white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Tatizo ni hiyo njia ndio inawachanganya watu, mtu atoke moshi kwenda shinyanga, inakuwaje apitie tabora?wakati ni sehemu mbili zilizo kaa kushoto(haziingiliani)?Mkuu mikutano inapelekwa mbali na siku zinakua nyingi ili PerDiem iwe kubwa kubwa.