OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Anaandika Msemaji Mstaarabu Ahmed Ally katika kurasa ya Instagram
Ni kweli tuna wachezaji watatu tunawafanyia majaribio
Mashabiki wa Simba wamepata hofu kwanini timu yao na ukubwa wao wanafanya majaribio??
Kwanza kabla ya yote niwaambie tuu Wachezaji ambao sisi tunawafanyia majaribio wakienda timu yoyote ya hapa Africa Mashariki watapewa hadi unahodha
Au ingekua wale wengine wangelala Airport kuwasubiri lakini kwa ukubwa wa Simba tukasema hapana njoeni tujiridhishe kiufundi
Sisi hatusajili mtu kwa sababu tuu alifunga goli la Tiktaka
Majaribio ni aina ya mfumo wa Usajili unaokubalika duniani kote na yanampa fursa Mwalimu kumuangalia mchezaji kwa jicho lake mwenyewe (Naked Eye)
Kupitia majaribio Mwalimu anamfanyia tathimini mchezaji kwa kuangalia vitu muhimu kama vile Akili ya mchezaji (Mental health) , Ufundi (Technical) , mbinu ( Tactical) Presha ( Temperament) nguvu (Physic) nini anafanya akiwa na mpira na nini anafanya akiwa hana mpira (With or without a ball)
Vyote hivi huwezi kuvipata kwa kuangalia YouTube au kuhadithiwa na Wakala
Lakini kama haitoshi Majaribio pia yanampa fursa mchezaji mwenyewe kusoma mazingira ya klabu husika Ili aone kama anaweza kufanya kazi hapo au la
Wapo wachezaji wanaosajiliwa moja kwa moja na bado wamefeli hivyo kumnunua mchezaji hai gurentee atafanya vizur na unaemchukua kwa majaribio haina maana hajui Boli
Wana Simba tusiwe na presha na katika hawa ambao wapo kwenye Majaribio hakuna ambae atasajiliwa bila maagizo ya Mwalimu na kwa utaalamu wa Mwalimu wetu akipendekeza mchezaji basi anajua kweli
Tayar tumemuona Sharaf Shibob na Tenena Cheik na leo insha Allah tutamuona Etop David Udoh
Ingekua kusajili mchezaji moja kwa moja ni uhakika Sarpong angekua na top scorer
Tukutane Amaan Stadium tukaishudie timu yetu inatinga Nusu Fainali Inshallah🙏🙏
Ni kweli tuna wachezaji watatu tunawafanyia majaribio
Mashabiki wa Simba wamepata hofu kwanini timu yao na ukubwa wao wanafanya majaribio??
Kwanza kabla ya yote niwaambie tuu Wachezaji ambao sisi tunawafanyia majaribio wakienda timu yoyote ya hapa Africa Mashariki watapewa hadi unahodha
Au ingekua wale wengine wangelala Airport kuwasubiri lakini kwa ukubwa wa Simba tukasema hapana njoeni tujiridhishe kiufundi
Sisi hatusajili mtu kwa sababu tuu alifunga goli la Tiktaka
Majaribio ni aina ya mfumo wa Usajili unaokubalika duniani kote na yanampa fursa Mwalimu kumuangalia mchezaji kwa jicho lake mwenyewe (Naked Eye)
Kupitia majaribio Mwalimu anamfanyia tathimini mchezaji kwa kuangalia vitu muhimu kama vile Akili ya mchezaji (Mental health) , Ufundi (Technical) , mbinu ( Tactical) Presha ( Temperament) nguvu (Physic) nini anafanya akiwa na mpira na nini anafanya akiwa hana mpira (With or without a ball)
Vyote hivi huwezi kuvipata kwa kuangalia YouTube au kuhadithiwa na Wakala
Lakini kama haitoshi Majaribio pia yanampa fursa mchezaji mwenyewe kusoma mazingira ya klabu husika Ili aone kama anaweza kufanya kazi hapo au la
Wapo wachezaji wanaosajiliwa moja kwa moja na bado wamefeli hivyo kumnunua mchezaji hai gurentee atafanya vizur na unaemchukua kwa majaribio haina maana hajui Boli
Wana Simba tusiwe na presha na katika hawa ambao wapo kwenye Majaribio hakuna ambae atasajiliwa bila maagizo ya Mwalimu na kwa utaalamu wa Mwalimu wetu akipendekeza mchezaji basi anajua kweli
Tayar tumemuona Sharaf Shibob na Tenena Cheik na leo insha Allah tutamuona Etop David Udoh
Ingekua kusajili mchezaji moja kwa moja ni uhakika Sarpong angekua na top scorer
Tukutane Amaan Stadium tukaishudie timu yetu inatinga Nusu Fainali Inshallah🙏🙏