Meneja wa kivuko cha Busisi anaibia abiria chenji zao akishirikiana na wakatisha tiketi. Prof Makame Mbarawa naomba umulike.

Meneja wa kivuko cha Busisi anaibia abiria chenji zao akishirikiana na wakatisha tiketi. Prof Makame Mbarawa naomba umulike.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Leo asubuhi nikitokea Sengerema nimeshuhdia hili. Nauli ya kivuko ni sh 400 ukitoa buku unarudishiwa sh 500 badala ya mia sita. Mkatisha tiketi anachenji kibao za mia tano miatano lakini mezani hana mia hata moj.

Nimerudi jioni hii nimetoa buku mbili nimerudishiwa buku jero.

Ina maana kila abiria anaambiwa hakuna chenji ya mia.

Hivi kweli chenji ya mia inakosekana huko kwenye mabenki?

Mbona huko nyuma mlikuwa na chenji kamili.

Sisi tukija na nauli ya mia tatu mtaruhusu tupande kweli?

Miamia mnazotupiga abiria ni pesa nyingi tunaweza kununua hata kiberiti home.
IMG_20220413_180917_166.jpg
 
Leo asubuhi nikitokea Sengerema nimeshuhdia hili. Nauli ya kivuko ni sh 400 ukitoa buku unarudishiwa sh 500 badala ya mia sita. Mkatisha tiketi anachenji kibao za mia tano miatano lakini mezani hana mia hata moj.

Nimerudi jioni hii nimetoa buku mbili nimerudishiwa buku jero.

Ina maana kila abiria anaambiwa hakuna chenji ya mia.

Hivi kweli chenji ya mia inakosekana huko kwenye mabenki?

Mbona huko nyuma mlikuwa na chenji kamili.

Sisi tukija na nauli ya mia tatu mtaruhusu tupande kweli?

Miamia mnazotupiga abiria ni pesa nyingi tunaweza kununua hata kiberiti home.
View attachment 2186321
Watanzania bwana. Sasa hili nalo ni la kumlalamikia waziri? Mnashindwa kujipanga mfanye mkusanyiko na mabango ya kulaani huu wizi kwa umoja wenu?
 
sasa hapo tatizo serikali au nyie wenyewe mnachukulia poa acheni kulia lia toeni mfano wakazieni hao wakata tiketi kwanza
 
Watanzania bwana. Sasa hili nalo ni la kumlalamikia waziri? Mnashindwa kujipanga mfanye mkusanyiko na mabango ya kulaani huu wizi kwa umoja wenu?
yani wanaume wazima waandamane kisa mia,waache kuandamana kupanda bei ya bidhaa muhimu kama mafuta ya kula na petrol
huku mkoani ukiandamana kisa mia unachapwa viboko
 
Chenji uache mwenyewe kukomaa upewe unamuita waziri aje akusaidie.
Acha ujinga
 
Kama hutaki kuchangia piga mbizi...
Sio mimi ni yulee wa huko huko kwenu
 
Leo asubuhi nikitokea Sengerema nimeshuhdia hili. Nauli ya kivuko ni sh 400 ukitoa buku unarudishiwa sh 500 badala ya mia sita. Mkatisha tiketi anachenji kibao za mia tano miatano lakini mezani hana mia hata moj.

Nimerudi jioni hii nimetoa buku mbili nimerudishiwa buku jero.

Ina maana kila abiria anaambiwa hakuna chenji ya mia.

Hivi kweli chenji ya mia inakosekana huko kwenye mabenki?

Mbona huko nyuma mlikuwa na chenji kamili.

Sisi tukija na nauli ya mia tatu mtaruhusu tupande kweli?

Miamia mnazotupiga abiria ni pesa nyingi tunaweza kununua hata kiberiti home.
View attachment 2186321
Kuliko kulalamika chenji zinaibiwa ni vyema mtu uje na chenji kamili Hilo ni suluisho.[emoji12]
 
Yaani unatupigia kelele kwa ajili ya shilingi mia!
 
Watanzania bwana. Sasa hili nalo ni la kumlalamikia waziri? Mnashindwa kujipanga mfanye mkusanyiko na mabango ya kulaani huu wizi kwa umoja wenu?
Mabango ya nini, kamata shika mashati piga vibaya sana kama umbwa, hao ni wezi tuu kama wezi wengine, watabadilika tuu
 
Mabango ya nini, kamata shika mashati piga vibaya sana kama umbwa, hao ni wezi tuu kama wezi wengine, watabadilika tuu
Asante. Niliogopa nikisema hivyo watanibeza na kuniambia unajifanya wewe ni mkorea mwenye black belt kama Kong Chi wakati wewe ni wa hapa hapa Bongo usiyejua kurusha hata teke1
 
Back
Top Bottom