Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,313
Mkuu wewe kabila gani mbona uandishi wako wa kikabila sana.Dsrv hinahusika na hikipindi ndio mahaana menina amehona hupepo wa hela hupo huko kwhy hatapata hakiwashitaki hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe kabila gani mbona uandishi wako wa kikabila sana.Dsrv hinahusika na hikipindi ndio mahaana menina amehona hupepo wa hela hupo huko kwhy hatapata hakiwashitaki hao
Kaulize huyo mwana FA na AY kama mpaka sasa wameshawahi lipwa hiyo pesa.Mwana FA na AY waliishinda kampuni ya tg, unataka kutuambia Kuwa Tigo ni kampuni ndogo?
Leo ITV akarusha taarifa ya Gwajima kutoka kanisani mwake akiponda chanjo na Pfizer wakala hasara, wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?Aliyeirusha kwenye TV ni nani? Ni majirani au DSTV? Unaujua uhusika wa DSTV?
Walishinda? Hawakushinda?Kaulize huyo mwana FA na AY kama mpaka sasa wameshawahi lipwa hiyo pesa.
Unajuwa kilichotokea? Tigo wameshinda rufaa.
Halafu AY na MwanaFa huwezi kuwafananisha na hao wauza mbunye, ni watu wana status zao na shule ipo lakini wamezidiwa maarifa.
mpaka leo ile video ninayo kwa matumizi ya baadaeMenina ndio yule aliwahi kutuonyesha nakalio yenye mashimo mashimo?
Wote wanahusika, watatajana mahakaman, mmoja atabeba responsibility kubwa kuliko mwingine, simpleLeo ITV akarusha taarifa ya Gwajima kutoka kanisani mwake akiponda chanjo na Pfizer wakala hasara, wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?
Angeanza na hao majirani wambea
Ray kigosi alikula milioni 100 ya dstv kirahisi mnooo walitumia picha yake kwenye bango pale bamaga bila idhini yakeMkuu yaani unaamini hawa wa South kwa uwekezaji mkubwa waliofanya itakuwa rahisi sana kula pesa yao? Mwanasheria yupi huyo mzuri atakula kirahisi pesa ya DSTV?
Kwa YesuMambo
Walilipwa hadi Ay akanunua nyumba america kesi iliyoko ni rufaa ya tigo kutaka hela irudishweKaulize huyo mwana FA na AY kama mpaka sasa wameshawahi lipwa hiyo pesa.
Watu hawana uelewa kuhusu hizi sheria,Ray kigosi alikula milioni 100 ya dstv kirahisi mnooo walitumia picha yake kwenye bango pale bamaga bila idhini yake
Kazi tunayoDsrv hinahusika na hikipindi ndio mahaana menina amehona hupepo wa hela hupo huko kwhy hatapata hakiwashitaki hao
Na hapo ndio kuna tatizo, wanarudika watangazaji non professional, umbea tuDstv watashitakiwa kwa kutobalance stori. Hayo mengine sijui
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Ray huyu huyu anayeishi kwao mpk leo?Mnadhani mil 100 Ni makalio kila mtu anayo mzee?Ray kigosi alikula milioni 100 ya dstv kirahisi mnooo walitumia picha yake kwenye bango pale bamaga bila idhini yake
Siyo kila kitu ubishe alikula hela hiyo hata siku ya celebration na mimi nilikula nina hakika ninacboongea asilimia mia moja,menina akijipanga anwatusua hawa watu kile kipindi cha umbeya watu wakikiamulia wata wa sue sanaRay huyu huyu anayeishi kwao mpk leo?Mnadhani mil 100 Ni makalio kila mtu anayo mzee?