Meneja wa Bangala: Bangala akiachwa tu Saa 7 Mchana Saa 8 Mchana atakuwa ameshasajiliwa na Timu nyingine

Anhaaa safi kabisa.. sasa hoja ya kusema mchezaji akitaka kuondoka yanga vizuri timu inambania mpk kutaka kuharibu kipaji chake inatokea wap? Tunachotaka fuata taratibu then nenda unakohitaji basi...
Utaratibu upi ufuatwe? Mchezaji hataki kwenda mkopo, anataka mkataba uvunjwe asepe basi sasa ubaya uko wapi hapo
 
Kaka hujui kitu usijivue nguo mitandaoni
 
Management ya Yanga ni wajinga sana.

Wana hiyari wauwe vipaji. Yule sijuwi Msomali wa wapi ambae hajuwi maana ya Rehma ni nini.

Hakuna kitu kikaendeshwa kwa roho mbaya kikafanikiwa.
Yaani unashangaa kwa msomali? Mbona ukatili ni kitu cha kawaida sana kwao. Tena hata wao kwa wao.
 
Gentamycine hivi vyanzo vyako vya efm hua unavitoa wap mbona sioni sehemu manager wa bangala akisema ulichoandika. Au umekuja kutuvuruga mana kila sehemu sas hv watu wa simba mkiongozwa na LIKUD ni mwendo wa propaganda tu
Mimi Yanga nimemsikia huyo meneja akiongea tena kiswahili chake cha kubabaisha
 
Huna uyanga wowote.. yan wakala aongee hivyo mjini isiwe story yan hata mitando ya kijamaa ya efm na efm sports na platform zingine wasipost? Acheni uongo bwana au kama vp leta ushahidi
Mimi Yanga nimemsikia huyo meneja akiongea tena kiswahili chake cha kubabaisha
 
Kwaio mpira sio haramu nazile kampuni zakubetisha zinazozamini mpira nazo vp bibi yangu
 
Simba Morison alipoonyesha utovu wa nidhamu walimwacha, yanga wanaweza wakajikuta na dhahama kubwa kama wanataka kumkomoa mchezaji Hawa sio wachezaji wetu wakionewa wanakaa kimya.Hawa wanajua kudai haki zao Hadi FIFA wanafika.
 
Management ya Yanga ni wajinga sana.

Wana hiyari wauwe vipaji. Yule sijuwi Msomali wa wapi ambae hajuwi maana ya Rehma ni nini.

Hakuna kitu kikaendeshwa kwa roho mbaya kikafanikiwa.
Katika miaka miwili tuna makombe 6 wewe na rehma zako umefika wapi?
 
Sasa hapa mama yangu amefikaje tena hapa. Ebu tukosoane kwa stahaa (in kingai wa ccm voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…