Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amjibu Shigongo

Shigongo anatafuta kiki kupitia Diamond. Kama vipi na yeye ajiite Diamondrapa tujue moja.
 
Shigongo amekuwa mpuuzi, yaani nilikuwa najiuliza sana kwa anayowaandikia wasanii ya ukweli...?
 
Huku mwaka ni mwaka wa wasukuma, wanatrend hao kuanza January makonda, mara gwajima tukapumzika kidogo Shigongo, sijui baadaye atakuwa nani. Ila nimekaa nimejiuliza Kuna msemo mmoja wa fid q anasema '' SIKU HIZI HAMNA UHURU WA HABARI, KUNA UHURU WA MWENYE MITAMBO NA MWENYE MALI '' sasa naliamini, sasa subiria reaction ya Shigongo na magazeti yake, atakavyomuandama diamond platnumz na management yake, ila kwa diamond platnumz nina uhakika atashindwa tuu, kwanza hata yeye mwenyewe na magazeti yake hali ni mbaya, instagram, Facebook, Twitter na whatsup zinampa stress na bado kama hana mpango mbadala wa kuiokoa kampuni yake yeye ndio atakuwa wa kwanza kudondoka.
 
"Mh Magufuli tafadhali Ulipo Kaza legeza, ona Wakubwa wanaanza kutaka kupora hadi watoto vidogo vyao.
Kumbe wazaramo asili yao ni waluguru? Maana haya maneno yalitakiwa yatolewe na watu wa Msangangongelo ama Kimanzinchana!!
 
Shigongo kaamua kuchapisha gazeti la ijumaa kama jarida halafu anauza kwa buku tu, sijui anapata faida gan
 
Sikuwahi wala sikutaka kuamini kama shigongo nyumbu kiasi hicho kweli magufuli kabana watu biashara zimebuma yani shigongo leo hii ndio unataka kutelezea kwa mondi kweli kua uyaone sio kwa kiki hii umejinyea bro
Umepuyangaaaaaa[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Kwanza imebidi niende huko insta nikamtafute huyo bwana shigongo halafu ndo nirudi kusema kitu.

Huyu jamaa (shigongo), bashite na bwana yule wanawaangusha kweli kweli wasukuma wenzao. Wanawafanya wasukuma wazidi kuonekana watu wa ovyo ovyo.

Kushindwa kwake kumuafford mondi isiwe big issue, so anataka aweke dau dogo ili yeye afaidike mwenzake azame?

Aisee tale kasema vema mbona yeye hapangiwi gazeti lake auze bei gani?

Mbona mondi anapiga show za buku 30, wasafi beach part, na kule iringa.

Nàrudia tena huyu shigongo, bashite na bwana yule wanawaangusha wasukuma kweli kweli
 
Tale hajui kuandka vizr cjaelewa chochote itakuwa kaandkiwa na mke wake
 
Udaku hauuziki siku hizi watu wapo instagram, youtube na kucheki shilawadu.
Teh teh teh.
 
Shigongo maisha yashamuendea hovyo badala ya kumshauri domo kwanini asije kulipa wafanyakazi wake mishahara mara wanafedheheka na mishahara ya tarehe 40,mpaka leo tarehe31 dirishani kweupe, then me pia namshauri aache kuzaa zaa hovyo na wafanyakazi wake huku akiwaweka ofisi moja, awe na heshima na ndoa yake kwanza
 
Duuu [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Erick atulie, now hatusomi magazeti umbea tunaupata insta lazima apate stress!!

Huwa ana karoho kabaya sana yule baba
Halafu anajifanya mlokole, kuna watu wana maigizo dunia hii
 
Mbona hajaongelea dau la dola 55,000 .
Maana ndo ushauri alioutoa shigongo...nilitegemea angejibu ushauri huo kwa kusema kwa vipi haitowezekana kushusha dau...badala yake anaongelea vijembe na shutma za kike kike.
 
Shingongo alianza kama utani,au bado ccm hawajamlipa ela yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…