Menejimenti ya AUWSA yakaidi agizo la Waziri Mkuu, Wametumia Milioni 216 kwenda kutalii Mwanza

Menejimenti ya AUWSA yakaidi agizo la Waziri Mkuu, Wametumia Milioni 216 kwenda kutalii Mwanza

Mwanza hii hii ambayo maji ni ya mgao? Kweli serikalini kuna shida mahali.
Ungeenda direct, Mwanza mtaa gani una mgao wa maji???? Kuishi kwangu Mwanza sijawahi experience mgao wa maji......na maji hukatika mara moja moja tank likiwa linafanyiwa usafi.....mostly wanafanyaga siku ya jumamosi.
 
Tumia akili usitumie Matako Kujibu hoja, Issue ni Matumizi mabaya ya Fedha ya Umma na kukaidi agizo la waziri Mkuu. Unataka kutuambia Waziri Mkuu ana Wivu kuzuhia Warsha na Utalii? Tshs 216M ni extension Kilomita ngapi za Majisafi?

Na kwa Taarifa yako Mamlaka yenye upotevu mdogo wa Maji ni Moshi ina below 25% Mwanza ina upotevu wa Maji above 38% . Ni akili kweli au tope kwenda kujifunza Mamlaka yenye upotevu wa Maji above 38%

Usimuhingize Eng Sanga Kwenye Upigaji wenu … Engineer Sanga ana heshima zake amejenga Carier yake kwa Miaka zaidi ya 20.

Tupatie na Jibu Mkataba wa AUWSA na Tumaini Engineer wa Ujenzi wa Mradi wa A to Z umevunjwa kwanini? Na Je wahusika waliongia Mkataba huu
Wa Kifisadi wa Tshs 2.8 billion wamechukuliwa hatua gani?
Usitumie jazba mkuu, hayo matako hata wewe unayo, hivyo jibu hoja kwa hoja, ukitaka lugha chafu zitumike basi jata uzi wako utaharibika muda sio mrefu.

Pia mimi si mfanyakazi wa mamlaka yoyote ya maji, hivyo misalaba yenu usiidondoshe kwangu, kama unaona kazi haina maslahi kwako au unapoteza muda ipige chini, fanya unayoona yanakufaa.....
 
Tunajajadili matumizi mabaya Fedha za Umma.. Reasoning capacity yako ni ndogo ndiyo maana umeishia kuwaza ni sahii Fedha za Umma kutumika vibaya..
Soma nielewe, mm nimemjibu aliyesema uache wivu. Ndio nikakuuliza huo wivu? Nikimaanisha umetoa hoja nzuri ambazo zinapaswa kuchukuliwa hatua
 
Shida ni pesa hiyo... Nyingi sana. Ila kutalii kiofisi sio mbaya. Wachunguzwe
Ww teacher skia, kwa matatizo yaliyopo kwenye hii nchi yetu na hasa sasa ni bora wakajielekeza kutatua zaidi kero kuliko huko kutalii. Hapo wanapotoka Kuna watu hawajui bomba la maji linafananaje
 
Wanafanya haya Kwa sababu wanajua kwamba hakuna hatua zitakazochukuliwa..

Hata hivyo unaweza Kuta hizo pesa ziko kwenye fungu lao la matumizi mengine na zilipitushwa na Bunge so kisheria wanakuwa wako sahihi maana hawajaingilia mafungu mengineyo.
Tatizo lingine ni ametoka wapi kwenda wapi kujifunza???? Kitombile Vege Mikdde 😁😁😁😁😁😁
 
Wanafanya haya Kwa sababu wanajua kwamba hakuna hatua zitakazochukuliwa..

Hata hivyo unaweza Kuta hizo pesa ziko kwenye fungu lao la matumizi mengine na zilipitushwa na Bunge so kisheria wanakuwa wako sahihi maana hawajaingilia mafungu mengineyo.
Ni hatari sana , Wametumia last week Wametumia 10M ya kamati ya kukagua Furniture cha Kushangaza member wa Comitee hakuna hata Mmoja mwenye taaluma ya Useremala, Ni mwendo wa kupeana ulaji,

Ingekuwa China member wa Comitee ya kukagua Furniture walioenda Dar kwa Gharama ya 10 Milion na Magari 3 na walioenda kutalii mwanza wangenyongwa
 
Hawa jamaa hawana huruma na Kodi za Wadanganyika..
 
Wanafanya haya Kwa sababu wanajua kwamba hakuna hatua zitakazochukuliwa..

Hata hivyo unaweza Kuta hizo pesa ziko kwenye fungu lao la matumizi mengine na zilipitushwa na Bunge so kisheria wanakuwa wako sahihi maana hawajaingilia mafungu mengineyo.
Kuna maana gani ya kuwa na mkuu wa nchi ambaye hawezi kuwachukulia hatua wanaotumia vibaya pesa ya serikali ambayo yeye ndiye mwangalizi mkuu!!?!
 
