakiolewa bado watabeba na mimba za baby daddy. Na kuna wale tegemezi, wanaohisi hawawezi kujihudumia wenyewe so wataendelea kulala na baby daddies wao as long as salio linaingia

Jamani baby momma aliyemove on, hata akiwa single, awe hana pesa; the way atabehave na baby daddy wake ni seriously kuhusu mtoto. Sasa akipata mume, kastirika ndoani, ndiyo wale hata mawasiliano na baby daddy yanapitia kwa mume. Hatotaka mume wake apate wasiwasi kabisa.

So kwa hapa, naomba nisiwalaumu sana baby daddies maana hawaendi kuwabaka hao baby mommas wao; ni wao wenyewe ndiyo wanataka. Trust me, hakuna single mom atakayekubali kijinga kijinga eti baby daddy amuharibie ndoa yake, unless yeye mwenyewe ametaka kwa upumbavu wake. Aliyepo ndoani ndiyo ana wajibu wa kuilinda ndoa yake, na sio utegemee huruma ya 3rd party kukulindia ndoa yako.
Kila nikifikiria hayo,nakosa nguvu ya kuwa na single daddy [emoji4]
 
Hizi ni pumba

1.Umeandika as if mwanamke ni kiumbe mjinga ambaye hana maamuzi kabisa
2.Umeandika as if single mom ni mwanamke malaya yaani hawezi kukataa km mzazi mwenzake akirudisha majeshi.



Cha msingi hapa ulichoandika ni kusema tulee watoto wetu km mahusiano yamekwisha,kwanza tutumie condom tu hamna sababu ya msingi ya kumpa mimba mwanamke usiye na malengo nae uzinzi uishie kwenye ngono tu. Condom zipo hadi za 1000/-Zitumiwe.

Mambo sijui ya kwanini una mtafuna mke wa mwenzio mi nadhani ushauri huu apewe mwanamke aambiwe live kabisa ni upuuzi na pumbavu kukubali kulala na mwanaume aliyekutekeleza wewe na mtoto eti kisa ni baba mtoto wako.Kumtetea mwanamke kwa dizaini hii ni kumfanya awe MJINGA zaidi.Mwanaume kakutelekeza kamtelekeza mtoto,umepata mwanaume wa kueleweka,kakupenda wewe na mtoto wako.K*ma yako unaipeleka kwa mwanaume aliyekutelekeza.Ukiulizwa eti mzazi mwenzangu!eti mwanamke ni dhaifu.Huu si upuuzi huu.
Sio kweli
Mwanamke sio kiumbe mjinga na ana maamuzi yake ambayo kuna muda pia yanaweza kuwa yakijinga
Single mama pia sio malaya, japo kuna malaya pia wapo miongoni mwao
Natamani kukumbusha tu kuwa mbona kuna wanawake wengi sana wazuri, unakuwa na ulazima gani wa kukomaa na mke wa mtu regardless ya upuuzi wao uliosema?
Kuhusu wanawake na misimamo yao tuwaachie hii ni Men Talk

"The World Is full of Guys, be a MAN"
 
Teh yaani hiyo haihitaji tu maturity, ila inahitaji na neema ya Mungu pia. Wenyewe tu ukiwaambia kuoana na single parent wanakimbia.
[emoji1787][emoji1787]
Dah huo mtihani naona unaninyemelea[emoji38]
Nina balaa mimi dada[emoji1787]
Nitakutafuta
 
It is well lil sis. You may bag yourself a good man in a single father
Anytime mdogo angu
[emoji1787][emoji1787]
Dah huo mtihani naona unaninyemelea[emoji38]
Nina balaa mimi dada[emoji1787]
Nitakutafuta
 
Back
Top Bottom