Meneja wa Bangala: Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana Saa 8 Mchana atakuwa ameshasajiliwa na Timu nyingine

Meneja wa Bangala: Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana Saa 8 Mchana atakuwa ameshasajiliwa na Timu nyingine

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nashindwa kuwaelewa Viongozi wa Yanga SC kwani tayari wameshaonyesha kutomhitaji ila hawataki kumuacha wakisema watatoa taarifa yake Tarehe 31 July, 2023 ambayo ndiyo siku ya mwisho kusajili na kuacha Mchezaji.

Hapa wanafanya uhuni kwakuwa wanajua kuwa Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana basi Saa 8 Mchana anasajiliwa na Timu nyingine ndani au nje ya Tanzania," Meneja wa Mchezaji Yanick Bangala.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo

GENTAMYCINE wiki iliyopita nilikuja na Uzi hapa nikifumba (kama kawaida yangu) ila nikawaonya Yanga SC kuwa wakimuacha tu Bangala anahamia mahala fulani ambako anahitajika kuliko anavyohitajika huko Yanga SC wapuuzi na majuha wakanibeza na hawakuniamini.

Sasa nadhani baada ya leo Meneja wake kusema kile kile nilichokisema na kukitahadharisha hapa hapa JamiiForums tutaanza kuheshimiana na kukubali kuwa kuna watu wengine wana tunu (shani) nyingi zinazowafanya kuwa juu na maarufu siku zote.

Asante Mwenyezi Mungu.
 
"Nashindwa Kuwaelewa Viongozi wa Yanga SC kwani tayari wameshaonyesha Kutomhitaji ila hawataki Kumuacha wakisema watatoa Taarifa yake Tarehe 31 July, 2023 ambayo ndiyo Siku ya mwisho Kusajili na Kuacha Mchezaji. Hapa wanafanya Uhuni kwakuwa wanajua kuwa Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana basi Saa 8 Mchana anasajiliwa na Timu nyingine ndani au nje ya Tanzania" Meneja wa Mchezaji Yanick Bangala.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo

GENTAMYCINE Wiki iliyopita nilikuja na Uzi hapa Nikifumba ( kama Kawaida yangu ) ila nikawaonya Yanga SC kuwa Wakimuacha tu Bangala anahamia mahala fulani ambako anahitajika kuliko anavyohitajika huko Yanga SC Wapuuzi na Majuha wakanibeza na hawakuniamini sasa nadhani baada ya leo Meneja wake kusema kile kile nilichokisema na kukitahadharisha hapa hapa JamiiForums tutaanza Kuheshimiana na Kukubali kuwa kuna Watu Wengine wana Tunu ( Shani ) nyingi zinazowafanya kuwa Juu na Maarufu Siku zote.

Asante Mwenyezi Mungu.
Management ya Yanga ni wajinga sana.

Wana hiyari wauwe vipaji. Yule sijuwi Msomali wa wapi ambae hajuwi maana ya Rehma ni nini.

Hakuna kitu kikaendeshwa kwa roho mbaya kikafanikiwa.
 
Ishu sio kukupinga. Ishu ni kwamba bangala alishaonyesha utovu wa nidhamu since msimu ulipoisha hasa baada ya mechi ya ngao ya jamii. Mchezaji ambaye ni professional player una mkataba na timu, huidai timu, watu wanafanya mazunguzmo na wew while una mwaka mmoja umesalia na tetesi zinasemekana jamaa alikua akiongoza migomo ndani ya timu while wenzake wakitulia.

Huyo huyo bangala mind you timu aliokuepo before hajaja yanga na kuonekana aliachwa coz kiwango kilishuka.. akaja yanga ikamsaidia kiwango kikarudi why afanye mambo ya kihuni kama hay? So kwa michezo yake aliofanya ndo tunasemaga kama mbwai na iwe mbwai yanga itabaki na itaendelea... Ndo yale yale ya kina Shishimbi naamini hata yeye pia yatamkuta. Tunza post yangu.... Hata hili la meneja wew siku hizi sikuamini na vyanzo vyako kutoka EFM...

