Meneja KNCU asafiri kwa pikipiki toka Moshi hadi Shinyanga na kupata ajali

Meneja KNCU asafiri kwa pikipiki toka Moshi hadi Shinyanga na kupata ajali

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
227
Reaction score
382
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
 
Kama Mungu alipanga Ajali hataingekuwaje angepatatu
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.

Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Kama Mungu alipanga ajali kutokea ingetokea hata bila ya iyo pikipiki mh! Lakini jamaa anamoyo km 700 na ushehee kwa pikpik kweli Mangi kazidi
 
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Akapimwe akili , au apelekwe mirembe
 
Unaweza ukashangaa lakini huo ndiyo ukweli wenyewe.

Meneja wa Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Kilimanjaro, Godfrey Massawe,hivi karibuni alisafiri kutoka Mjini Moshi kwenda Mkoani Tabora kwa shughuli za kichama akitumia usafiri wa pikipiki lengo likiwa ni kubana matumizi lakini kilichomtokea anajua mwenywe na Mungu wake.

Massawe alikuwa anakwenda kukiwakilisha chama chake kwenye mkutano wa wakulima wa kahawa lakini aliishia njiani baada ya kupata ajali mkoani Shinyanga na kuumia vibaya lakini alisababisha kifo cha mtoto mdogo ambaye ni mwanafunzi baada ya kumgonga na kumsabaishia damu nyingi kuvuja na hatimaye kifo chake.

Taarfia kutoka ndani ya KNCU zinatonya kuwa,meneja huyo aligoma kutumia gari la chama aina ya Toyota LandCruser ambalo hutumiwa na viongozi wa chama hicho katika shughuli za kichama ikiwamo kusafiri.

Inaelezwa kisa cha kugoma kutumia gari hilo ni kubana matumizi ikiwamo mafuta,posho ya dereva na wajumbe ambao angeamabatana nao katika safari hiyo kitendo ambacho kinaelezwa ni cha kibinafsi kuliko maslahi ya chama.

Lakini matokeo ya kubana matumizi ndo hayo, Massawe hakufika mwisho wa safari yake na hata uwakilishi wa chama chake katika mkutano huo ukayeyuka .

Kazi mwenu mnaobana matumizi kwa mauala yenye tija kwa Taasisi zenu,lakini Mungu anawaona.
Alijikuta ni Magufuli au?
 
Kabla sija-comment natamani kujua alikuwa anatumia pikipiki gani? ya Mkoloni/Mjapani/ au takataka za China na India? Brand gani hasa? nime-google sura yake, he looks like a real biker; it was a bad luck.
 
Back
Top Bottom