Mengi yamesemwa kuhusu uchaguzi serikali za mitaa lakini upinzani mjitathimini

Mengi yamesemwa kuhusu uchaguzi serikali za mitaa lakini upinzani mjitathimini

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
253
Reaction score
360
Chadema ilipoteza mwelekeo kwenye Njiapanda ya utawala kati ya JK na JPM. Unajua ukitaka kuwa loyal simamia kile unachokiamini mwanzo mwisho hata kama adui akija akaanza kukisimamia unachokiamini ungana nae, akienda tofauti achana nae.

Kwanini kwa JK CDM ilikuwa na Nguvu na kwa JPM ikaanza kupoteza nguvu na kwa SSH sahivi imepoteza kabisa ushawishi? Sababu ni hii japo watu watapinga. CDM tangu mwanzo ilijipambanua kupambana na ufisadi nankutowajibika...JK alizidiwa na hivyo vyote, utendaji ukawa sio mzuri.

CDM walitumia udhaifu wa utendaji wa JK kujiimarisha. Sasa alipoingia JPM akaanza kutekeleza kwa kiasi kikubwa Yale waliyokuwa wanayapigia kelele CDM, Chadema wakabadili gia na kusema JPM anawaonea watu ambao walionekana ni mafisadi. Mafisadi waliokuwa wakipigiwa kelele na Chadema wenyewe.

Mfano mzuri ni yule Singa Singa wa Escrow Habindas Seth sijui kama jina lake nimepatia alitetewa sana na CHADEMA, na na wanaharakati wengine wengi baada ya kukamatwa na kupelekwa mahakamani. Sasa watu wakaanza ku-reason upinzani mnataka nini? Haya kaja SSH tena wanazungumzia upigaji, rushwa, na kutowajibika. Je wananchi wawaeleweje?
Bado mnamtafuta Mchawi?

Jambo lingine Chadema haiwathamini vijana wanaojitoa, haiwakuzi vijana zaidi sana miaka yote utawasikia wakongwe walewale tu, mtu akitoka ccm kuingia Chadema anakula cheo na yule aliyepambana kwa jasho na damu anabaki palepale, hii haizungumzwi lakini inawauma sana Wazalendo wa Chama.
 
Mtajaza server za JF lakini ukweli unajulikana wazi.. Na Watanganyika sio wajinga kama mnavyodhani
Kwenye ukweli zungumza ukweli...hizi kasoro za kwenye chaguzi hazijawahi kuisha hata kipindi Cha Kikwete kasoro zilikuwepo kibao na kwa Katiba hii hii Chadema ilishashinda maeneo mengi sana lakini Pressure ya Wananchi kuutetea Upinzani ilikuwa ni kubwa sana tofauti na Sasa mood imeshuka. Serikali kipindi Cha Kikwete ilikuwa inawaogopa sana Chadema hata Polisi walikuwa wanaogopa kwasababu ya Public Pressure. Kwa Sasa hicho kitu kimeshuka mno! Na sehemu zingine hakipo.
 
kuna Aunty wa binti yangu wa kazi alikuja nyumbani kumletea binti yake kitu, akawa anaongea na mtu sjui mwenyekiti wao wa vijana kwenye simu, wanashangilia eti tumewaweza, but sasa kilichonifikirisha, wakati anaongea kwenye simu akawa anasema vile walivokua wanafanya kupiga goli la mkono, hadi ambao hawakua wamejiandikisha walikua wanapiga kura, akataja nawalimu flani wa primary school ni mwanaccm alipeleka wanafunzi almost 30 kituo flani akawapa tuvitambulisho twa mchongo na wakapiga kura wote[emoji23], wanashangilia walivopiga goli la mkono.

Hivi CCM itaacha lini huu ujinga?[emoji34]
nimempiga marufuku housemaid kuruhusu sjui ndugu zake nisiowajua au rafiki zake hapa nyumbani, marufuku to open my gate and bring stupid people in the house[emoji34]
 
Huna Unalolijua Kuhusu Uliopita
Generation Z Ndiyo Hawaitaki CCM
 
Chadema ilipoteza mwelekeo kwenye Njiapanda ya utawala kati ya JK na JPM. Unajua ukitaka kuwa loyal simamia kile unachokiamini mwanzo mwisho hata kama adui akija akaanza kukisimamia unachokiamini ungana nae, akienda tofauti achana nae.

Kwanini kwa JK CDM ilikuwa na Nguvu na kwa JPM ikaanza kupoteza nguvu na kwa SSH sahivi imepoteza kabisa ushawishi? Sababu ni hii japo watu watapinga. CDM tangu mwanzo ilijipambanua kupambana na ufisadi nankutowajibika...JK alizidiwa na hivyo vyote, utendaji ukawa sio mzuri.