KUNA MOJA MAJUZI ULIWEKA CHANZO CHA UWONGO KABISA LEO HII HIKI SIKIAMINI MPKA NITHIBITISHE MANA ALIYEMLETA DJUMA,MAYELE,MOLOKO NA BANGALA NI MMOJA HAWEZI KUONGEA KWA KUKOSA PROFESSIONAL KIASI HICHO COZ TAYARI WASHAJENGA MAHUSIANO MAZURI NA YANGA KWENYE BIASHARA... HAWEZI KUHARIBU BIASHARA YAKE. SASA NGOJA NIFUATILIE CHANZO HICHO NIONE KAMA NI KWELIr
 
Management ya Yanga ni wajinga sana.

Wana hiyari wauwe vipaji. Tule sijuwi Msomai wa wapi amabe hajuwi maana ya Rehma ni nini.

Hakuna kitu kikaendeshwa kwa roho mbaya kikafanikiwa.
Kipaji gani ambacho kiliwika yanga then kikapata maslah mazuri akaomba kuondoka kwa amani na utaratibu kikaenda kufanya vizuri kilipoenda? Ni wao ndo wanajiharibia. Professional player akikosa nidhamu huyo sio wa kufugwa kabisa
 
"Nashindwa Kuwaelewa Viongozi wa Yanga SC kwani tayari wameshaonyesha Kutomhitaji ila hawataki Kumuacha wakisema watatoa Taarifa yake Tarehe 31 July, 2023 ambayo ndiyo Siku ya mwisho Kusajili na Kuacha Mchezaji. Hapa wanafanya Uhuni kwakuwa wanajua kuwa Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana basi Saa 8 Mchana anasajiliwa na Timu nyingine ndani au nje ya Tanzania" Meneja wa Mchezaji Yanick Bangala.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo

GENTAMYCINE Wiki iliyopita nilikuja na Uzi hapa Nikifumba ( kama Kawaida yangu ) ila nikawaonya Yanga SC kuwa Wakimuacha tu Bangala anahamia mahala fulani ambako anahitajika kuliko anavyohitajika huko Yanga SC Wapuuzi na Majuha wakanibeza na hawakuniamini sasa nadhani baada ya leo Meneja wake kusema kile kile nilichokisema na kukitahadharisha hapa hapa JamiiForums tutaanza Kuheshimiana na Kukubali kuwa kuna Watu Wengine wana Tunu ( Shani ) nyingi zinazowafanya kuwa Juu na Maarufu Siku zote.

Asante Mwenyezi Mungu.
Mzee wa kujimwabafai katika ubora wako
 
wewe tangia lini unajua masuala ya mpira?
Najuwa mipira wacha mpira.


Hivi ni mjinga gani dunia ya kiganjani leo hii asiyejuwa masuala ya mpira?


Hivi mnajiona mnaoona mitandao ni nyinyi tu?

Tunajuwa roho mbaya waliyoifanya kwa Fey mpaka mama akaingilia, wakaufyata fya, na ushuzi juu, na mfadhili wao akapewa live na mama palepale akaambiwa wewe tumia pesa mipirani unafikiri hatujuwi unayoyafanya bandarini. Hukuyaona hayo wewe?

Sasa hapo kuna siri gani na vitu vipo wazi kabisa.

Pambaf.
 
