Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Fanya rahisi,chukua 250/4 maana yake ni Kama abiria 62 Kwa wiki!
International airport kama Chato kuhudumia watu 62 Kwa wiki ni hasara na matumizi mabovu ya miundombinu!
Nitajie biashara moja duniani ambayo ilipoingia tu sokoni ika pick to the highest? Mi nitakujia Coca Cola kwamba wakati inaingia duniani, mwaka wa kwanza jamaa waliuza chupa 26 tu duniani, chupa kaka, sio kreti, chupa 26 tu duniani tena kwa mwaka, but guess what? Coca Cola ndio kinywaji kinacho ongoza kwa mauzo dunia kwa decades kadhaa sasa. Bado sikubaliani na wazo la ujenzi wa uwanja ule wa Chato, ambacho sikubalini nacho ni namna mnavyo jenga HOJA zenu, hili ndio ambalo napingana na nyie but kuhusu uwepo wa uwanja Chato was one of the nonses idea kwasababu zozote zile.
 
Watu wote waliufyata yule kidume alivyojenga huu uwanja
Kidume au mpuuzi?

Mbona akina Lissu, Heche, Lema n.k walizungumza sana? Au hukuwa ukifatilia? Hata mandege alonunua, Lissu alizungumza sana tu.
 
Hayati wala hakufikiria kabisa kuhusu suala la "pay back period" ama "internal rate of return" wa huu mradi wake uliokwisha geuka kuwa tembo mweupe.
Yaani katuingiza chaka jamaa.
 
Kidume au mpuuzi?

Mbona akina Lissu, Heche, Lema n.k walizungumza sana? Au hukuwa ukifatilia? Hata mandege alonunua, Lissu alizungumza sana tu.
Katika nchi zinazoheshimu demokrasia maneno ya wapinzani hisikilizwa na tume ingeundwa kuchunguza manunuzi ya ndege. Huu uwanja ungefanyiwa feasibility kwanza.
 
Ukifuatilia kwa undani hata hao abiria 250 unaweza kuta 200 final destination yao ni Muleba, Geita town na Sengerema. Wanaoishia Chato kwa mwezi ni 50

Kwa hiyo unaweza kuta kwa siku abiria ambao ni destined Chato per se wakawa 2 tu (8/5= 1.6)
Hata hujui sengerema na chato panahusianaje unaropoka tu!
 
Nitajie biashara moja duniani ambayo ilipoingia tu sokoni ika pick to the highest? Mi nitakujia Coca Cola kwamba wakati inaingia duniani, mwaka wa kwanza jamaa waliuza chupa 26 tu duniani, chupa kaka, sio kreti, chupa 26 tu duniani tena kwa mwaka, but guess what? Coca Cola ndio kinywaji kinacho ongoza kwa mauzo dunia kwa decades kadhaa sasa. Bado sikubaliani na wazo la ujenzi wa uwanja ule wa Chato, ambacho sikubalini nacho ni namna mnavyo jenga HOJA zenu, hili ndio ambalo napingana na nyie but kuhusu uwepo wa uwanja Chato was one of the nonses idea kwasababu zozote zile.
Sawa,Sasa kama tutapata hasara Kwa uwanja huo Kwa miaka 30 ijayo,kwanini tusingesubiri mpaka kuwe na uhitaji unaokidhi?Mfano wa Coca-cola haufit hapa maana hicho ni kinywaji ambacho ndio kwanza kilikuwa kinaingia sokoni!Biashara ya usafiri wa anga ipo tu,ni suala la kuchagua wapi kwenye uhitaji!
 
Sawa,Sasa kama tutapata hasara Kwa uwanja huo Kwa miaka 30 ijayo,kwanini tusingesubiri mpaka kuwe na uhitaji unaokidhi?Mfano wa Coca-cola haufit hapa maana hicho ni kinywaji ambacho ndio kwanza kilikuwa kinaingia sokoni!Biashara ya usafiri wa anga ipo tu,ni suala la kuchagua wapi kwenye uhitaji!
Myopic and negative thinking. UDSM ilijengwa ikiwa na wanafunzi 8 tu kwa mwaka, je ulitaka wasubiri hadi kuwe na wanafunzi 18000 mwaka ndipo wajenge?
 
