Meninah afunga ndoa tena

Anajiheshimu insta?
Kwani anaswali insta?
 
Kuna ubuyu mwingine wadai kutoka na baba mkwe eti ndo sababu ndoa ikawa chali mi naona hàjatulia MTU wa kuolewa daily na huyo mwanaume wamejuana lini licha ya kipigo atakua naye somewhere ana katatizo
 
Kuna ubuyu mwingine wadai kutoka na baba mkwe eti ndo sababu ndoa ikawa chali mi naona hàjatulia MTU wa kuolewa daily na huyo mwanaume wamejuana lini licha ya kipigo atakua naye somewhere ana katatizo
Ukishazoea kulala bila chupi lazima utaimiss hiyo hali ujue...sasa likitokea la kutokea inabidi utafute backup fasta
 
Kuoa binti was mjini ninkujitafutia presha bure,hawaogopi ndoa kuvunjika
 
Mmmmm jamaa mpaka dini alibadilisha kisa mwanamke kweli mahaba niue
 
Kuna ubuyu mwingine wadai kutoka na baba mkwe eti ndo sababu ndoa ikawa chali mi naona hàjatulia MTU wa kuolewa daily na huyo mwanaume wamejuana lini licha ya kipigo atakua naye somewhere ana katatizo
Baba mkwe???[emoji134] [emoji134]
Siamini aisee
 
Aje atupe mrejesho kama hii ndoa ya safari hii itajibu au mpaka kwa Dr Mwaka.
 
wiki mbaya hii Kwa wakuu , huku wa muhongo amepigwa kibuti huku wa udom watu wamemshikia bango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…