Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hivi unaelewa huu ugolo ulioandika hapa? Au umeshashtuwa Kvant?Walilipwa hadi Ay akanunua nyumba america kesi iliyoko ni rufaa ya tigo kutaka hela irudishwe
Ulisikia dunia gani mtu alipe pesa halafu ndio akate rufaa? Akili yako inakubaliana kabisa na hili?