Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Status
Not open for further replies.
hapa pana cha kujifunza kiukweli.

1) binti kakosa kijana mwenzie anaye weza kumridhisha ndo mana kajionea bora atoke na mzee manake kiukweli wananguvu ukicompare wa vijana wa kileo

2) binti katafuta eleri kwa lazima manake alijua kutoka na mzee afu pesaless hailipi, na hata ukimkuta kijana rijali mshiko wamaana hana so nikajilie vyangu katika ujana natesa ujana adi uzee

3) mzee alipiga picha nina mali, machame mrithi wa maali ni mtoto wa ndoa wa kiume vinginevyo mtoto wa kiume wa ndugu yaani kaka, sasa mali zangu zote hizi nimpe mtu hapana, ngoja nizae changamoto ikaja Mercy ni mzee nafanyeje manake akibeba mimba atazaa mongolia .............
basi akaamua kudiscuss nae na kutafuta binti mdogo akajua huyu nikimpandikiza hata mapacha ataweza kuzaa bila shida.

4) nataka mtoto wa kiume nifanyeje?? nikapandikize mapacha wa kiume ili nipate mrithi na this tyme sio kwa kubahatisha bali nihakaikishe nakuwa na wa reserve...........

5) pesa ipo kila kitu kinawezekana so leta binti nifurahie maisha
Vizuri.Unamfahamu Mengi kwelikweli!
 
Kuna ya kujifunza kwa huyu mdada, kwanza hana kashifa za kuruka ruka zaidi ya miaka mitano aliyokuwa na mzee wake hatujamsikia akiruka ruka na wanaume, hii inaonyesha karidhika na mzee wake.
 
Hii ndio mila ya kiafrika, mapenzi hayana umri. Kina Zuma huoa vigori karibu kila mwaka hatusemi, Leo hii iwe habari!
Hongera mzee Mengi!
 
hapa pana cha kujifunza kiukweli.

1) binti kakosa kijana mwenzie anaye weza kumridhisha ndo mana kajionea bora atoke na mzee manake kiukweli wananguvu ukicompare wa vijana wa kileo

2) binti katafuta eleri kwa lazima manake alijua kutoka na mzee afu pesaless hailipi, na hata ukimkuta kijana rijali mshiko wamaana hana so nikajilie vyangu katika ujana natesa ujana adi uzee

3) mzee alipiga picha nina mali, machame mrithi wa maali ni mtoto wa ndoa wa kiume vinginevyo mtoto wa kiume wa ndugu yaani kaka, sasa mali zangu zote hizi nimpe mtu hapana, ngoja nizae changamoto ikaja Mercy ni mzee nafanyeje manake akibeba mimba atazaa mongolia .............
basi akaamua kudiscuss nae na kutafuta binti mdogo akajua huyu nikimpandikiza hata mapacha ataweza kuzaa bila shida.

4) nataka mtoto wa kiume nifanyeje?? nikapandikize mapacha wa kiume ili nipate mrithi na this tyme sio kwa kubahatisha bali nihakaikishe nakuwa na wa reserve...........

5) pesa ipo kila kitu kinawezekana so leta binti nifurahie maisha

Kwani Mengi hana mtoto wa kiume?
 
mengi8.png
 
Kama pesa ipo shida iko wapi? Safi mengi na mke wako jack.
 
Pesa can talk, pesa can see, pesa can eat, pesa can walk but pesa does not love
 
Ukiacha marehemu anaye mtoto mwingine wa kiume anaitwa Abdiel.. Ni mtoto wake wa pili wa kiume na hilo jina ni la babu yake mzaa mama Mangi Abdiel Shangali.

i know Abdiel...ndio maana nimemuuliza huyo niliemquote,kwasababu alichosema ni as if hana mtoto mwingine wa kiume
 
i know Abdiel...ndio maana nimemuuliza huyo niliemquote,kwasababu alichosema ni as if hana mtoto mwingine wa kiume

Hivi what is that dude do for a living?? He is keeping low profile mpaka inakuwa shida kumtambua anachofanya
 
Wazee wengine waige mfano wa mheshimiwa mengi kwa kufunga Ndoa katika umri wowote ule
 

Attachments

  • 1428468290916.jpg
    1428468290916.jpg
    41.2 KB · Views: 420
  • 1428468312686.jpg
    1428468312686.jpg
    47.6 KB · Views: 424
  • 1428468337720.jpg
    1428468337720.jpg
    40.9 KB · Views: 410
  • 1428468359200.jpg
    1428468359200.jpg
    62 KB · Views: 418
hivi amefunga ndoa na nani huyoo? mh! naskia harufu ya ankara!
 
Poor mind discuss people.
Average mind discuss events.
Strong mind discuss new ideas .
 
mengi.jpg

Dkt. Reginald Mengi akiwa na familia yake

MZEE%2BMENGI.PNG

CONGRATS TO BOTH JACQELINE AND REGINALD MENGI!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom