Menejimenti ya AUWSA yakaidi agizo la Waziri Mkuu, Wametumia Milioni 216 kwenda kutalii Mwanza

Menejimenti ya AUWSA yakaidi agizo la Waziri Mkuu, Wametumia Milioni 216 kwenda kutalii Mwanza

Rujomba alisababidha kifo cha Driver Aseri Munisi ( Mtoto wa aliyekuwa Mkurugenzi Munisi)

Huyu Kijana wa Mzee Munisi alisoma na Rujomba Chuo kimoja wakagombania Mwanamke na Rujomba ,Alipoteuliwa tuu kuwa MD wa AUWSA akambambikizia Munisi
Kesi ya Wizi wa Mafuta na Kumsimamisha kazi.

Munisi alifariki kutokana na Msongo wa mawazo baada ya Kusimamishwa kazi kwa muda Mrefu

Rujomba ni Fisadi na Muhuaji.
 
Eng Rujomba Ananyanyasa watumishi na anatumia ukararibu wake na Waziri Aweso kuwanyanyasa watumishi, Katika kipindi chake cha Ukurugenzi amewashusha Vyeo watumishi 38 wanaopingana na Ufisadi wake. Watumishi wazalendo waliopingana na Ufisadi wa Eng Rujomba na wakashushwa vyeo ni hawa, PCCB , Usalama na Ofisi ya Waziri Mkuu mkitaka kuthibitisha waitwe waojiwe kwanini wameshushwa Vyeo.

1. Eng Humphrey Mwiyombelwa- Alikuwa ni Technical Manager , Waziri Aweso alimpatia Taarifa Eng Rujomba kuwa akae kwa taadhari na Eng Mwiyombelwa anatishia cheo chake baada ya Rujomba kupokea taarifa kutoka kwa Waziri akaanz kumfrustrate Eng Mwiyombelwa mwisho wa Siku Eng Mwiyombelwa akaandika barua ya kuacha kazi , Shukrani kwa Ofisi ya waziri Mkuu, Usalama wa Taifa na Wizara ya Utumishi Baada ya Eng Humphray kukaa kitaa kwa Muda wa Mwaka Mmoja walipata taarifa na kuifanyia Kazi Na wakatoa Maelekezo kwa Waziri Aweso ampangie kituo Kwa Sasa Eng Humphrey ni MD wa Mamlaka ya maji Igunga.

2. Edes Mushi- Alikuwa Ni Manager wa Biashara AUWSA na Mwenyekiti wa Tender Board , Huyu aliamishwa Moshi baada ya kugoma kupitisha Tender za Magumashi za Eng Rujomba

3. Benedict Kitigwa- Alikuwa ni Mkuu wa Kitengo cha ugavi, Kama Mushi aliondolewa Baada ya kukataa kupitisha dili za Rujomba

4. Said Galambo Alikuwa ni Afisa Ugani, ameamishiwa ofisi ndogo ya USA River Baada ya kumgomea Eng Rujomba kutoa Delivery note hewa ya kupokea Mzigo hewa ili Supplier alipwe,

5. Mosha.. Mtaalam wa Matengezo , Ameondolewa kushiriki matengenezo ya Vifaa vya Moto Baada ya kugoma kufunga spare mbovu ambazo zinaletwa na Suplier ambao Eng Rujomba ana maslahi nao ( Anavuta punga)

6.Ringo- ameondolewa kitengo cha Matengezo Baada ya kugoma kufunga spare mbovu

7.Eng Tarimo- Alikuwa ni Engineer Mkuu wa kanda ya Ngaramtoni ameamishiwa Ofisi ya Bwawa la Majitaka Mkono ni Baada ya kuisiwa anatoa taarifa ofisi za Usalama.

8.Maisha Mvungi, Alikuwa ni Manager wa Kanda ya Longido amerudishwa Makao Makuu Bench ni Baada ya kugoma kupitisha Malipo hewa kulipwa Kampuni ya Tumaini Engineer iliyokuwa imepewa Jukumu la kutafuta na Kusimamia Vibarua wa Mradi wa Longido- Namanaga. kampuni ya Tumaini’s Engineer ilikuwa inapeleka invoice hewa kwa Eng Maisha apitishe Malipo baada ya Maisha kugoma Eng Rujomba akamuamishia Bench HQ..

