Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Kwani nimekosea kuitikia😳 Hilo jibu dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nimekosea kuitikia😳 Hilo jibu dah
Duu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ray huyu huyu anayeishi kwao mpk leo?Mnadhani mil 100 Ni makalio kila mtu anayo mzee?
Hapana. Ila umenikomoaKwani nimekosea kuitikia
Yaaaan huyu atakua anaota ngojaKudadeki hili lidemu halina akili...wakiona unasumbua na makesi unapigwa sumu tu ukafie mbali
hasichukulie poha, hakomae naho tu.
Sio mengine, ni yote tu mkuuAkipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
Sorry kama nimekukwanza mpedwaHapana. Ila umenikomoa
UsijaliSorry kama nimekukwanza mpedwa
Braza acha kuandika,unatuumiza makoo yetu.Kwasababu Dstv hinahusika kwa hiwango hikubwa kusahambaza tahaarifa katika mehedia yake.
Story za gahawa zinakuaga hizi hizi za haikua public walimalizana kimyakimya.Tena hiyo ya kigosi walimalizana kimyakimya haikuwa public sasa mtu anabisha tu kisa mtu anakaa kwao unajua hiyo 100 waligawana wangapi?usishangae hata mgonga nyundo kutoa hukumu ana fungu lake
Na mimi napata logic sasa!!!Kuanika taarifa iliyosemwa na mtu ni kosa? Kwa sheria ipi? Leo hii ITV wakionyesha habari ya Gwajima akiwa kanisani kwake akiponda usalama wa chanjo, na kampuni za chanjo kama Pfizer zikala hasara, Pfizer wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?, hivi mkitumia akili zikizo kichwani huwa mnapungukiwa na nini kwani?
Hahaaahaa [emoji16][emoji1787]Ray huyu huyu anayeishi kwao mpk leo?Mnadhani mil 100 Ni makalio kila mtu anayo mzee?
Haa haa haa hupepo wa pesa ni shida [emoji3]
Unataka kumfananisha mwana fa,Ay naMwana FA na AY waliishinda kampuni ya tg, unataka kutuambia Kuwa Tigo ni kampuni ndogo?
Hamjijui? au limekuwa jambo geni.....Mume wake alimtelekeza kweli au majirani wana nongwa mbaya😀😀
Mkuu hili ni jibu la swali nilio ulizaHamjijui? au limekuwa jambo geni.....
Dstv hadi wanarusha walijidhisha kuwa kilichosemwa na majirani ni ukweli?Atashindaje wakati waliopaswa kushtakiwa ni majirani na sio Dstv? Hivi mnafikiri sawasawa kweli?
Sheria ni sheria, haiangalii huyu ni malaya au ana mapungufu yapi, kama madai yake yanamashiko, atashinda bila shakaUnataka kumfananisha mwana fa,Ay na
Huyo Malaya aliekosa solo la kudangia
Sio kweli. Hao ndio wanahitajika kuliko kumshtaki mtu personaly, akipata wanasheria wazuri hii kesi ni ganda la ndiziHuwezi kushinda kesi ya namna hii kutokana na ukubwa wa company yenyewe sababu ina uwezo wa kufanya kila kitu ili ishinde kesi. probability ya kushindwa ni 99% huo muda atakaopoteza ni bora aendelee na kazi zake za ajabu.