CDM walitumia udhaifu wa utendaji wa JK kujiimarisha. Sasa alipoingia JPM akaanza kutekeleza kwa kiasi kikubwa Yale waliyokuwa wanayapigia kelele CDM, Chadema wakabadili gia na kusema JPM anawaonea watu ambao walionekana ni mafisadi. Mafisadi waliokuwa wakipigiwa kelele na Chadema wenyewe.

Mfano mzuri ni yule Singa Singa wa Escrow Habindas Seth sijui kama jina lake nimepatia alitetewa sana na CHADEMA, na na wanaharakati wengine wengi baada ya kukamatwa na kupelekwa mahakamani. Sasa watu wakaanza ku-reason upinzani mnataka nini? Haya kaja SSH tena wanazungumzia upigaji, rushwa, na kutowajibika. Je wananchi wawaeleweje?
Bado mnamtafuta Mchawi?

Jambo lingine Chadema haiwathamini vijana wanaojitoa, haiwakuzi vijana zaidi sana miaka yote utawasikia wakongwe walewale tu, mtu akitoka ccm kuingia Chadema anakula cheo na yule aliyepambana kwa jasho na damu anabaki palepale, hii haizungumzwi lakini inawauma sana Wazalendo wa Chama.
Mkuu jaribu kutumia akili uliyopewa bure na Mwenyezi Mungu. Hata angekuja malaika, hawezi kufanya siasa za ushindani Tanzania. Essentially kazi ya vyombo vya dola ni kuhakikisha CCM, inashinda.
Kwa yeyote anayejielewa, hii hali siyo njema kwa future ya taifa letu. Unfortunately, tutaamka when it is too late, na waasisi wa hizi mambo watakuwa walishaondoka siku nyingi.
 
ukitizama upinzani ni kama walipoteza fahamu kipindi hiki cha uchaguzi
 
Kama Kigoma Police tena mwenye nyota 3 anashikwa na kura feki. Hakuna cha kujitathimini hapo.
 
Mkuu jaribu kutumia akili uliyopewa bure na Mwenyezi Mungu. Hata angekuja malaika, hawezi kufanya siasa za ushindani Tanzania. Essentially kazi ya vyombo vya dola ni kuhakikisha CCM, inashinda.
Kwa yeyote anayejielewa, hii hali siyo njema kwa future ya taifa letu. Unfortunately, tutaamka when it is too late, na waasisi wa hizi mambo watakuwa walishaondoka siku nyingi.
Tatizo hamtaki kuukubali ukweli, sio kwamba nafurahia situation ilivyo ila hoja yangu ni kwamba Chadema imepoteza ushawishi. Hizo situation sio kwamba hazikuwepo, nadhani unakumbuka mpaka Kina Prof. Lipumba walikuwa wanapigwa na Polisi, Kina Slaa na mke wake pia walikuwa wakipigwa na kutiririkwa na damu, Polisi kipindi Cha Kikwete walikuwa wanafanya kazi sawa sawa na wakati huu tofauti ni kwamba wakati wa Kikwete Raia walikuwa na Imani kubwa sana na Upinzani kiasi Cha Polisi kuwaogopa Raia.

Sahivi eti Mbowe anakamatwa mbele ya macho ya watu, Boni Yai anakamatwa mbele ya macho ya watu. Hivi Kipindi Umma una Pressure kubwa kwa upinzani Polisi wangethubutu au ccm ingethubutu kufanya chochote? Chadema imepoteza Mwelekeo kutokana na kutosimamia Ile misingi ya awali full stop.
 
ukisema wananchi wamekata tamaa ntakuelewa zingine ni blah blah
 
Kama kweli upinzani umepoteza nguvu kwanini CCM hawataki katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi?
 
Wewe ni mjinga wa mwisho. Yani uchaguzi usimamiwe na Mkwe wa mwenyekiti wa CCM halafu uje hapa na stori za upinzani umepoteza. Watendaji kata walishapangwa Nini Cha kufanya ila wewe hata huoni. Twende tu, yote Yana mwisho.
 
Chadema ilipoteza mwelekeo kwenye Njiapanda ya utawala kati ya JK na JPM. Unajua ukitaka kuwa loyal simamia kile unachokiamini mwanzo mwisho hata kama adui akija akaanza kukisimamia unachokiamini ungana nae, akienda tofauti achana nae.

Kwanini kwa JK CDM ilikuwa na Nguvu na kwa JPM ikaanza kupoteza nguvu na kwa SSH sahivi imepoteza kabisa ushawishi? Sababu ni hii japo watu watapinga. CDM tangu mwanzo ilijipambanua kupambana na ufisadi nankutowajibika...JK alizidiwa na hivyo vyote, utendaji ukawa sio mzuri.

