Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Kumbe huyu binti ni mtoto wa Atiki huyu mchambuzi wa mambo ya siasa, ok kwa hicho kipato chake aonyeshe returns za TRA ili kuthibitisha kwamba kweli analipwa hizo pesa na baada ya hiyo skandali basi sasa mikataba yake imevunjwa na hapati tena hayo ma milioni lasivyo ataangukia pua asije akawa kama akina MwanaFA na AY .
 
Akipata mwanasheria mzuri anashinda kesi hii. Haya ma vipindi mengine ya umbea umbea ni ya kijinga sana
Hakuna kesi hapo mkuu zaidi atageuziwa kibao yeye, nasema hivyo kwanza hana ushahidi wa kusema analipwa hizo pesa kwani inabidi aonyeshe marejesho na kodi za hizo pesa kutoka TRA na pia aonyeshe ushahidi wa mikataba ambayo inaonyesha kukatishwa mikataba aliyonayo kutokana na tendo la kusemwa huko DSTv na je DSTv ndio wamiliki wa hicho kipindi na je mktaba na hao watangazaji unaelezea nani atawajibika ikiwa watangazaji wameenda kinyume na utaratibu wa utagazaji ,je kipindi cha udaku kinatakiwa kiwe na maudhui yapi kuhusiana na huo udaku. Kuna wakati unaweza kushitaka upepo kwa kupeperusha dela ulilovaa bila kuvaa chupi na kukuacha uchi wa mnyama!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee cc mbna nmekutafta San skuon?
Nmekumic had naumwaaah mie loo, [emoji7][emoji7][emoji7]
Nipo mdogo wangu..😍😍😍....hutoumwa tena kipenzi dada ako nimefika.
Miss you and love you 😍
 
Huwezi kushinda kesi ya namna hii kutokana na ukubwa wa company yenyewe sababu ina uwezo wa kufanya kila kitu ili ishinde kesi. probability ya kushindwa ni 99% huo muda atakaopoteza ni bora aendelee na kazi zake za ajabu.
Kazi gn sasa kama mtu aliweza kujirekodi live akiliwa maku unafikiri kuna mtu wa b.something pale?sema kitaa pussy haziuziki anaona achek na plan B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…