Ni hatari sana , Wametumia last week Wametumia 10M ya kamati ya kukagua Furniture cha Kushangaza member wa Comitee hakuna hata Mmoja mwenye taaluma ya Useremala, Ni mwendo wa kupeana ulaji,

Ingekuwa China member wa Comitee ya kukagua Furniture walioenda Dar kwa Gharama ya 10 Milion na Magari 3 na walioenda kutalii mwanza wangenyongwa
Weka evidence mkuu, ni kweli hizo hela zimetumika ili tukuamini, vinginevyo unachuki binafsi na jamaa.
 
Menejimenti ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha Chini ya Engineer Justin Rujomba imetumia Milioni Mia Mbili na Kumi na Sita ( 216 Milion) kwenda Mwanza kwenye Semina na Kutalii kwenye Mbuga ya Wanyama Serengeti kinyume na maagizo ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasim Majaliwa aliyoyatoa wakati akifunga Bunge la Bajeti 2022/2023.

Mheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa alipiga marufuku Taasisi za Umma kutumia Fedha za walipa kodi katika Semina , Warsha na Utalii na badala yake akatoa agizo semina na Warsha Zifanyike kwa Njia ya mitandao ili kuongeza kasi ya maendeleo.

Ziara hii imefanya Shuguli za Mamlaka ( Maunganisho Mapya , Makusanyo na Uzibaji wa Mivujo ) kusimama kutokana na Usafiri wa Mafundi kwa maana ya Magari 8 yameenda katika Ziara hiyo hivyo Kufanya Mafundi kushindwa kwenda sites kuhudumia Wakazi wa Jiji la Arusha.

Kaimu Mkurugenzi AUWSA ameachiwa Junior staff Arnord Kipanju ( Ambaye ni Mpwa wake MD Rujomba) kutokana na Menejiment yote ( MD, Wakuu wa Idara , Wakuu wa Sehemu na units) wote 28 wamesafiri .

Ziara hii inafanyika wakati Upotevu wa Maji AUWSA ukiwa ni 63% kwa Lugha Raisi ni kwamba AUWSA inauza Maji asilimia 37% tuu Asilimia 63 ya Maji yanapotea

Pamoja na Serikali kuu Kuvunja mkataba wa AUWSA na Mkandarasi wa Mradi wa ujenzi wa Miundombinu ya Uhondoaji majitaka wa A to Z Kampuni ya Tumaini Engineer wahusika waliousika katika kuingia Mkataba huu wa kifisadi wapo huru na wanajisifu hakuna wa kuwakamata kwa maana wameiweka Wizara ya Maji, na TAKUKURU Arusha Mfukoni .

Haya yanatendeka ikiwa Tayari Serikali Imetoa Tzs 530 bilion kusambaza maji Jiji la Arusha lakini Maji ayaonekani yakiongezeka katika Jiji la Arusha Mgao wa Maji umeongezeka maradufu.
Ni haki kwa menejimenti na board kwenda kujifunza kwa manejimenti na board zingine jinsi ya kuendesha mamlaka kama hizo. Tusiwe watu wa kujitia kitanzi cha kubana matumizi sana, maisha labda yaendelee na watu wajifunze
 
Kuna maana gani ya kuwa na mkuu wa nchi ambaye hawezi kuwachukulia hatua wanaotumia vibaya pesa ya serikali ambayo yeye ndiye mwangalizi mkuu!!?!
Umesoma maelezo yangu? Kama matumizi yako kwenye bajeti yao hakuna kosa na Wala sio kosa kufanya utalii, taasisi kibao zinafanya..

Kama kuna katazo la PM ni wazi hakuna mkuu wa Taasisi anaweza jilipua kuwafaidisha watumishi wake Ili yeye apoteze Kazi,hapa bila shaka amefuata sheria.
 
Ooohh nchi inaliwa kisawasawa sijui akili za Srilanka zitakuja lini kwa sisi wabongo.
 
Swala la mbuzi na urefu wa kamba liko pale wacha walambe tu kwani miaka kadhaa nyuma walikua na buyu lakn hawajalionja
 
Katiba ni maandishi tuu, kitu muhimu ni utekelezaji wa majukumu. Iwapo wanaopewa mamlaka wanaamua kufanya ufisadi katiba haitawazuia. Hata hivi tusemapo, kuna sheria kemkem za kupigana na ufisadi, lakini sie wananchi wenyewe ndio mafisadi na tunaushabikia ufisadi ndio maana unashamiri.
Hivi ni Tanzania tu ndo kwenye katiba?
 