9.Maadam Mija, aliamishwa Baada ya kukataa kutoa tender za Uniform kwa Kampuni ya Eng Rujomba, Tender ya Mashati 2021/2022 kampuni iliyoshinda ilitoa ofa ya Shati 1 kwa Tzs 25,000/= Rujomba akawa analazimisha apewe wa Tshs 54,000/= Baada ya Mija kugoma akaamishiwa pondi ya Lemara akafaidi harufu.. hii ndiyo zawadi aliyopewa huyu Mzalendo mwenye Uchungu na Mamlaka.

10. Eng Mkama ameamishiwa Ofisi ya kanda ya Ngaramtoni kutoka ofisi ya mradi mkubwa ni Baada ya kugoma kutoa Certificate ya Malipo kwa kampuni ya ujenzi wa Miundombinu ya Uhondoaji Majitaka, Kampuni imefanya kazi chini ya Kiwango Eng Mkama alivyogoma kupitisha Certificate ya Malipo akaondolewa , Wakandarasi wa mradi Mkubwa wamekuwa wakitoa Fedha 10% kwa Eng Rujomba kwa kila Certificate ya Malipo

11.William Shayo.. Alikuwa ni Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mahusiano kwa sasa yupo Benchi HQ ni Baada ya kugoma kumlipia Malazi hawara wa Eng Rujomba waliokuwa naye ziara Ngorongoro. Shayo alihoji atumie Fungu lipi kumlipa hawara wa Eng Rujomba waliokuwa naye Ngorongoro hii imemgharimu shayo.

12. Amani Mtui- Driver ameamishwa kwenda ofisi ya Monduli ni Baada ya kuhuliza maswali kwenye kikao cha Wafanyakazi wote na bodi, Dawa yake ikawa apelekwe Monduli

13. Ibrahim Gagala- Alikuwa ni Manager wa Zonal ya Ngaramtoni ameamishiwa HQ ni Baada ya kufoward Taarifa anazotoa Mchunguzi huru Moshi town .

14.Eng Steven Msesega, Mkuu wa Kitengo cha matengenezo amepigwa marufuku kujiusisha na matengenezo ya vifaa vya Moto ni Baada ya kugoma kupokea Vifaa vya Matengenezo Vibovu alivyokuwa analeta Fundi John kutoka Moshi ambaye alipewa Tender ya kufufua magari mabovu bila kufuata taratibu za matengenezo ya magari. Kwa sasa Eng Msesega amebaki na Jukumu la kuwasha na kuzima pump za Maji.

15. Maadam Mwajabu alikuwa ni afisa ugavi ameamishiwa Musoma Baada ya kukataa kutoa tender kampuni za Eng Rujomba .

16 Naima ameshushwa cheo bila sababu ya Msingi kutoka Ofisi ya PR kwenda front Desk Lemara.

17. CPA Ngatunga ameshushwa cheo bila Sababu kutoka Ofisi ya Uhasibu yupo Bench Hq

18.Oscar Kitime- Huyu Guru wa IT alikuwa ni mkaguzi wa Mifumo ya Electronics ameondolewa ofisi ya Ukaguzi Baada ya kufanya ukaguzi wa Mfumo na kukuta matumizi mabaya ya Fedha anayofanya Eng Rujomba bila kufuata taratibu, Ameamishiwa ofisi ya ukaguzi wa Vitabu vya Sheria



Orodha ya watumishi walionewa ni wengi wengine ni hawa

19. Martha - Ameameshwa kutoka Audit kwenda Kitengo hewa cha Pre Audit
20.Swai -Ameamishwa kutoka kitengo cha Ujenzi
21.Mbanza- Driver

22. Christine- Ameamishwa kutoka idara ya Uhasibu kwenda kitengo hewa cha Pre -Audit

23. Mary Maleko- Aliamishwa kutoka Ofisi ya PRO kwenda kuwa Front Desk Zonal Office, Ameamishwa kwa kuisiwa alikuwa anatoa taarifa kwa Mkurugenzi wa Zamani Ruth Koya,Baada ya kuanza Kujipendekeza na Kuachia Mzigo amepewa Umeneja wa kanda ya Ngaramtoni.