CDM walitumia udhaifu wa utendaji wa JK kujiimarisha. Sasa alipoingia JPM akaanza kutekeleza kwa kiasi kikubwa Yale waliyokuwa wanayapigia kelele CDM, Chadema wakabadili gia na kusema JPM anawaonea watu ambao walionekana ni mafisadi. Mafisadi waliokuwa wakipigiwa kelele na Chadema wenyewe.

Mfano mzuri ni yule Singa Singa wa Escrow Habindas Seth sijui kama jina lake nimepatia alitetewa sana na CHADEMA, na na wanaharakati wengine wengi baada ya kukamatwa na kupelekwa mahakamani. Sasa watu wakaanza ku-reason upinzani mnataka nini? Haya kaja SSH tena wanazungumzia upigaji, rushwa, na kutowajibika. Je wananchi wawaeleweje?
Bado mnamtafuta Mchawi?

Jambo lingine Chadema haiwathamini vijana wanaojitoa, haiwakuzi vijana zaidi sana miaka yote utawasikia wakongwe walewale tu, mtu akitoka ccm kuingia Chadema anakula cheo na yule aliyepambana kwa jasho na damu anabaki palepale, hii haizungumzwi lakini inawauma sana Wazalendo wa Chama.
Upo sahihi na Kuna mengine mengi zaidi ya hayo yanayoifanya CDM ifeli ila Cha ajabu wanajifanya kama hawaoni au labda hawajui shida ipo wapi

Kwanini Sasa hivi ikitajwa CDM wananchi hawashituki?

Ni kwamba CDM walishindwa kutambua kuwa mtaji wao ni wananchi

Wananchi walliwaunga mkono wakazoa viti vingi vya serikali za mitaa, udiwani na ubunge na wakawa wanapata ruzuku nyingi sana wakasahau kuirudisha shukurani Kwa wananchi

Hivi kweli wakati CDM ipo katika pick wangeshindwa kununua madawati na kupeleka katika mashule?

Kwa mfano Halima Mdee kama angeanxisha Mdee foundation katika Jimbo lake la kawe na kusaidia akina mama wasio na uwezo kupa vile vifurushi vyao vya wajawazito vinavyotumika wakati wa kujifungua Nina uhakika Jimbo la kawe angeendelea kulishikilia

Yani CDM walifeli vitu vidogovidogo vya kiwahadaa wananchi
 
Kama kweli upinzani umepoteza nguvu kwanini CCM hawataki katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi?
Mkuu upinzani umekuwa cheap kwa sasa. Nazungumza kwa uzoefu kabisa ambao Mimi mwenyewe nimepitia huko. Upinzani unaiacha Serikali inakuwa huru sana kufanya mambo yake, na naomba nikizungumzia Upinzani ieleweke nailenga Chadema, hivi vingine achana navyo.

Imagine ule mchakato wa kukusanya maoni ya Katiba Mpya nchi nzima na kuitisha Bunge la Katiba mabilioni mangapi yalipotea? Na wakati huo huo Halafu leo upinzani wanasema tunataka Katiba mpya. Na Kuna mabilioni yalienda na mchakato ukatiwa kwapani, upinzani ukiangalia tu.

Dawa ya Serikali za hivi make them unsettled, unrested sijui kama kizungu kipo sawa ila serikali ya manyanyaso hapaswi kupumzika. Peleka hata Mahakamani kwa matumizi mabaya ya pesa za umma, na hili sio la ccm Wala upinzani japo upinzani ndio ulitakiwa kutumia hiyo kete.
 
Upo sahihi na Kuna mengine mengi zaidi ya hayo yanayoifanya CDM ifeli ila Cha ajabu wanajifanya kama hawaoni au labda hawajui shida ipo wapi

Kwanini Sasa hivi ikitajwa CDM wananchi hawashituki?

Ni kwamba CDM walishindwa kutambua kuwa mtaji wao ni wananchi

Wananchi walliwaunga mkono wakazoa viti vingi vya serikali za mitaa, udiwani na ubunge na wakawa wanapata ruzuku nyingi sana wakasahau kuirudisha shukurani Kwa wananchi

Hivi kweli wakati CDM ipo katika pick wangeshindwa kununua madawati na kupeleka katika mashule?

Kwa mfano Halima Mdee kama angeanxisha Mdee foundation katika Jimbo lake la kawe na kusaidia akina mama wasio na uwezo kupa vile vifurushi vyao vya wajawazito vinavyotumika wakati wa kujifungua Nina uhakika Jimbo la kawe angeendelea kulishikilia

Yani CDM walifeli vitu vidogovidogo vya kiwahadaa wananchi
Mkuu Bora wewe umeujua ukweli. Kuongea ukweli kunasaidia mtu kujirekebisha.
 
