Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Kuanika taarifa iliyosemwa na mtu ni kosa? Kwa sheria ipi? Leo hii ITV wakionyesha habari ya Gwajima akiwa kanisani kwake akiponda usalama wa chanjo, na kampuni za chanjo kama Pfizer zikala hasara, Pfizer wataishtaki ITV au watamshtaki Gwajima?, hivi mkitumia akili zikizo kichwani huwa mnapungukiwa na nini kwani?
Shida sio anaeandaa kipind rahasha shida ni yule anaeluhusu kulusha kipindi hewan
 
Hivi unaelewa huu ugolo ulioandika hapa? Au umeshashtuwa Kvant?

Ulisikia dunia gani mtu alipe pesa halafu ndio akate rufaa? Akili yako inakubaliana kabisa na hili?
Nimeelewa point yenu, kampuni kubwa tz inaweza kufanya itakavyo sababu ina wanasheria wazuri hawawezi shtakiwa,okey sawa
 
Suala sio udogo wa kampuni au ukubwa, suala ni kuwashitaki Dstv badala ya kuwashitaki majirani, shida inaanzia hapo
Sasa akiwashitaki majirani zake wataipa nini? Labda wamlipe vijora na madela acha awashitaki Dstv [emoji3]
 
Siyo kila kitu ubishe alikula hela hiyo hata siku ya celebration na mimi nilikula nina hakika ninacboongea asilimia mia moja,menina akijipanga anwatusua hawa watu kile kipindi cha umbeya watu wakikiamulia wata wa sue sana
😄😄😄 Ingekua hivyo TMZ ingekua imeshashitakiwa na kutoka barabarani kitambo Sana na maelfu ya mastaa tena wenye mikwanja yao ya maana.
 
Kwani Kuishi kwao kuna tatizo mzee? Unajua kwa nini hataki kutoka kwao?
Tena hiyo ya kigosi walimalizana kimyakimya haikuwa public sasa mtu anabisha tu kisa mtu anakaa kwao unajua hiyo 100 waligawana wangapi?usishangae hata mgonga nyundo kutoa hukumu ana fungu lake
 
Back
Top Bottom