Katiba ni maandishi tuu, kitu muhimu ni utekelezaji wa majukumu. Iwapo wanaopewa mamlaka wanaamua kufanya ufisadi katiba haitawazuia. Hata hivi tusemapo, kuna sheria kemkem za kupigana na ufisadi, lakini sie wananchi wenyewe ndio mafisadi na tunaushabikia ufisadi ndio maana unashamiri.
Ukiona katiba haifuatwi jua hiyo katiba ni mbovu ndo maana inachezewa.Msingi wa madudu yote yanayofanyika nchi hii chanzo chake ni katiba isiyoendana na nyakati.Hivyo ulivyovitaja lazima vikose nguvu kwasababu utekelezaji wake lazima utokane na utashi wa rais ambaye kapewa mamlaka kikatiba kua juu ya kila kitu.kwahali hiyo lazima matatizo hayataisha.
 
Tumia akili usitumie Matako Kujibu hoja, Issue ni Matumizi mabaya ya Fedha ya Umma na kukaidi agizo la waziri Mkuu. Unataka kutuambia Waziri Mkuu ana Wivu kuzuhia Warsha na Utalii? Tshs 216M ni extension Kilomita ngapi za Majisafi?

Na kwa Taarifa yako Mamlaka yenye upotevu mdogo wa Maji ni Moshi ina below 25% Mwanza ina upotevu wa Maji above 38% . Ni akili kweli au tope kwenda kujifunza Mamlaka yenye upotevu wa Maji above 38%

Usimuhingize Eng Sanga Kwenye Upigaji wenu … Engineer Sanga ana heshima zake amejenga Carier yake kwa Miaka zaidi ya 20.

Tupatie na Jibu Mkataba wa AUWSA na Tumaini Engineer wa Ujenzi wa Mradi wa A to Z umevunjwa kwanini? Na Je wahusika waliongia Mkataba huu
Wa Kifisadi wa Tshs 2.8 billion wamechukuliwa hatua gani?

Achana na huyo oya oya, shukran kwa kumlisha data.

Hivi hawa AUWSA si wanahusika pia na ile project ya maji taka?

Hebu ifanyie taarifa pia, nahisi inaweza kuwa na upigaji maana kasi yake kama imezima kabisa.

200m iwe ya kujifunza, labda kama walienda wafanyakazi wote na wateja wachache kutoka kila mtaa.
 
Menejimenti ya Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jiji la Arusha Chini ya Engineer Justin Rujomba imetumia Milioni Mia Mbili na Kumi na Sita ( 216 Milion) kwenda Mwanza kwenye Semina na Kutalii kwenye Mbuga ya Wanyama Serengeti kinyume na maagizo ya Waziri Mkuu Mheshimiwa Kasim Majaliwa aliyoyatoa wakati akifunga Bunge la Bajeti 2022/2023.

Mheshimiwa Waziri Mkuu Kasim Majaliwa alipiga marufuku Taasisi za Umma kutumia Fedha za walipa kodi katika Semina , Warsha na Utalii na badala yake akatoa agizo semina na Warsha Zifanyike kwa Njia ya mitandao ili kuongeza kasi ya maendeleo.

Ziara hii imefanya Shuguli za Mamlaka ( Maunganisho Mapya , Makusanyo na Uzibaji wa Mivujo ) kusimama kutokana na Usafiri wa Mafundi kwa maana ya Magari 8 yameenda katika Ziara hiyo hivyo Kufanya Mafundi kushindwa kwenda sites kuhudumia Wakazi wa Jiji la Arusha.

Kaimu Mkurugenzi AUWSA ameachiwa Junior staff Arnord Kipanju ( Ambaye ni Mpwa wake MD Rujomba) kutokana na Menejiment yote ( MD, Wakuu wa Idara , Wakuu wa Sehemu na units) wote 28 wamesafiri .

Ziara hii inafanyika wakati Upotevu wa Maji AUWSA ukiwa ni 63% kwa Lugha Raisi ni kwamba AUWSA inauza Maji asilimia 37% tuu Asilimia 63 ya Maji yanapotea

Pamoja na Serikali kuu Kuvunja mkataba wa AUWSA na Mkandarasi wa Mradi wa ujenzi wa Miundombinu ya Uhondoaji majitaka wa A to Z Kampuni ya Tumaini Engineer wahusika waliousika katika kuingia Mkataba huu wa kifisadi wapo huru na wanajisifu hakuna wa kuwakamata kwa maana wameiweka Wizara ya Maji, na TAKUKURU Arusha Mfukoni .

Haya yanatendeka ikiwa Tayari Serikali Imetoa Tzs 530 bilion kusambaza maji Jiji la Arusha lakini Maji ayaonekani yakiongezeka katika Jiji la Arusha Mgao wa Maji umeongezeka maradufu.
Hii AUWASSa ina majungu sana hakuna lolote nyie ndio mlikuwa wapigaji sasa mmebanwa pumbu mnaanza kupaparika, Viongozi pigeni kazi.........
 
Back
Top Bottom