Ebu vijana wa Lumumba hamna ajili kabisa. Garama za kuendesha uwanja unaopokea abiria 250. Unasifia huku ukitengeneza fasara ya mamilion. 3 mara 4 ni root 12. Maana yake ni kua kila root inabeba abiria 21 tu.
So piga hiyo hesabu ambayo ndege inatoka dar had chato kwa abria 21 inatengeneza faida au hasar. Kwnye ndege zenye uwezo wa kubeba abria Zaid ya 70 kwa hizi ndege ndogo za mapaboi.
Msifanye watanzania wote ni wajinga. Uwanga unatengeneza hasara we unasifia ulivyo punguan
 
Mara 3 kwa wiki kupitia ATCL
Kalifufue ule mzoga wake ...
Tender ya ujenzi ilitangazwa kupitia vyombo gani vya habari??
Nani alishinda????
Ujenzi ulipitishwa kwenye kikao gani cha bunge?
Haya ndiyo matumizi mabaya ya madaraka na akili aliyokuwa nayo mfa kibudu magufuli
 
Myopic and negative thinking. UDSM ilijengwa ikiwa na wanafunzi 8 tu kwa mwaka, je ulitaka wasubiri hadi kuwe na wanafunzi 18000 mwaka ndipo wajenge?
Hicho ni chuo Kwa ajili ya nchi nzima,acha kuleta Ujinga kwenye uwekezaji!Elimu ni huduma na sio biashara inayotegemewa kuleta faida!Vitu kama hospitali,shule,umeme ni huduma zaidi!
Sasa tukisema kila wilaya tujenge uwanja kama Chato,itakuwa akili au matope?
Uwanja inapaswa kujengwa eneo lenye potential!Hizo ni fedha nyingi,zingeweza kutumika sehemu yenye uhitaji na hapo Chato likatengwa eneo tu Ili mji ukikua basi ndio ujengwe uwanja!
Leo hii nchi madeni makubwa yanazidi kupaa,hili ni zao la kukosa vipaumbele Kwa rasilimali fedha kidogo tunazokusanya!Tumieni akili!
 
Sawa,Sasa kama tutapata hasara Kwa uwanja huo Kwa miaka 30 ijayo,kwanini tusingesubiri mpaka kuwe na uhitaji unaokidhi?Mfano wa Coca-cola haufit hapa maana hicho ni kinywaji ambacho ndio kwanza kilikuwa kinaingia sokoni!Biashara ya usafiri wa anga ipo tu,ni suala la kuchagua wapi kwenye uhitaji!
Bro, mi sitetei ujenzi wa uwanja huo, by the way hata leo tukipinga, tayari fedha/kodi zetu ziliisha mwagwa pale so hata leo ukipinga hadi machozi ya damu yakutoke, haisaidii cause tayari ujenzi uliisha fanyika!
 
Walinda legacy mna kazi kweli, yaani abiria 250 kwa mwezi nayo unasifia!
Wana shida sana!! 250 ingekuwa ya siku moja ingeleta maana! Uwanja ulioelezwa kuwa wa kimataifa, jamani!! Tuna shida na kutokuwa na hamu ya mambo makubwa, tunalazimishwa kuona kidogo kwa kutumia lensi!
 
Hicho ni chuo Kwa ajili ya nchi nzima,acha kuleta Ujinga kwenye uwekezaji!Elimu ni huduma na sio biashara inayotegemewa kuleta faida!Vitu kama hospitali,shule,umeme ni huduma zaidi!
Sasa tukisema kila wilaya tujenge uwanja kama Chato,itakuwa akili au matope?
Uwanja inapaswa kujengwa eneo lenye potential!Hizo ni fedha nyingi,zingeweza kutumika sehemu yenye uhitaji na hapo Chato likatengwa eneo tu Ili mji ukikua basi ndio ujengwe uwanja!
Leo hii nchi madeni makubwa yanazidi kupaa,hili ni zao la kukosa vipaumbele Kwa rasilimali fedha kidogo tunazokusanya!Tumieni akili!
Una akili za kipuuzi sana kama unataka kila kila mradi uwe wa nchi nzima ndipo ufurahi. Lugha unayortumia inaonyesha tu upungufu ulio nao ndiyo maana umajaa lawama tu; inawezekana wewe ni mmoja wa waliofukuzwa kwa kutokuwa na cheti ndiyo maana lawama kibao. Pamoja na kuwa sikupenda uwanja huo ujengwe Chato kwa sababu zinazowafanya watu kama wewe kulalamika bila sababu, lakini tambua ule ni uwanja wa mkoa wa Geita, haukujengwa kuwa ni uwanja wa Wilaya au wa kijiji cha ya Chato. Hata ukipiga kelele hapo kwenye keyboard yako, hutafanya uwanje ule usiendelee. lengo ni kila mkoa uwe na uwanja wa ndege, baada ya hapo ndipo tutakwenda ngazi ya wilaya. lakini sasa wewe unafanya kuwa ni uwanja wa wilaya kwa sababu ya hasira tu. Soma makadirio ya bajeti ya mwa 2016/17 yaliyopitisha ujenzi wa viwanja hivyo vya Geita, Musoma, Mwanza, Msalato na vinginevyo kama saba hivi.

