Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

una hakika Dstv unajua ni nini ndugu yangu? we endelea kuangalia movie za Juma khan za kutafsiri kwenye mabanda ya kuku huko nanjilinji
😄😄😄 Ndio maana hata story yako ya Ray alilipwa mil100 nilijua Ni uongo mtupu,eti unajua DSTV Ni Nini?😁😁 Mpolipoli bado unadhani kuijua DSTV Ni big deal
 
Basi kumbe Bashite alikuwa na haki kuwavamia hawa kina kwisa pale clouds maana Ruge alikataa kipindi kiruke hadi gwajima ahojiwe ili story iwe balanced sijui kama kwenye hili menina alipewa haki ya kimsingi kusikilizwa na kuhijiwa
Angewapiga na pumbuh kabisa.
 
Unajua ni kwanini Ruge alikataa kipindi cha shilawadu(kilichozaa hiyo ICU inayoleta shida) kisirushe ile clip kuhusu Gwajima kuzaa na mwanamke kichaa hadi bashite akakasirika na kuvamia clouds?
Ruge aliwaambia hawa kina Kwisa na soudy brown ni lazima wa balance kipindi kupata upande wa pili unasemaje ila hii Meninia kawa accused na majirani, na watangazaji nao wameunga humohumo wanamlaumu kwa mauaji leo mtu anapigania haki yake anabezwa,duh
Sasa kama unapigiwa simu ili kubalance story na wewe hupokei kwa sababu unazozijua wewe (kiburi nk.), hicho sio kigezo cha wao kutowapa wateja wao waliolipia vifurushi vya mwezi haki ya kupashwa habari na kupata value for money, na as a result, jukumu la kukanusha au kukiri linabaki kuwa lake yeye, pre au post broadcast, na kama anaona wamemchafua, awashtaki hao majirani waliomchafua. Kwa upande wa Gwajima, Ruge aliogopa kuchambwa kanisani kama alivyofanyiwa waziri wa afya, lakini haikuwa sababu ya kuhofia legal implications, certainly not, hata menina angekua na kanisa, labda wangehofia.
 
😄😄😄 Ndio maana hata story yako ya Ray alilipwa mil100 nilijua Ni uongo mtupu,eti unajua DSTV Ni Nini?😁😁
Mbona hiyo 100 imekuuma hivyo mkuu, kama uko mjini kweli nimekupa hint kaulizie utapewa jibu unashangaa nini?agh unaweka kabisa na vie emoji vya kicheko, endela kushangaa tu jinsi watu wanavyokula na watu wa nssf kutoa haraka hela za pension,watu wa bima kulipwa haraka ndivyo wana vyo deal na mahakimu kwenye kesi kama hizi we endelea kuweka vi emoji na kuhoji mbona fulani bado anakaa kwa mama yake
 
Mbona hiyo 100 imekuuma hivyo mkuu, kama uko mjini kweli nimekupa hint kaulizie utapewa jibu unashangaa nini?agh unaweka kabisa na vie emoji vya kicheko, endela kushangaa tu jinsi watu wanavyokula na watu wa nssf kutoa haraka hela za pension,watu wa bima kulipwa haraka ndivyo wana vyo deal na mahakimu kwenye kesi kama hizi we endelea kuweka vi emoji na kuhoji mbona fulani bado anakaa kwa mama yake
😁😁😁 Kipindi kile video zake akitikisa Yale matako yenye mabonde Kama ugali ambao haujaiva'mabunye' zilipovuja alipoteza mapato ya sh. Ngapi?Eti Unaijua DStv Ni Nini wewe?😁😁😁😁😁😁
 
Ifike mahala sheria watu waielewe vizuri, sasa hapo dstv wamefanya nini? Wahusika si wapo?
Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
Hakuna cha mwanasheria mzuri kashitaki mtu/ taasisi/ kampuni ambayo sio sahihi.

Sidhani wakili smbae ni msoni anaweza mshauri huu ujinga.

Nadhani anateja atakapopata pesa ila akumbuke nao wanaijua sheria so ajiandae
 
Njaa ni hatar sana amejazwa ujinga wa 1.2 billion
Utazani kama kawah kupata million 500 huko nyuma

Hivyo hivyo mliwacheka FA na AY walipoipeleka Tigo mahakamani..
 
Nakumbuka Kuna eneo walikuwa wanalitaka GSM maeneo ya kigamboni,wakatoa offer ya mil 200,mwenye eneo akakataa anadai apewe billion 10
Basi wakamuomba mzee awaandikie hyo pesa kwenye karatasi ulikuwa mtihani mzito kweli.....

Kwa ushauri wangu kwa menina angetengeneza porn hub channel au xvideos aa upload zile video zake za makalio asubirie kupata pesa ya viewers kuliko kupoteza muda kuwadai DStv kwa hoja zisizo na mashiko..

Kesi Kama hizo zinahitaji mtaji , nafasi na network,asijidanganye kwa hao wanaomjaza atagawa mbususu mpk ipate michubuko
 
Basi kumbe Bashite alikuwa na haki kuwavamia hawa kina kwisa pale clouds maana Ruge alikataa kipindi kiruke hadi gwajima ahojiwe ili story iwe balanced sijui kama kwenye hili menina alipewa haki ya kimsingi kusikilizwa na kuhijiwa
Bashite kuvamia au kutovamia inahusika vipi sasa, maana yeye hakuwa polisi. Gwajima aligoma kuhojiwa kwa sababu anazojua yeye, na hivyo kingeweza kurushwa bila legal implications, kilichomwogopesha Ruge ni vitisho na woga wa kuchambwa kanisani, basi.
 
Back
Top Bottom