Fuatilia mkuu,Kisha ulete mrejesho
Ishu sio kukupinga. Ishu ni kwamba bangala alishaonyesha utovu wa nidhamu since msimu ulipoisha hasa baada ya mechi ya ngao ya jamii. Mchezaji ambaye ni professional player una mkataba na timu, huidai timu, watu wanafanya mazunguzmo na wew while una mwaka mmoja umesalia na tetesi zinasemekana jamaa alikua akiongoza migomo ndani ya timu while wenzake wakitulia. Huyo huyo bangala mind you timu aliokuepo before hajaja yanga na kuonekana aliachwa coz kiwango kilishuka.. akaja yanga ikamsaidia kiwango kikarudi why afanye mambo ya kihuni kama hay? So kwa michezo yake aliofanya ndo tunasemaga kama mbwai na iwe mbwai yanga itabaki na itaendelea... Ndo yale yale ya kina Shishimbi naamini hata yeye pia yatamkuta. Tunza post yangu.... Hata hili la meneja wew siku hizi sikuamini na vyanzo vyako kutoka EFM... KUNA MOJA MAJUZI ULIWEKA CHANZO CHA UWONGO KABISA LEO HII HIKI SIKIAMINI MPKA NITHIBITISHE MANA ALIYEMLETA DJUMA,MAYELE,MOLOKO NA BANGALA NI MMOJA HAWEZI KUONGEA KWA KUKOSA PROFESSIONAL KIASI HICHO COZ TAYARI WASHAJENGA MAHUSIANO MAZURI NA YANGA KWENYE BIASHARA... HAWEZI KUHARIBU BIASHARA YAKE. SASA NGOJA NIFUATILIE CHANZO HICHO NIONE KAMA NI KWELIr
 
Najuwa mipira wacha mpira.


Hivi ni mjinga gani dunia ya kiganjani leo hii asiyejuwa masuala ya mpira?


Hivi mnajiona mnaoona mitandao ni nyinyi tu?

Tunajuwa roho mbaya waliyoifanya kwa Fey mpaka mamam akaingilia, wakaufta fya, na mshuzi juu, na mfadhali wao akapewa live na mama palepale akaambiwa wewe tumia pesa mipirani unafikiri hatujuwi unafanya nini bandarini. Hukuyaona hayo wewe?

Sasa hapo kuna siri gani na vitu vipo wazi kabisa.

Pambaf.
Aahaaaaa,jibu kuntu sana hili
 
Profesa Mruma wa jf anatafuta kiki kupitia ujinga wa Wana jf humu
Gentamycine hivi vyanzo vyako vya efm hua unavitoa wap mbona sioni sehemu manager wa bangala akisema ulichoandika. Au umekuja kutuvuruga mana kila sehemu sas hv watu wa simba mkiongozwa na LIKUD ni mwendo wa propaganda tu
 
Kipaji gani ambacho kiliwika yanga then kikapata maslah mazuri akaomba kuondoka kwa amani na utaratibu kikaenda kufanya vizuri kilipoenda? Ni wao ndo wanajiharibia. Professional player akikosa nidhamu huyo sio wa kufugwa kabisa
Nonda Shabaan Papii amecheza league1 France akiwa na Monaco na amecheza Premier league Uingereza na alitokea Yanga.
 
Najuwa mipira wacha mpira.


Hivi ni mjinga gani dunia ya kiganjani leo hii asiyejuwa masuala ya mpira?


Hivi mnajiona mnaoona mitandao ni nyinyi tu?

Tunajuwa roho mbaya waliyoifanya kwa Fey mpaka mamam akaingilia, wakaufta fya, na mshuzi juu, na mfadhali wao akapewa live na mama palepale akaambiwa wewe tumia pesa mipirani unafikiri hatujuwi unafanya nini bandarini. Hukuyaona hayo wewe?

Sasa hapo kuna siri gani na vitu vipo wazi kabisa.

Pambaf.
Yani maandishi kama kapita Bata anakunyakunya.
 
Nonda Shabaan Papii amecheza league1 France akiwa na Monaco na amecheza Premier league Uingereza na alitokea Yanga.
Anhaaa safi kabisa.. sasa hoja ya kusema mchezaji akitaka kuondoka yanga vizuri timu inambania mpk kutaka kuharibu kipaji chake inatokea wap? Tunachotaka fuata taratibu then nenda unakohitaji basi...
 
Screenshot_20230727-103221.png
 
Back
Top Bottom