mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Injiniaaa umenichekesha sanaSasa badala ya kuwashtaki majirani waliosema hayo yeye anawashtaki Dstv? Ana akili sawasawa huyu?
Lbda kaona hao majirani apache aloloo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Injiniaaa umenichekesha sanaSasa badala ya kuwashtaki majirani waliosema hayo yeye anawashtaki Dstv? Ana akili sawasawa huyu?
ShulelessSasa badala ya kuwashtaki majirani waliosema hayo yeye anawashtaki Dstv? Ana akili sawasawa huyu?
Mwana FA na AY waliishinda kampuni ya tg, unataka kutuambia Kuwa Tigo ni kampuni ndogo?Huwezi kushinda kesi ya namna hii kutokana na ukubwa wa company yenyewe sababu ina uwezo wa kufanya kila kitu ili ishinde kesi. probability ya kushindwa ni 99% huo muda atakaopoteza ni bora aendelee na kazi zake za ajabu.
Kuna boss wangu mmja ni myahudi kauzu balaa😄😄😄😄 Wanadhani hela hua inapatikana kirahisi tu mkuu.
Teh tehMenina ndio yule aliwahi kutuonyesha nakalio yenye mashimo mashimo?
Kwa sababu DSTV imeanika umbea wa majirani nchi nzima Kupitia hicho kipindi tajwaSasa inakuwaje anashataki Dstv badala ya kuwashtaki majirani?
Mkuu yaani unaamini hawa wa South kwa uwekezaji mkubwa waliofanya itakuwa rahisi sana kula pesa yao? Mwanasheria yupi huyo mzuri atakula kirahisi pesa ya DSTV?Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
Suala sio udogo wa kampuni au ukubwa, suala ni kuwashitaki Dstv badala ya kuwashitaki majirani, shida inaanzia hapoMwana FA na AY waliishinda kampuni ya tg, unataka kutuambia Kuwa Tigo ni kampuni ndogo?
Kuanika taarifa iliyosemwa na mtu ni kosa? Kwa sheria ipi? Leo hii ITV wakionyesha habari ya Gwajima akiwa kanisani kwake akiponda usalama wa chanjo, na kampuni za chanjo kama Pfizer zikala hasara, Pfizer wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?, hivi mkitumia akili zikizo kichwani huwa mnapungukiwa na nini kwani?Kwa sababu DSTV imeanika umbea wa majirani nchi nzima Kupitia hicho kipindi tajwa
😄😄😄 Aisee hii nai copy mzee baba maana huku mtaani Kuna watu wanadhani hela inapatikana kizembe tu.Kuna boss wangu mmja ni myahudi kauzu balaa
Ukimfata kichwakichwa mambo ya hela kumuomba anakuambia ichoreee chini hiyo hela unayoitakaaa uichkueee😂😂
Ova
Unataka kufananisha tigo na dstv?Mwana FA na AY waliishinda kampuni ya tg, unataka kutuambia Kuwa Tigo ni kampuni ndogo?
Unajuwa kilichotokea? Tigo wameshinda rufaa.Mwana FA na AY waliishinda kampuni ya tg, unataka kutuambia Kuwa Tigo ni kampuni ndogo?
Aliyeirusha kwenye TV ni nani? Ni majirani au DSTV? Unaujua uhusika wa DSTV?Suala sio udogo wa kampuni au ukubwa, suala ni kuwashitaki Dstv badala ya kuwashitaki majirani, shida inaanzia hapo
Hahaha watu wanatamka tu hela😄😄😄 Aisee hii nai copy mzee baba maana huku mtaani Kuna watu wanadhani hela inapatikana kizembe tu.
Kwasababu Dstv hinahusika kwa hiwango hikubwa kusahambaza tahaarifa katika mehedia yake.Kwanini anawashtaki Dstv badala ya majirani?
Nakushauri kuanzia leo usishindane na mwenye pesa, siyo Dstv tu.Akikomaa anawashinda