Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msanii,muigizaji,mc menina kaishtaki multichoice akidai fidia ya 1.2 billions
Kadai alichafuliwa na kipindi cha umbeya cha icu
Wakati wa msiba wa mzazi mwenzake mairmatha jesse,juma lokole,kwisa walifika msibani wakahoji majirani waliodai marehemu alitelekezwa na menina akiwa anaumwa akawa anafungiwa ndani hadi kifo chake
Kadai kwamba tuhuma hizo zimeathiri kazi yake na itachukua miaka 3 kurudia hali ya kawaida na katika miaka hiyo mitatu atapoteza bilion 1.2
_____________________
Tanzanian artiste sues MultiChoice seeking damages of Sh1.12 billion
FRIDAY OCTOBER 08 2021
![]()
Artist Menina Abdulkarim Atiki.
Summary
ADVERTISEMENT
- Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
By James Magai
More by this Author
Dar es Salaam. Artist Menina Abdulkarim Atiki has sued DStv’s parent company MultiChoice South Africa which trades in Tanzania as MultiChoice Tanzania for damages amounting to Sh1.12 billion for airing content that allegedly defamed her.
The case which is before Judge Amir Mruma was first mentioned on September 27, 2021, but MultiChoice South Africa which has a foothold in various African countries was absent and Judge Mruma adjourned the case until November 10, 2021
Menina, who is also an actress and event hostess (MC) has filed the case against the South African company and its local subsidiary at the Dar es Salaam Regional High Court.
Others in the case are the Editor of the ICU- Chumba cha Umbea which airs on Maisha Magic Bongo channel on DStv; The presenters of the show, Maimartha Jesse, Juma Lokole and Kwisa Thompson (Kamanda Mzee Mkavu).
In case number 133 of 2021, the artiste alleges that the defendants defamed her with content they aired on July 23, 2021, in a programme called ICU-Chumba cha Umbea, regarding the death of her husband.
Menina claims that her husband passed away on July 19, 2021, it was then agreed that the funeral should be held at Mtoni kwa Aziz Ali, at the residence of her late husband’s aunt, Mariam Kihiyo.
She alleges that while the funeral was underway, Maimartha, Lokole and Kwisa interviewed neighbours of her late husband's aunt, with questions which according to the court documents were close-ended, insinuating that the plaintiff did not take care of her husband during illness and that she was an irresponsible wife.
The plaintiff (Menina) claims that she suffered mental and emotional harm as ICU-Chumba cha Umbea is one of the most popular programs in Tanzania, in East Africa and in all Kiswahili-speaking countries.
Basis of the claim
Menina claims that her brand ambassadorial work requires her to maintain a blemish-free name, image and a good reputation to the companies that she represents.
She also says that it will take her about a year to clean up her name and reputation, suggesting she will suffer the losses.
According to the legal files which were availed to The Citizen, Menina claims that as a brand ambassador she is paid Sh1.5 million a month and that in 2020 she was able to earn Sh180 million, so in the next three years she will lose a total income of Sh540 million.
In her music and acting, she claims that she has been earning Sh50 million a year, as it was in 2020 and so for three years he will incur a total loss of Sh150 million.
In her weekly event hosting gigs as an MC, during 2020 she claims to have earned a total of Sh144 million and that in the next three years she will lose a total of Sh432 million, claiming that her 24 clients have already cancelled orders.
kipindi hiki hapa
Ntumie PM mkuu niione, naweza nikajitolea kumsimamia kesi yake huyo bintimpaka leo ile video ninayo kwa matumizi ya baadae
Wewe ni kabila gani mkuu?Dsrv hinahusika na hikipindi ndio mahaana menina amehona hupepo wa hela hupo huko kwhy hatapata hakiwashitaki hao
Hakuna kesi hapo mkuu zaidi atageuziwa kibao yeye, nasema hivyo kwanza hana ushahidi wa kusema analipwa hizo pesa kwani inabidi aonyeshe marejesho na kodi za hizo pesa kutoka TRA na pia aonyeshe ushahidi wa mikataba ambayo inaonyesha kukatishwa mikataba aliyonayo kutokana na tendo la kusemwa huko DSTv na je DSTv ndio wamiliki wa hicho kipindi na je mktaba na hao watangazaji unaelezea nani atawajibika ikiwa watangazaji wameenda kinyume na utaratibu wa utagazaji ,je kipindi cha udaku kinatakiwa kiwe na maudhui yapi kuhusiana na huo udaku. Kuna wakati unaweza kushitaka upepo kwa kupeperusha dela ulilovaa bila kuvaa chupi na kukuacha uchi wa mnyama!Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee cc mbna nmekutafta San skuon?1.2billion .!!![emoji23]..adai kwa kutulia
Nipo mdogo wangu..😍😍😍....hutoumwa tena kipenzi dada ako nimefika.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee cc mbna nmekutafta San skuon?
Nmekumic had naumwaaah mie loo, [emoji7][emoji7][emoji7]
Mic u saan dada angu, nakpenda mno [emoji3590][emoji3590]Nipo mdogo wangu..[emoji7][emoji7][emoji7]....hutoumwa tena kipenzi dada ako nimefika.
Miss you and love you [emoji7]
Do you think Tanzania has those ( such ) Competent Lawyers ( Advocates ) for her to Win the Case she Filed?Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
YesDo you think Tanzania has those ( such ) Competent Lawyers ( Advocates ) for her to Win the Case she Filed?
Just name for me a few of them please.
Mkuu mwamba he know nothing si unajua jf[emoji23]?Walikirusha kipindi hujui chumba cha umbeya icu inaruka dstv
Kazi gn sasa kama mtu aliweza kujirekodi live akiliwa maku unafikiri kuna mtu wa b.something pale?sema kitaa pussy haziuziki anaona achek na plan BHuwezi kushinda kesi ya namna hii kutokana na ukubwa wa company yenyewe sababu ina uwezo wa kufanya kila kitu ili ishinde kesi. probability ya kushindwa ni 99% huo muda atakaopoteza ni bora aendelee na kazi zake za ajabu.
Sasa badala ya kuwashtaki majirani waliosema hayo yeye anawashtaki Dstv? Ana akili sawasawa huyu?
Sasa inakuwaje anashataki Dstv badala ya kuwashtaki majirani?
Ndiyo tujue amedanga Hadi amefikia mwisho😄😄😄😄 Wanadhani hela hua inapatikana kirahisi tu mkuu.