Waziri Mkuu , Wizara ya Utumishi Saidieni AUWSA Watumishi wananyanyasika na kutishiwa kushushwa Vyeo.Wizara ya Maji na Bodi ya AUWSA Rujomba ameiweka Mfukoni anafanya analotoka.
Ofisi ya Rais, Waziri Mkuu , PCCB , CAG , PPRA chunguzeni maeneo haya.

1.Management kutumia kiasi cha Shilingi 216 kwenye kutembelea Mbuga ya Wanyama na Mwanza ni Sahii wakati AUWSA upotevu wa Maji ( NRW) ni 64%, Ni sahii management kutumia kiasi hiki cha pesa wakati watumishi wa AUWSA wanadai 100,000/= Posho ya Mwezi awajapokea hadi leo, Na kwanini wamekaidi maelekezo ya waziri mkuu yq kutosafiri.

2.Ni Sahii Rujomba kutumia Tzs 10 milion kuunda kamati kwenda Dar kukagua Furniture, alitumia Criteria gani kuhunda hii kamati? Na Je wajumbe wa hii kamati kuna ambaye ana taaluma na useremala? Na Je Value For money hipo ?

3. Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya uhondoaji Maji taka A to Z wa TZs 2.5 bilion Uchunguzwe, Kwanini Mkandarasi Tumaini Engineer alipewa mkataba bila zabuni kutangazwa, Baada ya Mchunguzi huru Moshi town kuandika sana Juhuu ya huu mradi mkataba ukavunjwa , Je waliousika katika huu Mkataba wa Kifisadi wamechukuliwa hatua gani? Na Je Kampuni ya Tumaini engineer Imechukuliwa hatua gani? Wahusika wapo mtaani wanatamba wameshatoa Mshiko awawezi kufanywa chochote.

4.Ichunguzwe kwanini Eng Rujomba kanunuliwa Simu yenye Thamani ya Tzs 5,560,000.00 wakati Mkataba wa hali bora unasema MD atanunuliwa simu ya Tzs 1,000,000.00 Baada ya kipindi cha miaka 3. Kwanini ametumia pesa kinyume na mkataba wa hali bora?

5.Watumishi Kutishiwa na Rujomba kuwa atatoa pesa kwa Waziri Wa
maji Awewo awafukuze kazi kama
Alivyofanya kwa Eng Mwiyombela, Edes
mushi , Mwajabu na Kitigwa ,kunyanyaswa, Kutukanwa, kudhalilishwa na Eng Rujomba na wengi wameshushwa vyeo kinyume na Sheria za Utumishi.. Ushaidi ya watumishi walionewa hipo hapo Juhu.Watumishi zaidi ya 25 wameshushwa vyeo bila sababu , Mkurugenzi wa Jiji la Arusha aliamisha watumishi 48 Waziri Mkuu akasema siyo Jambo la kawaida watumishi 48 kuamishwa Eng Rujomba siyo jambo la kawaida achunguzwe,

6. Mradi wa Visima 5 vyenye thamani ya TZs 15 bilion vinavyochimbwa Arumeru Uchunguzwe, Visima hivi vinachimbwa maeneo yenye Fluoride zaidi ya 25% , Maji ayatafaa kwa Matumizi ya Binadamu,

7.kamati ya Uchunguzi ipitie Busines Plan iliyotumika kuomba Mkopo wa Tzs 530 bilion bank ya Africa na ichunguze Je mradi umekuwa na tija au hasara?

