Meneja wa TRA Kigoma asimamishwa kazi

Meneja wa TRA Kigoma asimamishwa kazi

Ni wazi kwamba meneja wa mamlaka ya mapato mkoa wa kigoma aliyefukuzwa na kamishina wa mamlaka ya mapato tanzano tanzania ALPHAYO KIDATA walikuwa hawaekewani tokea kipindi cha JPM. hilo ndoo limepelekea kufutwa kazi na sijambo jingine ! Meneja amefanya kazi kubwa mkoa wa kigoma amebana myanya yote ya ukwepaji kodi lakini cha ajabu aneonekana ni mfanyakazi ambaye hafai katika mkoa huo.

Hata hivyo inasemekana kwamba taarifa zilizopo ni kwamba meneja huyo ndiye aliyesababisha Alphayo Kidata kufutwa ubalozi na kuvuliwa hadhi ya ubalozi . Kutokana na hilo kidata aliweka kinyongo moyoni mwake ndiyo maana meneja huyo yamemkuta mambo ambayo hakutarajia.kutokana na hilo.

Ni wazi Alphayo Kidata kwa sababu za chuki zake binafsi na kutaka kumkomoa ilikuwa lazima amfute kazi meneja huyo.

Chuki ni mbaya sana katika utendaji kazi. Kidata jipime kama unafaa kuendelea kukaa katika nafasi hiyo.
Ingependeza kama kungekuwa ungejua na sababu upande wa pili ili stori iwe balance. Maana unasema kafukuzwa kazi kuna taratibu kubwa serikalini kufukuzwa kazi inamaana utumishi na mabaraza ya usuluhishi wote hao wameona ni sawa? tusishutumu tu kwa kusema visasi bila kujua ukweli wenyewe inashangaza kama ingekuwa kumfukuza kazi tokea enzi za JPM siangeshamfukuza kazi wakati huo huo kwa nini aje angojee leo?
 
Duru zinatabanaisha meneja TRA Mkoa wa Kigoma aliyefukuzwa na Kidata walikuwa hawaivi tokea kipindi cha JPM.

Inasemekana taarifa za siri zilizopenyezwa Magogoni kumhusu bwana Kidata na zilizopelekea kufutwa ubalozi na kuvuliwa hadhi ya ubalozi mmoja wa wanyetishaji alikuwa huyo muhanga aliyefukuzwa kule Kigoma.

Ni wazi bwana Kidata kwa sababu za chuki binafsi na kutaka kumkomoa ilikuwa lazima amfute kazi!
Natumaini hizo duru pia zilikufahamisha kwamba baadaye JPM alijuta sana kumuadhibu na kumdhalilisha ndugu yake Kidata kwa kuamini maneno ya umbea. Akaamua “kumlazimishia” jamaa uRAS wa Mtwara kama “atonement”.

Tatizo la Magufuli aliendekeza sana watu incompetent lakini wanaompelekea taarifa za watu “wanaomsema vibaya”. Mtu anachukua kipande cha clip ya maongezi na marafiki na kukiwahisha kwa bosi ili kupata ujiko. Bosi naye alivyo zuzu badala ya kudai clip nzima anareact kishamba. Siku akipewa kitu kamili anakuwa mdogo kama piriton. Hiyo breed ni undesirable kwenye uongozi wa taifa.
 
Natumaini hizo duru pia zilikufahamisha kwamba baadaye JPM alijuta sana kumuadhibu na kumdhalilisha ndugu yake Kidata kwa kuamini maneno ya umbea. Akaamua “kumlazimishia” jamaa uRAS wa Mtwara kama “atonement”.

Tatizo la Magufuli aliendekeza sana watu incompetent lakini wanaompelekea taarifa za watu “wanaomsema vibaya”. Mtu anachukua kipande cha clip ya maongezi na marafiki na kukiwahisha kwa bosi ili kupata ujiko. Bosi naye alivyo zuzu badala ya kudai clip nzima anareact kishamba. Siku akipewa kitu kamili anakuwa mdogo kama piriton. Hiyo breed ni undesirable kwenye uongozi wa taifa.
Ndiyo sababu ya Kidata kumsimamisha kazi huyo meneja aliyepandisha mapato?
 
Back
Top Bottom