macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Umeliangalia tatizo in a narrow and shallow approach! Huyu ni mtu anayeiba mia mia kila siku kutoka kwa watu wengi. Ni zaidi ya jambazi sugu. BTW kama huwezi kudai haki ya kitu kidogo basi kikubwa utashindwa!yani wanaume wazima waandamane kisa mia,waache kuandamana kupanda bei ya bidhaa muhimu kama mafuta ya kula na petrol
huku mkoani ukiandamana kisa mia unachapwa viboko