Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Status
Not open for further replies.
Napenda kutuma salamu kwa wanawake wote kuwa nami nitakua na mapesa mengi kumzidi mengi ili nifanye kufuru na dhambi, maana nitatubu badae.
 
Amefanya vema,hawa akina dada wanahitaji watu wa kuwasitiri,na ikibidi ratio ya 1:3 maana wanateseka kusaka ndoa hawapat
 
naona mpaka wazee nao wanajua maana halisi ya tikisa vizuri kabla ya kutumia!

Ishakuwa fashion mjini, zaa uolewe!

HIVI K LYN ANA MIAKA MINGAPI COMPARED TO LE MENGI?
 
hapa pana cha kujifunza kiukweli.

1) binti kakosa kijana mwenzie anaye weza kumridhisha ndo mana kajionea bora atoke na mzee manake kiukweli wananguvu ukicompare wa vijana wa kileo

2) binti katafuta eleri kwa lazima manake alijua kutoka na mzee afu pesaless hailipi, na hata ukimkuta kijana rijali mshiko wamaana hana so nikajilie vyangu katika ujana natesa ujana adi uzee

3) mzee alipiga picha nina mali, machame mrithi wa maali ni mtoto wa ndoa wa kiume vinginevyo mtoto wa kiume wa ndugu yaani kaka, sasa mali zangu zote hizi nimpe mtu hapana, ngoja nizae changamoto ikaja Mercy ni mzee nafanyeje manake akibeba mimba atazaa mongolia .............
basi akaamua kudiscuss nae na kutafuta binti mdogo akajua huyu nikimpandikiza hata mapacha ataweza kuzaa bila shida.

4) nataka mtoto wa kiume nifanyeje?? nikapandikize mapacha wa kiume ili nipate mrithi na this tyme sio kwa kubahatisha bali nihakaikishe nakuwa na wa reserve...........

5) pesa ipo kila kitu kinawezekana so leta binti nifurahie maisha

kwani alikuwa hana mtoto wa kiume??!!!
 
View attachment 239751
hii ni mojawapo ila naona zile picha zilizokuwazinawaonyesha wanafunga ndoa kabisa zilishafutiliwa mbali,hizi iisue ilijadiliwa hapa,thread ikaondolewa kabisa,picha ziliwekwa pia kwenye blog moja iliitwa THE UTAMU watu walitiririka acha kabisa,enzi ya vita ya Rostam na Mengi

Aiseee I didn't knew this!!!
Mengi nae sasa khaaaa!!!!3times?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom