Shangaa na wewe mkuu,yaani kila baya ni laoWe are back to singo mazazi ageini? Jizazi [emoji20]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shangaa na wewe mkuu,yaani kila baya ni laoWe are back to singo mazazi ageini? Jizazi [emoji20]
Mkuu inaonekana yalishakukuta !!!Tatizo la single mama hujisahaulisha na kuanza kudai pesa ya huduma ya mtoto kana kwamba wewe ndie uliemtia mimba,ni wasumbufu sana hasa ukute hana shughuli inayomwingizia kipato hakika utakoma kumpenda
We acha tu mkuu!!! Unakuta mtu anafosi umtumie pesa kila muda!! Mara mtoto anaumwa!! Mara sijui pesa ya nini?Mkuu yamekukuta nn?
Funguka mkuu una maana gani kusema hivyo?Hata Kama uwezo unao achana nao
Mwanzoni unaweza usione kasoro yoyote ila baada ya watoto kujiweza hapa ndipo utajua hujui
Ipo hivyo aliyempa zawadi ya kwanza ya mtoto ndie aliempenda kweli!! Wanaofuata wanalendwa kwaajili ya pesa na matunzo tuAliyewadanganya ukizaa na mwanaume ndio unampenda sana nani????
Asante vp....upo singo?Pole Sana
Mimi?Asante vp....upo singo?
Yeah upo singo au singo maza?Mimi?
Not singo maza...hapo kwenye singo let me ask my baby😂Yeah upo singo au singo maza?
Go for single mother only when you ur desperate with out an alternative, otherwise its hell......Ahlan wa sahlan
Katika ulimwengu wa sasa hawa kina dada na kina mama wanaolea watoto peke yao wanahitaji sana wanaume ambao kwanza watahakikisha wanaweza kuwatunza wao na watoto zao kuliko kuwapenda .
Mwanamke huwa anampenda sana mwanaume aliyempatia watoto ila kutokana na sababu za hapa na pale zinazopelekea mahusiano hayo ya kwanza kufa huwa ule moyo wao wa kupenda kama mwanzo nao unapotea hivyo katika mahusiano yanayofuata huwa wanaangalia sana mwanaume ambae anaweza kuwahudumia wao na watoto.
Kama huna uwezo au pesa ya kumtunza sungle mother na mwanawe/wanawawe nakushauri usijaribu kudate nao maana uhusiano wake na yeye hautakuwa na matunda yoyote yale.
afu cha ajabu unawasema shangazi zako.Kwanini nihudumie mwanamke aliyezalishwa na kidume kingine ,...watoto wabichi bikra wapo kila Kona nianze kuhangaika na hao singo Maza walioshindikana ndani ya nyumba ,mtaani Hadi mtaa mzima