Meneja wa Bangala: Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana Saa 8 Mchana atakuwa ameshasajiliwa na Timu nyingine

Meneja wa Bangala: Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana Saa 8 Mchana atakuwa ameshasajiliwa na Timu nyingine

Anhaaa safi kabisa.. sasa hoja ya kusema mchezaji akitaka kuondoka yanga vizuri timu inambania mpk kutaka kuharibu kipaji chake inatokea wap? Tunachotaka fuata taratibu then nenda unakohitaji basi...
Utaratibu upi ufuatwe? Mchezaji hataki kwenda mkopo, anataka mkataba uvunjwe asepe basi sasa ubaya uko wapi hapo
 
Hahaa kumbe sababu Fei toto muislam mwezio wa Zanzibar aliguswa ndio unmpondea Hersi?

Sasa sikiliza wewe hujui kitu. Ile alifanya Raisi Samia sio sawa hapaswi kuingilia mambo ya mpira mchezaji kama una mkataba lazima aidha uutumikie au uuvunje kwa utaratibu sio maelekezo ya raisi sababu mnatoka nae sehemu moja.
Kaka hujui kitu usijivue nguo mitandaoni
 
Management ya Yanga ni wajinga sana.

Wana hiyari wauwe vipaji. Yule sijuwi Msomali wa wapi ambae hajuwi maana ya Rehma ni nini.

Hakuna kitu kikaendeshwa kwa roho mbaya kikafanikiwa.
Yaani unashangaa kwa msomali? Mbona ukatili ni kitu cha kawaida sana kwao. Tena hata wao kwa wao.
 
Gentamycine hivi vyanzo vyako vya efm hua unavitoa wap mbona sioni sehemu manager wa bangala akisema ulichoandika. Au umekuja kutuvuruga mana kila sehemu sas hv watu wa simba mkiongozwa na LIKUD ni mwendo wa propaganda tu
Mimi Yanga nimemsikia huyo meneja akiongea tena kiswahili chake cha kubabaisha
 
Huna uyanga wowote.. yan wakala aongee hivyo mjini isiwe story yan hata mitando ya kijamaa ya efm na efm sports na platform zingine wasipost? Acheni uongo bwana au kama vp leta ushahidi
Mimi Yanga nimemsikia huyo meneja akiongea tena kiswahili chake cha kubabaisha
 
Najuwa mipira wacha mpira.


Hivi ni mjinga gani dunia ya kiganjani leo hii asiyejuwa masuala ya mpira?


Hivi mnajiona mnaoona mitandao ni nyinyi tu?

Tunajuwa roho mbaya waliyoifanya kwa Fey mpaka mama akaingilia, wakaufyata fya, na ushuzi juu, na mfadhili wao akapewa live na mama palepale akaambiwa wewe tumia pesa mipirani unafikiri hatujuwi unayoyafanya bandarini. Hukuyaona hayo wewe?

Sasa hapo kuna siri gani na vitu vipo wazi kabisa.

Pambaf.
Kwaio mpira sio haramu nazile kampuni zakubetisha zinazozamini mpira nazo vp bibi yangu
 
Ishu sio kukupinga. Ishu ni kwamba bangala alishaonyesha utovu wa nidhamu since msimu ulipoisha hasa baada ya mechi ya ngao ya jamii. Mchezaji ambaye ni professional player una mkataba na timu, huidai timu, watu wanafanya mazunguzmo na wew while una mwaka mmoja umesalia na tetesi zinasemekana jamaa alikua akiongoza migomo ndani ya timu while wenzake wakitulia. Huyo huyo bangala mind you timu aliokuepo before hajaja yanga na kuonekana aliachwa coz kiwango kilishuka.. akaja yanga ikamsaidia kiwango kikarudi why afanye mambo ya kihuni kama hay? So kwa michezo yake aliofanya ndo tunasemaga kama mbwai na iwe mbwai yanga itabaki na itaendelea... Ndo yale yale ya kina Shishimbi naamini hata yeye pia yatamkuta. Tunza post yangu.... Hata hili la meneja wew siku hizi sikuamini na vyanzo vyako kutoka EFM... KUNA MOJA MAJUZI ULIWEKA CHANZO CHA UWONGO KABISA LEO HII HIKI SIKIAMINI MPKA NITHIBITISHE MANA ALIYEMLETA DJUMA,MAYELE,MOLOKO NA BANGALA NI MMOJA HAWEZI KUONGEA KWA KUKOSA PROFESSIONAL KIASI HICHO COZ TAYARI WASHAJENGA MAHUSIANO MAZURI NA YANGA KWENYE BIASHARA... HAWEZI KUHARIBU BIASHARA YAKE. SASA NGOJA NIFUATILIE CHANZO HICHO NIONE KAMA NI KWELIr
Simba Morison alipoonyesha utovu wa nidhamu walimwacha, yanga wanaweza wakajikuta na dhahama kubwa kama wanataka kumkomoa mchezaji Hawa sio wachezaji wetu wakionewa wanakaa kimya.Hawa wanajua kudai haki zao Hadi FIFA wanafika.
 
Management ya Yanga ni wajinga sana.

Wana hiyari wauwe vipaji. Yule sijuwi Msomali wa wapi ambae hajuwi maana ya Rehma ni nini.

Hakuna kitu kikaendeshwa kwa roho mbaya kikafanikiwa.
Katika miaka miwili tuna makombe 6 wewe na rehma zako umefika wapi?
 
Kumbe upo usingizini.

Bofya chini hapo utakuta mpaka picha zangu:


Vipi, huo uzi unaousema mama'ko anaingia?
Sasa hapa mama yangu amefikaje tena hapa. Ebu tukosoane kwa stahaa (in kingai wa ccm voice)
 
Back
Top Bottom