Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Ni kaka wa mchambuzi. Alirudi Mabamba, now ni mwanachama mtiifu wa chama tawala. Ana tenda za barabara na kukodisha mbasi ya kubeba wakimbizi.
Huo ni ukoo wa waarabu wa Mabamba ambao wamesalia lakini Sharrif Mohamed tangu alipotimkia Bujumbura hakuwahi kurudi Mabamba. Sina hakika kama bado yu hai.
 
Wizi ni tabia ambayo imepandikizwa kwenye roho ya mtanzania, mtu akiwa na madaraka anaona ndio sehemu ya kupiga.

Huyu bila shaka kachomwa.
 
Meneja pamoja na mshahara mnono, marupurupu, baada ya kukadiria mapato ya serikali nae anakadiria mapato yake. Sasa magendo ya nini? Ama kweli binadamu hatosheki! Ona sasa unaenda kunyea kwenye ndoo na umeneja wako.
 
Asas na Huwel wamekaa karibu na ruaha national park
Kama sio karibu na hifadhi basi ni mipakani, kama Bakhresa alivyotega pale mpakani Mkulazi ...huko huko Mabamba kama sio Tamim.:ABDULpls:
 
Ni njaa gu inakufanya uamini ukiwa mfanyakazi utakuwa mwadilifu ila ukweli ni kwqmba kila Mtanzania anaajiriwa kwa lengo la kuiba
Na gepu la kuiba likiwepo iba tu, nani anapenda kuwa masikini. Ila kwa dili haramu hapana kwa kweli siwashauri
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Kyoma, nshomile,
Pole Sana, ila ni katika harakati za ku tafuta pesa ndefu, hizo, ndio deals za kiume, sio jitu lineup, au linajiua kisa limefumania mke wake anachapwa nao!
Mdogo wangu amenikumbusha enzi hizo nacheza deals za kibabe!
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.


Kwisha habari yake huyu kabisa.
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Mwingine huyu hapa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C89bb6qKs-p/?igsh=MXduN3k3dXhiZWwzbA==
 
Akina nani kaka mkubwa!
Daah nimechanganya aisee pana mtu nilikua namjibu nikashangaa imekuja kwako mzee wa Idimi vip lakini shwari huko umenikumbusha mbali sana hapo Idimi kiwanjani lilipo kanisa tulikua tunacheza mpira nikiwa nasoma sehemu ingine huku nipo na wewe nikakujibu wewe ngoja nipande huko juu..
 
Nacho jiuliza, kuna viongozi aina hii wangapi katika jamii yetu ?.
Mungu yu mwema kila wakati
 
Wazaramo wanasema usilonge ukamala, i.e. usiongee ukamaliza kila kitu. Unaweza kuta huyu meneja kazuia deal za watu pale TRA Kibondo, wakaamua wale naye sahani moja kwa kumpakazia meno ya tembo. Hii wilaya ipo mpakani mwa Burundi na Tanzania (just 30 kilometres kutoka Kibondo mjini mpaka Mukarazi mpakani mwa Burundi na Tz) Hakuna linaloshindikana hapa duniani, hasa kama unaingilia deals za watu.
Nakuelewa SANA. Kama kweli kafanya ni sawa kimkute cha kumkuta lkn kama unavyoisema kuna hicho kitu. Kuna jamaa yangu miaka ya 47 huko huko mipakani aliponea TUNDU la SINDANO maana kulikuwa na Demu mkali hapo mahali kwa maokoto yake (Customs by then) akamchukua kumbe kulikuwa na mzito mmoja alikuwa naye anafukuzia. Jamaa alitegeshewa kitu kizito, akaokolewa na House girl kabila moja kwa kumtonya kwa kilugha kwamba kategeshewa.
Alichinja mbuzi maana alikuwa anafukuzwa kazi na miaka ya kutosha JELA, maana alitegeshewa RISASI kibao kwenye mfuko.
 
Back
Top Bottom