Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Status
Not open for further replies.

Ndio maana nimekuganda kama ulimbo, Asprin atafanya tu hiyo kazi hata kwa kulia ila kazi itakamilika.

Aisee...............:shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked::shocked:
 

Ndio maana nimekuganda kama ulimbo, Asprin atafanya tu hiyo kazi hata kwa kulia ila kazi itakamilika.

Mkuu Asprin, njoo usikie hii kauli ya mrembo Apologise lady

Na akuje asikie, sina habari nae, kwanza kafilisika siku hizi.

Mara pazia la hekalu likapasuka..... ODM akasema YAMEKWISHA!!!
 
Mzee Mengi yupo separated na mkewe Mercy hawaja divorce , pili Mauritius wanakubali kuwaozesha watu NDOA ( watu wawili angalau mmoja awe single ).

Mengi ni mkristo na sidhani Tanzania kuna NDOA mbili za kikristo.

Congratulations kwa wanandoa ila K - Lyn awe macho.Mengi may be the smart one here.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…