Meneja wa WCB, Sallam SK atangaza kuachia ukweli wote muda mfupi ujao

Kweli WAHACHE kukariri maHisha kabisa
 
dah kweli kila zama na kitabu chake,Kusaga leo ni wa kuwapigia magoti kina salaam??uuwiiiii,
 
Mbona husemi wcb hawako sawa na eatv/radio na efm na tve?
Efm ni wivu wa mapenzi ndio umeleta huo mfalakano.. Ila eatv/radio niwe mkweli sijui nini chanzo.. Nimewasema hao akina ruge maana ni kesi nyingi sana tumesikia wasani wakilalamika juu yao toka enzi za akina sugu
 
Sallam sk umekiki sana jf hizi siku moja mbili
 
Nafikri ifike muda tuelewe kuwa ruge nae anamatatzo si kila msanii yeye tu anamlalamikia
 
Kwa nini Ruge ndiye aonekane tatizo, wakati yeye anatekeleza majukumu ya taasisi!?
Nafikri ifike muda tuelewe kuwa ruge nae anamatatzo si kila msanii yeye tu anamlalamikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…