Kati ya madhaifu yako makubwa na kuangalia mambo kwa sura ya juujuu tu na kuandika kwa hasira na papara bila hata chembe ya busara. Huelewi kuwa watu hutumia huduma kadiri inavyopatikana; mtu mwenye akili timamu hawezi kusema kwa vile watu wa sehemu fulani husafiri kwa baiskeli tu na wala mabasi hayafiki huko, basi hakuna haja ya kuwajengea barabara.
 
Una akili za kipuuzi sana kama unataka kila kila mradi uwe wa nchi nzima ndipo ufurahi. Lugha unayortumia inaonyesha tu upungufu ulio nao ndiyo maana umajaa lawama tu; inawezekana wewe ni mmoja wa waliofukuzwa kwa kutokuwa na cheti ndiyo maana lawama kibao. Pamoja na kuwa sikupenda uwanja huo ujengwe Chato kwa sababu zinazowafanya watu kama wewe kulalamika bila sababu, lakini tambua ule ni uwanja wa mkoa wa Geita, haukujengwa kuwa ni uwanja wa Wilaya au wa kijiji cha ya Chato. Hata ukipiga kelele hapo kwenye keyboard yako, hutafanya uwanje ule usiendelee. lengo ni kila mkoa uwe na uwanja wa ndege, baada ya hapo ndipo tutakwenda ngazi ya wilaya. lakini sasa wewe unafanya kuwa ni uwanja wa wilaya kwa sababu ya hasira tu. Soma makadirio ya bajeti ya mwa 2016/17 yaliyopitisha ujenzi wa viwanja hivyo vya Geita, Musoma, Mwanza, Msalato na vinginevyo kama saba hivi.

Kati ya madhaifu yako makubwa na kuangalia mambo kwa sura ya juujuu tu na kuandika kwa hasira na papara bila hata chembe ya busara. Huelewi kuwa watu hutumia huduma kadiri inavyopatikana; mtu mwenye akili timamu hawezi kusema kwa vile watu wa sehemu fulani husafiri kwa baiskeli tu na wala mabasi hayafiki huko, basi hakuna haja ya kuwajengea barabara.
Acha mihemko isiyo na maana,suala ni kwamba uwanja umejengwa kisiasa na sio Kiuhitaji!Sasa kwanini uwanja huo usingejengwa Geita mjini?Watu wa Geita mfano GGM,huenda kupanda ndege Mwanza na sio Chato!Sasa ulishaona wapi mtu anayekaa makao makuu ya mkoa,anaacha kupanda ndege ndani ya mkoa wake(Chato)halafu anaenda kupanda mkoa mwingine(Mwanza)!Ndio hapo uone uwanja haukuzingatia mahitaji ya mkoa na eneo la kuweka!
Usilete porojo nyingi,uwanja umejengwa Chato kwasababu Rais alikuwa mzawa wa huko!
 
Bro, mi sitetei ujenzi wa uwanja huo, by the way hata leo tukipinga, tayari fedha/kodi zetu ziliisha mwagwa pale so hata leo ukipinga hadi machozi ya damu yakutoke, haisaidii cause tayari ujenzi uliisha fanyika!
Ndio tujifunze kutokana na makosa!
 
Acha mihemko isiyo na maana,suala ni kwamba uwanja umejengwa kisiasa na sio Kiuhitaji!Sasa kwanini uwanja huo usingejengwa Geita mjini?Watu wa Geita mfano GGM,huenda kupanda ndege Mwanza na sio Chato!Sasa ulishaona wapi mtu anayekaa makao makuu ya mkoa,anaacha kupanda ndege ndani ya mkoa wake(Chato)halafu anaenda kupanda mkoa mwingine(Mwanza)!Ndio hapo uone uwanja haukuzingatia mahitaji ya mkoa na eneo la kuweka!
Usilete porojo nyingi,uwanja umejengwa Chato kwasababu Rais alikuwa mzawa wa huko!
Pumba tupu!! Kwani uwanja wa KIA uko Moshi?
 
Pumba tupu!! Kwani uwanja wa KIA uko Moshi?
KIA unahudumia Moshi na Arusha na uko katikati!Nenda kaangalie unahudumia watalii na watz wangapi Kwa mwezi ndio utashangaa!
 
Mkuu (mfano) wenye makampuni ya mabasi wanapotoa mabasi mapya huwa wanayatoa kipindi ambacho hakuna wateja/abilia wengi kama ilivyo mwezi wa kumi na mbili.

Na kwa kipindi hicho chombo usafiri na abilia mpaka 11 huku wengi wa hao wakiwa wa njiani, na uchoma mafuta na tyres hata kwa miezi 5 na huwa wanaamini baadaye msimu na abilia wakitambua huduma zake watakuja na kutumia gari zake.

Unadhani ile safari ya India ndege ilijaza abilia wote 200na kenda?
Pumba
 
Back
Top Bottom