gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,610
Kwani ameolewa Menina au ww?katema bablish kwa karanga
wewe mweupe nini?
wewe angalia picha tu katika hao wawili yupi mume kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ameolewa Menina au ww?katema bablish kwa karanga
wewe mweupe nini?
wewe angalia picha tu katika hao wawili yupi mume kweli?
Anajiheshimu insta?Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
Kuna ubuyu mwingine wadai kutoka na baba mkwe eti ndo sababu ndoa ikawa chali mi naona hàjatulia MTU wa kuolewa daily na huyo mwanaume wamejuana lini licha ya kipigo atakua naye somewhere ana katatizoNasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
Ukishazoea kulala bila chupi lazima utaimiss hiyo hali ujue...sasa likitokea la kutokea inabidi utafute backup fastaKuna ubuyu mwingine wadai kutoka na baba mkwe eti ndo sababu ndoa ikawa chali mi naona hàjatulia MTU wa kuolewa daily na huyo mwanaume wamejuana lini licha ya kipigo atakua naye somewhere ana katatizo
Baba mkwe???[emoji134] [emoji134]Kuna ubuyu mwingine wadai kutoka na baba mkwe eti ndo sababu ndoa ikawa chali mi naona hàjatulia MTU wa kuolewa daily na huyo mwanaume wamejuana lini licha ya kipigo atakua naye somewhere ana katatizo
Duniani kuna siri basi ndo ubuyu uliozagaaBaba mkwe???[emoji134] [emoji134]
Siamini aisee
Na ndo mana kafanya replacement faster hizi ndoa za kuoana na talaka faster zina promote uhuni tu wa kukitembeneza na ndoa inakuwa haina optionUkishazoea kulala bila chupi lazima utaimiss hiyo hali ujue...sasa likitokea la kutokea inabidi utafute backup fasta
Imekuwaje mtoto wa prof. Muhongo atumie ubini wa haule?.
Au mleta mada umekosea maandishi?!.
Mwanaume akiwa mweupe Ni Nuksi kwa mwanamke, kwanini mwanaume uwe cheupe? Ili? Mxiuuuuuuukatema bablish kwa karanga
wewe mweupe nini?
wewe angalia picha tu katika hao wawili yupi mume kweli?
DahJina lake utadhani ni tusi....
duh!!,hii nchi hii,ndio mana ujanja ujanja hauishi.Kuna tetesi Prof nae alitumia cheti cha mtu secondary
ni tetesi tu hata hivyo
Jina lake utadhani ni tusi....
Usishangae ndo jamii tuishiyo nayoDuh....