hapa pana cha kujifunza kiukweli.
1) binti kakosa kijana mwenzie anaye weza kumridhisha ndo mana kajionea bora atoke na mzee manake kiukweli wananguvu ukicompare wa vijana wa kileo
2) binti katafuta eleri kwa lazima manake alijua kutoka na mzee afu pesaless hailipi, na hata ukimkuta kijana rijali mshiko wamaana hana so nikajilie vyangu katika ujana natesa ujana adi uzee
3) mzee alipiga picha nina mali, machame mrithi wa maali ni mtoto wa ndoa wa kiume vinginevyo mtoto wa kiume wa ndugu yaani kaka, sasa mali zangu zote hizi nimpe mtu hapana, ngoja nizae changamoto ikaja Mercy ni mzee nafanyeje manake akibeba mimba atazaa mongolia .............
basi akaamua kudiscuss nae na kutafuta binti mdogo akajua huyu nikimpandikiza hata mapacha ataweza kuzaa bila shida.
4) nataka mtoto wa kiume nifanyeje?? nikapandikize mapacha wa kiume ili nipate mrithi na this tyme sio kwa kubahatisha bali nihakaikishe nakuwa na wa reserve...........
5) pesa ipo kila kitu kinawezekana so leta binti nifurahie maisha