Mkuu sinilikuomba usubiri kwanza baada ya siku mbili ndo uweke hadharani hii habari? Unaniweka kwenye mazingira hatarishi na magumu sana kitengoni. Siku nyingine sitakutonya tena intelligence information nazozifumania jikoni.Duru zinatabanaisha meneja TRA Mkoa wa Kigoma aliyefukuzwa na Kidata walikuwa hawaivi tokea kipindi cha JPM