stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Hahaha ndio maana yake....mi namheshimu sanaa mwanamke naye fight nae maisha from scratch tokea sina kitu mpaka mtu una make it big..
Hata kama nachepuka...she wud never ever find out, its out of love, care and respect. Kamwe siwez mdharau. Issue is wengi tunajisahau sanaa.
Hahahaa usiku huu umenifanya nicheke....senga angekuwa nazo na yeye angekuwa na mbebez mkare
Hiyo si ndoa ni ndoana,Mengi kapenda papuchi mbichi,K-lyn kapenda pesa,that's all.
Hata we we adhabu hii iakuhusu kwa kutumia jina la bandia.Na wewe umetumia jina la bandia kwenye mtandao, fine milioni 5 au jela miaka 3 (refer: sheria-mtandao mpya tarajiwa)
ndoa za hivi hazinaga mapaparaz mkuu
Mkuu Asprin, njoo usikie hii kauli ya mrembo Apologise ladyNdio maana nimekuganda kama ulimbo, Asprin atafanya tu hiyo kazi hata kwa kulia ila kazi itakamilika.
Hii Sredi nafikiri itasaidia kuinua mapato ta sirikali. Wangejua wakaanza upekuzi leo humuhumu na walioitunga nao watakuweko kule Segerea:heh:yani kwenye hii sredi hadi sasa sirikali inaweza kujikusanyia 50 millions kama fine na kuwapa miaka 30 ya jela mkagawane wenyewe huko!
Tulikunywa tukalewa na kula ..
we ndio ulitupia ile suti y kivivu skuile?
Daah nlikuonaa aiseee....
Kwa kweliii ilkua bomba sana skuwai kuona....
Mkuu Asprin, njoo usikie hii kauli ya mrembo Apologise lady
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
Tulikunywa tukalewa na kula ..
we ndio ulitupia ile suti y kivivu skuile?
Daah nlikuonaa aiseee....
Kwa kweliii ilkua bomba sana skuwai kuona....
Kumbe na wewe ulikuwepo kweli jamaa mwenye suti ya kijivu alitia fora.
Na wewe umetumia jina la bandia kwenye mtandao, fine milioni 5 au jela miaka 3 (refer: sheria-mtandao mpya tarajiwa)
Ni sawa anamahela lukuki,swali je yaliyomo yamo????
Kweli mkuu hapo Klyn anaona pua ya mengi kama ya Kinyarwanda wakati kama Ngumi, hela kitu kibaya sana kwakweli Negative inakuwa Positive. Senga angekua nazo mbona utamuona Hashim Thabeet ila kwasasa hivi utamuita majina yote ngoja azipate.
I think marriage is not a good idea when you have much money, hawachelewagi kuulizia paso kwa paso bila huruma. Uwaone hivyo hivyo wananukia fragrance, wakikuchenjia hao wanakuwa kama mashetani. Wajameni tuwe makini sana.