8. Ununuzi wa Uniform 2022/2023 Uchunguzwe Eng Rujomba ametoa maagizo kampuni ya kupewa kazi, Alituma Picha ya Sample ya Uniform akiiwa Nje ya Nchi ( Nertheland) kwa HPMU ambaye aliitisha kikao cha Mangement na kuomba management ipitishe ununuzi wa mashati haya kwa sababu ni maelekezo ya MD, Maswali ya Msingi kwanini Eng Rujomba apendekeze uniform za Kununua na siyo evalution comitee? Na kwanini Sample ipelekwe management na siyo kwa wafanyakazi ?Jukumu la pCCB ni kupambana na kuzuhia Rushwa… Hii bado mna Fursa ya Kuzuhia Supplier bado ajaleta uniform.

9. Ichunguzwe kwanini AUWSA imetumia 41 Milion kukarimu kamati ya Bunge ya bajeti Tarehe 6 Julai 2022. Je ni Sahii AUWSA kuwalipa Wabunge posho kuwanyamazisha wasiseme Juhu ya Matumizi mabaya ya Fedha za Covid?

10. Ichunguzwe kwanini baadhi ya Member wa Management walikuwa likizo wiki ya Maji na Kukumbiza Mwenge
wamelipwa Posho

11: Ichunguzwe kwanini AUWSA ilimpatia zabuni Fundi Garage bubu John kutoka moshi kutengeneza magari wakati muongozo wa Serikali ni magari yatengenezwe Tamesa , Fundi Johon alipatikanaje ? Magari aliyotengeneza yote yamesimama nani atafidia hasara aliyolet fundi John?

12. Waziri na katibu mkuu waojiwe ni kweli wameagiza mabomba yanunuliwe Plasco au ni Janja janja ya Eng Rujomba? Week iliyopita Eng Rujomba amemuita HPMU na kumuagiza afanye namna kuwaondoa kampuni ya Lodhia na Simba Plastic zabuni ya Mabomba apatiwe Plasco kuwa ni maagizo ya Waziri wa Maji.. Na kama waziri anatoa maagizo haoni kama anapingana na Rais mama Samia ambaye antumia nguvu nyingi Kujenga sekta binafsi ( Private sector).. Tume ya Ushindani ( Fair Competition) ingilieni ili.

12. Ichunguzwe Malalamiko ya Upendeleo vyeo Je walipandishwa vyeo wana sifa kulingana na Scheme of Service iliyopo na iliyotolewa na Utumishi? Na Kama Scheme of Service aifuatwi kwanini ENg Rujomba asiwajibishwe?

13. Ichunguzwe kwanini Rujomba alimuachia Ofisi wakati wa Ziara ya management mbugani Serengeti na Mwanza Junior staff ( Mpwa wake) Arnord Kipanju akasafiri , Je ni Sahii MD
ana Mamlaka ya Kumuachia mtumishi yoyote ofisi hata akiwa ni Junior? Je AUWSA ina Succesion Plan ? Na Ichunguzwe kipindi amemuachia Mpwa wake kipanju ofisi kuna Loss yoyote imetokea?

14. Baada ya Mchunguzi huru moshi Town kutoa taarifa za Safari ya Management ya AUWSA Mbugani Serengeti na Mwanza Eng Rujomba alikatisha ziara akarudi Ofisini Ichunguzwe Je Baada ya kukatisha ziara amerudisha pesa alizopewa za siku 10? Amekaa ziara siku 2 anatakiwa kurudisha pesa za Siku 8 na mafuta maaana akukamilisha ziara.

15. Kwa taratibu MD anaposafiri / Kuwa Nje ya kituo cha kazi anapaswa kuandika barua ya kukabidhi ofisi na Nakala
Kwa RAS na Katibu Mkuu Wizara ya Maji Je? Barua ya Kumkabidhi Ofisi Mpwa wake Arnord Kipanju alituma nakala kwa
Katibu mkuu na RAS? Na kama alituma Je? Baada ya kurudi kabla ya Siku kuisha ameandika Barua kwa katibu mkuu na RAS kuwataarifu ametengua mpwa wake Arnord Kipanju kukaimu Ukurugenzi? Au aliacha ofisi rejareja kama mtu anayetoka chooni na akarudi ofisini Rejareja kama mtu anayeingia chooni.
 
Back
Top Bottom