Meneja Babu Tale!

Pengine kweli hajui kingereza lakini sijawai kusikia ameshindwa kuwasiliana! Lakini hilo haliondoi ukweli kuwa Tale kamsaidia diamond na Hata yeye mwenyewe ana kubali.
 
u really are dump aaren't u??
Promota utapeli?the same guy paid for his first trip visas and everything???.
Dude go and do ur research..stop being a hyper man for talle n co..
Hakuna dalili za utapeli kwa swala la hiyo show ya pili..swala babu talle alileta uswahili wake kwa personal interest..
Strickly not being biased but hata kama iasue haikuwa ticket why watangaze mpaka dakika za mwisho ndo wa pull out..guess why? LACKING MANEGERIAL SKILLS..NA kufanya mambo yake kimazense..do me favour and go get facts na sio upambe upambe tu..
 
Hapo nilipo pigia mstari pameondoa uhalali wa maandishi yako! Huyu Tale si parfect Manager Lakini pengine umeshindwa kuonesha alipo kosea na hatuwezi kutoa hukumu kupitia neno inasemekana .
Eti uhalali???and u r???can we all know who thr heck u r here kutoa uhalali na kuakiki maoni ya watu..u really are broke aaren't u?? Spending time correcting people's ish instead of voicing urs..Guess this really bothers u!!Get on with it..its a free world and each one of us r entitled to own opinion..not always facts but hey its mine and my opinion doesn't necessarily have to approved by YOU or anyone
 


1. the word is dumb, not dump.

2. its not about being dumb, and it is, then you are the dumb one here.

3. before any show, kuna negotiations zinafanyika, advance payments and so forth... for example, someone hasn't paid your advance, what do you do when time is due??? I insist, the show was cancelled kwa sababu za kiutapeli... WALISTUKA... go and do your research too... mambo ya first class yalikuja just kumsitiri promoter..

4. dont pretend to know much about music and management, otherwise, ditch your ass in and save them.

5. there are lots of lousy managers out there, you ca go and join them, since you seem to want being that, other than yelling on this forum... that wont help
 
Mkuu uandishi wako si mzuri andika kwa ufasaha hivi vifupisho Vina haribu uandishi!
Turudi kwenye mada!
Unapo tumia neno inasemekana ina maanisha huna uhakika na unacho kisema na hatuwezi Kutoa hitimisho kwa mambo ambayo yanasemekana!

Unapo tumia neno inasemekana basi uhalali wa maandishi yako Unaondoka maana ni wazi huna hakika .

Na umenishangaza kuwa hutaki watu wahoji unacho kisema na una sahau kabisa hili ni jukwaa la mijadala na lazima tujadili na kwenye wasiwasi lazima tuhoji na usitegemee kuweka kitu hapa tukaacha kukihoji!

Unacho takiwa ni kutetea hoja zako na si kosa la jinai ukishindwa!

Note: Neno inasemekana halifai kwenye mijadala kama hii!
 
Mi naomba kuuliza, kwani Clouz ndiyo radio pekee nchini? Kwani ukipigiwa nyimbo na clouz ndio unatoka? Mbona msanii kama Mo-music wa "Basi nenda" ametoka tu japo wimbo wake haujapigwa sana na clouz maana kizuri ni kizuri tu kama msanii ukiwa na wimbo mkali sidhani kama utaacha kutoka, mbona Samir nyimbo yake ilivuma kwa njia ya blutooth za simu bila clouz na leo ni msanii mkubwa tu..?!
 

Mkuu una ugomvi gani na Babu Tale kwani? Be transparenly
 

Jaribu kusoma upya unachoandika kabla hujakirusha unachapia sana na matumizi ya 'a' na 'h' unayachanganya kiasi cha kupoteza point yako ya msingi
 

Nakubaliana Na Wewe...
 
papaa Misifa...
Then Ruge...
then Raqey Mohammed wa I-view Media
then Babu Tale, Mkubwa Fella and some other dude...
Diamond ana three managers ate the moment

Mbona umemsahau Jakaya Kikwete
 
n kweli tale anawasaidia sana wasanii anao wa manage,lakin wakat huohuo anaharibu Bongofleva..
ILI GAME YA BONGO IENDELEE INABIDI WATU KAMA TALE WASIWEPO..
 
Wakuu nawaibieni siri meneja WA diamond ni ruge hyo babu tale na said fella ni botion tu...hebu angalien mambo anayoyafanya diamond kwa akili ya kawaida utagundua Kuna mtu ambaye Yuko very smart nyuma yake....na cyo bogus km babu tale na fella
 
Said Fela anakwambia wadau wakuu nchi hii ni Said Fela na Mjomba Ruge na mdogo wangu Abdu Bonge (ndugu yake Tale). Hao jamaa wanajua fitina za mziki inabidi wasanii wawanyenyekee tu no way out. Mfano Dogo Janja karudi tena kwa hao jamaa
 
Said Fela+Babu Tale+ Suka na boss wao Ruge hawa watu ndio wameshikilia mwelekeo wa mziki wa Tanzania kwa upande wa bongo fleva

hawa ndio wanawapangia wanamziki style gani waimbe ili waweze kutoka na hapo ndio kuna hatari kubwa sana kwamba watu wanne tu ndio wanaweza kupanga mwelekeo wa mziki wa nchi kubwa kama Tanzania.

Lakini pia tatizo kubwa lipo kwa wasaani kuliko kwa hawa jamaa nasema tatizo kubwa lipo kwa wasanii kwa sababu hawa wasanii wameshajijengea mentality kichwani kwamba bila Clouds hawezi kufanikiwa nadhani wakishaachana na hii mentality watapiga hatua kubwa sana hivi kwa nini utegemee tu Clouds wakati kuna radio kama RFA, Kiss Fm na radio one ambazo zinasikika Tanzania nzima?? tatizo nini hawa wasanii hawaziamini au?

Imejengeka tabia kwamba kila msaani akitaka kutambulisha nyimbo eti ni lazima aanzie kwanza Clouds utadhani radio iko moja tu

Sifurahii ugomvi wa aina yoyote kati ya msanii yeyote na kituo chochote hasa Clouds ila pia sipendi kusikia msaani flani kaenda kuwapigia magoti Clouds napenda nisikie msaanii wasaani wamalize ugomvi na Clouds kwa makubaliano bila kuonekana upande flani ndio unanyenyekewa

Hizi radio zilizobaki nao pia nadhani wamekosa ubunifu hasa kwenye vipindi vya burudani ndio maana Clouds wanaendelea kuwa radio inayopendwa zaidi hasa kwenye vipindi vya burudani hapa kwenye ubunifu naomba niunganishe na Mamanagers pia

Pamoja na mabaya mengi anayomwagiwa Ruge mimi nikiwa mmojawapo lakini lazima tukubaliane tu kwamba huyu jamaa ni mbunifu sana ameitoa Clouds kuwa radio ya kawaida kabisa hadi kuwa Super brand radio kuna vitu watu watamlaumu bure tu sababu hii radio siyo ya umma kwamba inategemea ruzuku ya walala hoi lazima kina Ruge watengeneze pesa ili nao waishi changamoto ni kwa hizo radio nyingine kuwa wabunifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…