Chadema ilipoteza mwelekeo kwenye Njiapanda ya utawala kati ya JK na JPM. Unajua ukitaka kuwa loyal simamia kile unachokiamini mwanzo mwisho hata kama adui akija akaanza kukisimamia unachokiamini ungana nae, akienda tofauti achana nae.

Kwanini kwa JK CDM ilikuwa na Nguvu na kwa JPM ikaanza kupoteza nguvu na kwa SSH sahivi imepoteza kabisa ushawishi? Sababu ni hii japo watu watapinga. CDM tangu mwanzo ilijipambanua kupambana na ufisadi nankutowajibika...JK alizidiwa na hivyo vyote, utendaji ukawa sio mzuri.

CDM walitumia udhaifu wa utendaji wa JK kujiimarisha. Sasa alipoingia JPM akaanza kutekeleza kwa kiasi kikubwa Yale waliyokuwa wanayapigia kelele CDM, Chadema wakabadili gia na kusema JPM anawaonea watu ambao walionekana ni mafisadi. Mafisadi waliokuwa wakipigiwa kelele na Chadema wenyewe.

Mfano mzuri ni yule Singa Singa wa Escrow Habindas Seth sijui kama jina lake nimepatia alitetewa sana na CHADEMA, na na wanaharakati wengine wengi baada ya kukamatwa na kupelekwa mahakamani. Sasa watu wakaanza ku-reason upinzani mnataka nini? Haya kaja SSH tena wanazungumzia upigaji, rushwa, na kutowajibika. Je wananchi wawaeleweje?
Bado mnamtafuta Mchawi?

Jambo lingine Chadema haiwathamini vijana wanaojitoa, haiwakuzi vijana zaidi sana miaka yote utawasikia wakongwe walewale tu, mtu akitoka ccm kuingia Chadema anakula cheo na yule aliyepambana kwa jasho na damu anabaki palepale, hii haizungumzwi lakini inawauma sana Wazalendo wa Chama.
Katika vitu ambavyo Mwl Nyerere kamwe hakukosea ni kubaini UJINGA wa watanzania right from independence, na akautangaza kama moja ya maadui wakubwa sana. Unfortunately miaka 60 baadae adui UJINGA bado tunaye na sasa amehamia kwa vijana wengi kama wewe. Moja ya sifa kuu za Mjinga ni kudhani kwamba kuna mtu, taasisi au chama ambacho kitafanya kazi ya kumpigania yeye ili apate maendeleo, anadhani kuna mtu atakuwa anafikiria, kutafakari na kutafuta solution kwa niaba yake, huku yeye akiwa bize na mpira wa simba na Yanga, kubeti, mademu na ulabu....
 
Umeandika ukweli kwa asilimia fulani ila changamoto ni kwamba hawa hua hawakubali kujitathmini.
 
Chadema ilipoteza mwelekeo kwenye Njiapanda ya utawala kati ya JK na JPM. Unajua ukitaka kuwa loyal simamia kile unachokiamini mwanzo mwisho hata kama adui akija akaanza kukisimamia unachokiamini ungana nae, akienda tofauti achana nae.

Kwanini kwa JK CDM ilikuwa na Nguvu na kwa JPM ikaanza kupoteza nguvu na kwa SSH sahivi imepoteza kabisa ushawishi? Sababu ni hii japo watu watapinga. CDM tangu mwanzo ilijipambanua kupambana na ufisadi nankutowajibika...JK alizidiwa na hivyo vyote, utendaji ukawa sio mzuri.

CDM walitumia udhaifu wa utendaji wa JK kujiimarisha. Sasa alipoingia JPM akaanza kutekeleza kwa kiasi kikubwa Yale waliyokuwa wanayapigia kelele CDM, Chadema wakabadili gia na kusema JPM anawaonea watu ambao walionekana ni mafisadi. Mafisadi waliokuwa wakipigiwa kelele na Chadema wenyewe.

Mfano mzuri ni yule Singa Singa wa Escrow Habindas Seth sijui kama jina lake nimepatia alitetewa sana na CHADEMA, na na wanaharakati wengine wengi baada ya kukamatwa na kupelekwa mahakamani. Sasa watu wakaanza ku-reason upinzani mnataka nini? Haya kaja SSH tena wanazungumzia upigaji, rushwa, na kutowajibika. Je wananchi wawaeleweje?
Bado mnamtafuta Mchawi?

Jambo lingine Chadema haiwathamini vijana wanaojitoa, haiwakuzi vijana zaidi sana miaka yote utawasikia wakongwe walewale tu, mtu akitoka ccm kuingia Chadema anakula cheo na yule aliyepambana kwa jasho na damu anabaki palepale, hii haizungumzwi lakini inawauma sana Wazalendo wa Chama.
Nyie ndio mnaoiba majumbani kwa watu halafu mnawalaumu kwanini hawana bunduki.
 
Back
Top Bottom